😀😀😀😀 pongezi kwenu nyumbu nyie 😀😀😀Kima nyieeee
Mara nyingi kipa akifungwa kwa kuuzwa kwa shot ya kwanza zinazofuata zinakua hivyo hivyo coz anashindana kuotea.Huyu Raya awe na utulivu. Yupo machacharu sana kwenye penati
Huu ndio ujinga ambao siku zote huwa siukubali. Nakumbuka enzi zangu golini hizi penati nimecheza sana.Mara nyingi kipa akifungwa kwa kuuzwa kwa shot ya kwanza zinazofuata zinakua hivyo hivyo coz anashindana kuotea.