Wells
Senior Member
- Apr 21, 2017
- 171
- 415
Arteta ni kama anafanya majaribio na kikosi kwa hizi mechi mbili.. Ni kama hana uhakika na anachofanya. Una wachezaji ambao wanaweza kucheza beki wa pembeni vizuri unawaweka nje then mchezaji wako bora kabisa kwenye eneo la katikati unamchezesha out of position.