Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Leao dhidi ya Napoli kwenye UCL semis nadhani ilikuwa mwaka juzi, afu imagine na namna monaco wanavyocheza.
 
Goli la kwanza lilionyesha mipango la pili ni matokeo ya high pressing, la 3 limeonyesha poor form ya mguu wa kulia wa Saka na kua wakati sahihi na muda sahihi kwa Kai.

Tulikua na big chances 6. Tatu zilizokoswa ni zimeonyesha udhaifu wa forwards zetu kwenye 1 v 1. Hapa Odegaard na Jesus walibaki na kipa na hakuna aliyekua na composure wala skills kwenye execution.

Against timu kama Fulham ambazo zipo nyingi EPL hupati hizo 1 v 1 unabaki kutegemea crosses ambazo wamaliziaji hua hawapo sehemu sahihi.

Martinelli is shaky. Kuna watu online wanasema hua anaangalia sana chini hadi hajui anapoenda. Mimi namuona mchezaji ambaye confidence imekata kwakua kila ambacho zamani alifanya kilikua sahihi sasa hivi hakiwork tena.

Lewis-Skelly ana pasi nzuri yule dogo, jana ni mwendelezo wa pasi zake ambazo magoli yalianzia hapo. Kuna watu pia wanasema Arsenal imchukue Arda kwa mkopo kutoka Madrid na nikawahi kusema sasa kwanini game time asigewe Nwaneri badala ya kuleta mtoto mwingine ambaye timu yake imeshindwa kumpa game time?

Tulikua na Chido. Great goal scorer akaenda united kwakua scale yetu ya mshahara haikusapoti alichotaka alipwe. Juzi nikaona sehemu inasema alienda united kwakua ina sera nzuri ya academy kuingizwa first team.

Ni uongo ila ni ngumu kuoverlook kama wachezaji kama Nwaneri huwapi game time.
 
Huyu dogo ana kitu
 

Attachments

  • IMG-20241212-WA0080.jpg
    IMG-20241212-WA0080.jpg
    115.4 KB · Views: 19
Hata wewe nikikuambia Kati ya saka na Palmer yupi ungependa awepo kwenye timu yako kimoyomoyo ungesema Palmer kwenye mechi 50 alizochezea Chelsea amechangia magoal 50 for both goals & assist nipe takwimu za Saka
Kwa mantiki hii Bruno Fernandez ni bora kuliko Zinedine Zidane kwa kuwa ana goals na assists nyingi. Si ndio unachoongelea hapa?
 
January inakuja.

Online watu wanatania wanasema dirisha la usajili kwa Arsenal ni kusajili beki wa kushoto majeruhi.

Ukweli ni kwamba ni ngumu sana kufanya usajili mkubwa January, sajili ya kukubadilishia matokeo kwa January ni utata kwakua timu zote zinakua na mipango na wachezaji wao.

Kama kuna mtu anaamini January itatugea ST au forward mwenye akili ya kuamua mechi hilo swala ni gumu. Imagine ugewe Viktor January kwanza UCL hautamtumia, utalipa pesa nyingi kwaajili ya future.

Na ukifanya hivyo ni umefanya ulichofanya misimu miwili nyuma, accept defeat and hope for the next season
 
So unabakiwa na option ya kusajili mchezaji wa mkopo unaenda timu kubwa unapropose ugewe mchezaji ambaye hawamtumii.

Wazia kenge na Felix.

Au ukamchukue mchezaji watu walishamsahau na umsajili kwa msimu mmoja kama nyumbu na Ighalo au Weghorst

Wakati msimu unaanza nilisema Arteta hajasajili ST wala RW kwakua anajua mashabiki kwa pamoja tutamdai. Kwa sasa tunagawanyika kwamba wengine wanaona alipaswa kudeliver wengine wanaona hata asipodeliver ni sawa kwakua hana ST wala RW.
 
Kwa mantiki hii Bruno Fernandez ni bora kuliko Zinedine Zidane kwa kuwa ana goals na assists nyingi. Si ndio unachoongelea hapa?
Palmer hakupi tu goal na assist anakupa Sanaa ya mpira na huwa akai kwenye position moja utamkuta kwenye winger, katikati na sometime anashuka chini alafu Ana press na kumchezesha team kitu ambacho Saka hawezi kukupa
 
Nyie washika manati Leo mnabondwa jinga kabisa

Litimu linategemea kona ndio lipate ushindi ubwa nyie

Arsenal 1-3 Everton
 
Nafikiri huu ndiyo msimu ambao Everton ipo hovyo tangu niwajue, hata Hakika Ruben alivuna points tatu kwa kuwakuta hawa watu wapo hoi.

Next game baada ya kigenge cha Hakika Ruben ilikua dhidi ya Wolves and stunned football world kwa kuifunga wolves nne bila. Mechi yao na Liverpool ikaahirishwa so wamepumzika vya kutosha na bado morali ya ushindi uliopita wanayo.

Bado majeruhi wetu ni walewale. Kikosi chetu inatarajiwa Kai na Trossard kuanza, Partey bado atakosekana kwenye mid so game should be the usual. Lack of electric play and a lot of unnecessary passes
 
Anamuweka benchi au hamuweki benchi?
Hivi hiki kijiwe Chenu si bora hata muanze kujadili jinsi ya kucheza kamari za BIKO na TATU MZUKA ?
Na ninyi mnajiona mna timu kabisa ,hiki kikundi chenu cha walevi ndio mnatarajia kibebe ubingwa mwaka huu au sio ?
Kombe mtakalobeba ninyi ni kibuyu cha pombe ya ulanzi tu .
 
Nafikiri huu ndiyo msimu ambao Everton ipo hovyo tangu niwajue, hata Hakika Ruben alivuna points tatu kwa kuwakuta hawa watu wapo hoi.

Next game baada ya kigenge cha Hakika Ruben ilikua dhidi ya Wolves and stunned football world kwa kuifunga wolves nne bila. Mechi yao na Liverpool ikaahirishwa so wamepumzika vya kutosha na bado morali ya ushindi uliopita wanayo.

Bado majeruhi wetu ni walewale. Kikosi chetu inatarajiwa Kai na Trossard kuanza, Partey bado atakosekana kwenye mid so game should be the usual. Lack of electric play and a lot of unnecessary passes
Msaada anaye stream anatumia website gani ndugu zangu....leo Yacine TV naona gemu yetu wameamua kutoonesha....msaada waungwana
 
Back
Top Bottom