Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

20241203_121940.jpg
 
Screenshot_2024-12-03-19-14-30-900_com.mobilefootie.wc2010-edit.jpg



Mpaka saa hii kwenye fotmob watu zaidi ya 20,000 wamepiga kura kusema united anashinda, 18,000 wanasema Arsenal anashinda na 4000 wanasema mechi itakua suluhu.

Hata hivyo Betpawa wamepiga odd 1 Arsenal na United kagewa 7.

Mashabiki wa united wameridhishwa na mechi kadhaa za Hakika Ruben na sasa wanaamini wapo on the right track kumfunga yeyote.

Kwa Arsenal, Partey, Gabriel na Calafiori wamefanya mazoezi na timu na Wana % kubwa za kuwepo mechi ya Kesho. Merino bado medical team haina uhakika kama atakuepo. Katika midfielders wetu ni Merino na Nwaneri ndiyo wamekua wakifanya long range shooting mara nyingi.

Tuliwahi kua na Xhaka Kwa kazi hiyo ila hatujapata mwingine. Let us see mid yetu itachoweza kudeliver Kesho.
 
View attachment 3168231


Mpaka saa hii kwenye fotmob watu zaidi ya 20,000 wamepiga kura kusema united anashinda, 18,000 wanasema Arsenal anashinda na 4000 wanasema mechi itakua suluhu.

Hata hivyo Betpawa wamepiga odd 1 Arsenal na United kagewa 7.

Mashabiki wa united wameridhishwa na mechi kadhaa za Hakika Ruben na sasa wanaamini wapo on the right track kumfunga yeyote.

Kwa Arsenal, Partey, Gabriel na Calafiori wamefanya mazoezi na timu na Wana % kubwa za kuwepo mechi ya Kesho. Merino bado medical team haina uhakika kama atakuepo. Katika midfielders wetu ni Merino na Nwaneri ndiyo wamekua wakifanya long range shooting mara nyingi.

Tuliwahi kua na Xhaka Kwa kazi hiyo ila hatujapata mwingine. Let us see mid yetu itachoweza kudeliver Kesho.
Wana mmeshampachika jina na huyu tena
Eti hakika ruben 😁
 
Starting 11 yetu wakitoka 3 wakiingizwa 3 wa benchi timu inacheza kama hua hawawi wote mazoezini.

Hii inasababisha mchezaji wa starting 11 akipata majeraha basi ushindi kwetu unakua changamoto.

Angalau eneo la 6 wanajitahidi kuziba gaps namaanisha Partey na Jorginho. Lakini Odegaard kawa majeruhi na timu inastruggle na nje hakuna mbadala, on paper Sterling anatakiwa aweze kufanya kinachofanywa na Odegaard lakini hapana, kenge walikurupuka na sisi tuliiwahi late signing tukiamini tutabenefit na uzoefu wake.

Mpaka sasa amebenefit Nwaneri kwa kupata goli la kwanza la ligi, kitu ambacho Antony wa nyumbu aliyenunuliwa kwa 80M hana.
Hakuna mbadala wa Orde nakukatalia mbadala yupo Ethan Nanweri pure Talanta anafit kucheza namba 10 ila Arteta mpumbavu hampi nafasi.
 
itakuwa siku nzuri sana kama man u akila 5+ kisha liver akapoteza, man city akafungwa tena aendelee kustay humble
 
Back
Top Bottom