Msarendo
JF-Expert Member
- Jan 29, 2011
- 10,888
- 7,079
kama ndo ivo hata kouassi si ameachia mipira mingi sana ndani ya box? nae hastahili starting xi?
huyu dogo jenkinson bado sana! Kuanza kwenye timu kubwa kama arsenal
kama ndo ivo hata kouassi si ameachia mipira mingi sana ndani ya box? nae hastahili starting xi?
kasi ya kushambulia imepungua kwa ars8, ni kama wanajilinda zaidi! na marseile wanakuja kwa kasi. metsacker anaokoa pale!
una ugonjwa gani ww? Au bado mabao ya City yanakulevya?
Wenger kapanga tim hovyo hovyo na kafanya substitutions hovyo hovyoDraw sio mbaya... Ila generally tumecheza hovyo..... Hovyo kabisa,,,
Kundi bado limekaa vibaya game ilikuwa muhimu kushinda.
Arsenal 8
Marseille 7
Dortmund 4
Olympiacos 3
Kundi bado limekaa vibaya game ilikuwa muhimu kushinda.
Arsenal 8
Marseille 7
Dortmund 4
Olympiacos 3
game ilikuwa nzuri defence yetu naona imekuwa solid ...
sioni kwamba wenger ni wa kulaumiwa wapinzani wetu pia walikuwa na defence nzuri ...