Labyrinth 84
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 1,093
- 3,151
2005 we are beating united to win FA cup via penalties
Naikumbuka hii game enzi hizo na mimi ni false hoper

, home kukawa na kikao cha harusi ikabidi niingie chini ya kochi niendelee kuangalia game . Alikosa tuta kama sikosei ni scholes yule lehman akapangua, pia frednand alifunga goli likakataliwa .
nikaona ubingwa si ndo huu.

