Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hivi hiki kijiwe Chenu si bora hata muanze kujadili jinsi ya kucheza kamari za BIKO na TATU MZUKA ?
Na ninyi mnajiona mna timu kabisa ,hiki kikundi chenu cha walevi ndio mnatarajia kibebe ubingwa mwaka huu au sio ?
Kombe mtakalobeba ninyi ni kibuyu cha pombe ya ulanzi tu .
Wewe ni nani?
 
Arteta atoe upuuzi wake sijui Skelly. Merino nae aende nje. Timu haiko fluid kabisa. Tunacheza kama hatuna macho.
 
In an attempt to secure a victory Arteta subs in Nwaneri earlier than his usual preferred time
 
Sababu za Partey kuwa nje sizioni. Sikumbuki mara ya mwisho Arsenal kucheza vizuri akikosekana Partey katikati.. Au ndio tunaanza kuaminishwa taratibu muda wa Partey kuwepo Arsenal upo ukingoni
 
Back
Top Bottom