Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Refa kawabeba sana nyie nyumbuz. Mpaka sasa tulitakiwa tuwe tunacheza na wachezaji wenu tisa au nane uwanjani.
Refa kawabeba sana nyie nyumbuz. Mpaka sasa tulitakiwa tuwe tunacheza na wachezaji wenu tisa au nane uwanjani.
Wewe ndio MJINGA wa mwisho kama sio wa kwanza.
Kampa Man U red card, Kakupa penalt ukakosa unataka akupe nini tena, matako!
 
Washika manati 😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄

Wanangu mm mtu wa ball dimba la Kati huwa wananiita Steven gereld sasa iv wananiita urgate

Nawaambia kimpira kabisa decline mchele sio mido ile hakuna kombe mtabeba kwa kutegemea kiungo dhaifu km yule

Wakings nyie mnaniumizia baby wangu tu😄😄😄😄😄
 
94CB39A2-C256-40FF-96CA-F3C2744F5187.jpeg
Ukiwakuta sasa wanadanganyana mpaka mishipa inawatoka utasikia yani trosadiii trosadiii sijui maliti neliiiii 😅 faken kabisaaaaa. Unafungwa na bruno mwenye matatizo ya macho tokea udogoni😄
 
Arsenyo huyu jamaa yenu leo mmemuangusha sana, nahisi yeye leo ndio ameumia kuliko shabiki yoyote wa Arsenyo.
Siku nyingi mkiwa mnabebwa jitahidini mbebeke Kima nyie.
1736700192472.jpg
 
Back
Top Bottom