View attachment 3168231
Mpaka saa hii kwenye fotmob watu zaidi ya 20,000 wamepiga kura kusema united anashinda, 18,000 wanasema Arsenal anashinda na 4000 wanasema mechi itakua suluhu.
Hata hivyo Betpawa wamepiga odd 1 Arsenal na United kagewa 7.
Mashabiki wa united wameridhishwa na mechi kadhaa za Hakika Ruben na sasa wanaamini wapo on the right track kumfunga yeyote.
Kwa Arsenal, Partey, Gabriel na Calafiori wamefanya mazoezi na timu na Wana % kubwa za kuwepo mechi ya Kesho. Merino bado medical team haina uhakika kama atakuepo. Katika midfielders wetu ni Merino na Nwaneri ndiyo wamekua wakifanya long range shooting mara nyingi.
Tuliwahi kua na Xhaka Kwa kazi hiyo ila hatujapata mwingine. Let us see mid yetu itachoweza kudeliver Kesho.