makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 37,429
- 108,441
Huyu bey wa kituruki huenda akawa msaada wa kuwavusha man u leo, nona kama ana siku nzuri.
😀😀😀😀 pongezi kwenu nyumbu nyie 😀😀😀[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kima nyieeee
Mara nyingi kipa akifungwa kwa kuuzwa kwa shot ya kwanza zinazofuata zinakua hivyo hivyo coz anashindana kuotea.Huyu Raya awe na utulivu. Yupo machacharu sana kwenye penati
Huu ndio ujinga ambao siku zote huwa siukubali. Nakumbuka enzi zangu golini hizi penati nimecheza sana.Mara nyingi kipa akifungwa kwa kuuzwa kwa shot ya kwanza zinazofuata zinakua hivyo hivyo coz anashindana kuotea.
Refa kawabeba sana nyie nyumbuz. Mpaka sasa tulitakiwa tuwe tunacheza na wachezaji wenu tisa au nane uwanjani.
Wewe ndio MJINGA wa mwisho kama sio wa kwanza.Refa kawabeba sana nyie nyumbuz. Mpaka sasa tulitakiwa tuwe tunacheza na wachezaji wenu tisa au nane uwanjani.