Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tupo wengi tu braza.
Nikaona niende tu kwenye uzi wa kimasikhara kuliko kuendelea kupigwa spana na mahasimu
Masingeli sio mjinga kulikimbia jukwaa lake msimu huu.
Kina Flano kazi yetu ni kuwaponda tu mawe.
1728754236824.jpg
 
But then again unachojisikia sasa hivi hizo ni standards. 4 seasons back ukipata suluhu unaona sawa na mashabiki wa timu zingine wanaona sawa.

Two seasons back mpaka sasa suluhu unaona siyo hadhi yako na mashabiki wa timu zingine wanaamini hamstahili kupata suluhu kwakua mna standards za juu.

Kesho city au nyumbu yeyote anaweza kufungwa na hakuna atakayeshangaa. Mechi ikiwa suluhu wote watajipongeza.

Those are standards
 
Back
Top Bottom