vidmate
JF-Expert Member
- May 7, 2018
- 717
- 1,327
Jamaa wamezingua sana, game wametuwekea bayer 04Msaada anaye stream anatumia website gani ndugu zangu....leo Yacine TV naona gemu yetu wameamua kutoonesha....msaada waungwana
Jamaa wamezingua sana, game wametuwekea bayer 04Msaada anaye stream anatumia website gani ndugu zangu....leo Yacine TV naona gemu yetu wameamua kutoonesha....msaada waungwana
Wewe ni nani?Hivi hiki kijiwe Chenu si bora hata muanze kujadili jinsi ya kucheza kamari za BIKO na TATU MZUKA ?
Na ninyi mnajiona mna timu kabisa ,hiki kikundi chenu cha walevi ndio mnatarajia kibebe ubingwa mwaka huu au sio ?
Kombe mtakalobeba ninyi ni kibuyu cha pombe ya ulanzi tu .
Ingia orstreams.liveMsaada anaye stream anatumia website gani ndugu zangu....leo Yacine TV naona gemu yetu wameamua kutoonesha....msaada waungwana
Yacine Tv wamewadharau sana aiseee, yaani wameona game ya bayer Leverkusen na Augsburg inamvuto kuliko game ya Arsenyani.Jamaa wamezingua sana, game wametuwekea bayer 04
Mganga wa Kai anatishaArteta will even sacrifice his skipper but not Kai.