Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hakuna mbadala wa Orde nakukatalia mbadala yupo Ethan Nanweri pure Talanta anafit kucheza namba 10 ila Arteta mpumbavu hampi nafasi.
Nwaneri ana energy, uthubutu na ujasiri ila technically bado kumfikia Odegaard.

Ambaye technically alikua anaweza kumfikia Odegaard ni Fabio Viera. Ila sasa Viera hana uthubutu na ujasiri
 
Last time against United

Erik alihakikisha ukuta wake haupandi juu, alihakikisha kila attack ya Arsenal inakuta kuna mabeki 4 wanasubiri kuzuia.

Hii ilikua ni response ya zile 3.

Kutopandisha ukuta ikasaidia tupate goli kwakua wakaiua offside ambayo Kai alitoa krosi. Ila Odegaard na Rice statistically wakaunderperform.

Kutopandisha ukuta ikafanya kipindi cha pili Arsenal tuwasusie mpira United na kuwinda crucial moments. Tulizipata ila Saka na Martinelli walishindwa kuscore.

Kama Hakika Ruben ataamini kama wanavyoamini mashabiki kwamba wasihofie wacheze mpira we might get something big kutoka kwenye hii mechi
 
Amorim kwenye press conference anasema " we will have some difficult moments, i know my players and i know football, we re in different point compared to arsenal, and it is what it is".

Afu kuna fala lina post huku bongo kwamba Arsenal sio bora.
 
itakuwa siku nzuri sana kama man u akila 5+ kisha liver akapoteza, man city akafungwa tena aendelee kustay humble
wewe hata 4 tu mjawai kutufunga kazi kupiga mdomo tu

mtapigwa like burukenge
1689476232207.jpg
 
Ku-mpartner Kiwior na Zinchenko halafu wanamkaba Amad nahisi itakua challenge. Kiwior is good kwenye cross haswa za kumuona Kai but kwa kua ni CB means tusubiri long balls kama zitalipa

Amad is good yule dogo but Hakika Ruben ameamua kuja kukaba na kumtest Malacia kwenye hii game. So kwa Amad kamuweka Dalot na Mazraoui, so upande wa Zinchenko matarajio ni mbio za hawa wawili zaidi kwenye kusakama huo upande.

Hapa sasa tunabaki na basics za kudeal na back 3. I hope timu ilimanage kutarajia hii defense
 
Back
Top Bottom