Refa kawabeba sana nyie nyumbuz. Mpaka sasa tulitakiwa tuwe tunacheza na wachezaji wenu tisa au nane uwanjani.
Wewe ndio MJINGA wa mwisho kama sio wa kwanza.Refa kawabeba sana nyie nyumbuz. Mpaka sasa tulitakiwa tuwe tunacheza na wachezaji wenu tisa au nane uwanjani.

Kabisa kabisa.Wewe ndio MJINGA wa mwisho kama sio wa kwanza.
Kampa Man U red card, Kakupa penalt ukakosa unataka akupe nini tena, matako!
Umbwa huyu.Arteta alishinda FA akiwa na kikosi alichorithi kutoka kwa Emery.
Tangu akipangue na kupata kikosi chake hajawahi kuvuka raundi ya nne
Pia mtu kama Bernardo Silver hawana hawa kenge. Huyo Rice mwenyewe anakimbia kama ngongoti.Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni.
Arsenal mmekosa namba kumi kama Bruno au KDB
Aliempa timu arteta auwaweArteta alishinda FA akiwa na kikosi alichorithi kutoka kwa Emery.
Tangu akipangue na kupata kikosi chake hajawahi kuvuka raundi ya nne