Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hahahaha
Uzuri huu msalaba wa jumuiya kila kaya utapita. TUNAKUJA
Hii dhulma ya wazi wanayofanyiwa hawa wagonga nyundo na refa tutawalipia wiki ijayo, Arsenyo bila ya kubebwa na marefa ni nyepesi kuliko bua.
 
Hii dhulma ya wazi wanayofanyiwa hawa wagonga nyundo na refa tutawalipia wiki ijayo, Arsenyo bila ya kubebwa na marefa ni nyepesi kama bua.
Arsenal hii ni yamoto, alafu arsenal ndio timu inaongoza kufanyiwa unfair

#TUNAKUJA
 
Are we aware kwamba matokeo yakibaki hivi kenge atahitaji tu kushinda 3 bila ili atutoe nafasi tuliyopo?
 
Big G
Snapinsta.app_468687382_1243059266987764_3079181025325476199_n_1080.jpg
 
Aliyesema Arsenal akikutana na Barca, Arsenal anakufa, aje aongee tena.

Kuna wengine walikuwa wanaona project ya Barcelona ishatiki ndani ya mwaka mmoja tu
 
Starting 11 yetu wakitoka 3 wakiingizwa 3 wa benchi timu inacheza kama hua hawawi wote mazoezini.

Hii inasababisha mchezaji wa starting 11 akipata majeraha basi ushindi kwetu unakua changamoto.

Angalau eneo la 6 wanajitahidi kuziba gaps namaanisha Partey na Jorginho. Lakini Odegaard kawa majeruhi na timu inastruggle na nje hakuna mbadala, on paper Sterling anatakiwa aweze kufanya kinachofanywa na Odegaard lakini hapana, kenge walikurupuka na sisi tuliiwahi late signing tukiamini tutabenefit na uzoefu wake.

Mpaka sasa amebenefit Nwaneri kwa kupata goli la kwanza la ligi, kitu ambacho Antony wa nyumbu aliyenunuliwa kwa 80M hana.
 
Hii mechi ndiyo inasubiriwa.

Shabiki wa Arsenal hasubiri hii mechi kama kipimo chake cha ubora ila anaisubiri hii mechi kwakua nyumbu ni miongoni mwa timu ambazo tunaenjoy kuzifunga.

Hua tunapenda mashabiki wake wakose raha.
Screenshot_2024-12-01-06-55-03-670_com.mobilefootie.wc2010-edit.jpg
 
Erik kichwa ngumu alitufunga game yake ya kwanza nyumbu wakaamini sasa wamepata kocha.

Wakaanza kumfananisha na Arteta 😅😅 same mistake they made walipomfananisha Ole na Arteta. Viazi vingine vilimfananisha Lampard na Arteta, Potter na Arteta, De Zerbi na Arteta, Ange na Arteta.

What followed ni hao wote kufukuzwa isipokua huyu Ange ila wameshaacha kumfananisha na Arteta. Kenge wamejifunza Enzo anawapa matokeo ila hakuna aliyemfananisha na Arteta, labda kwakua hata Enzo mwenyewe anakubali kwamba kwa sasa wapo nyuma kiubora kulinganisha na Arsenal.

Ile game aliyoshinda Erik Kichwa Ngumu nadhani ndiyo ilisababisha Lokonga atafutiwe mkopo. Wakati tunamnunua Vincent Kompany alisema tunampata Vieira na Fabregas ndani ya mtu mmoja.

Pengine amekosa sana game time ila hajafikia matarajio
 
Sasa unakumbuka wachezaji waliotakwa na Arsenal wakati timu inastruggle na wanagoma kuja wengine kisa mshahara, wengine ada ya usajili, wengine walisema timu inastruggle na ndoto zao ni kucheza CL.

Wengine walisema mmenifuata ila nimefuatwa pia na Barca, ndoto zangu ni kucheza Barca. Dili likifeli nitakuja kwenu. Kenge na Boehly wakaenda kwa Leeds wakalipa mpunga mnene halafu jamaa akajibu dili likifeli naenda Arsenal ndoto zangu ni Barca.

Nimesoma sehemu kwamba Vlahovic anaweza kuja Arsenal nikaona hawa mapimbi hawajui wanachokisema
 
Arsenal na Liverpool for decades ni tuna gentlemanly rivalry. Hatusumbuani nao kama Spurs, Kenge na Nyumbu, yawezekana ni kwa vile hatujawahi kua kwenye kugombea nao trophies for years kwakua kipindi tupo on fire wao walikua worse, wao wapo on fire sisi tulikua worse

Leo wapate suluhu tu mengine tutajua huko huko. Baadhi ya mashabiki wanasema ni bora ashinde Liva na siyo city kwakua ukimpa city confidence atakuumiza in the long run.

Wengine wamepoint bora suluhu. Ila kwa jinsi City wanacheza siku hizi na transition ya liva ilivyo sasa Liva wanaweza kushinda. City akirudia kucheza jinsi alivyocheza nao msimu nyuma, kuwasusia possession, itakua suluhu ya wazi.
 
Starting 11 yetu wakitoka 3 wakiingizwa 3 wa benchi timu inacheza kama hua hawawi wote mazoezini.

Hii inasababisha mchezaji wa starting 11 akipata majeraha basi ushindi kwetu unakua changamoto.

Angalau eneo la 6 wanajitahidi kuziba gaps namaanisha Partey na Jorginho. Lakini Odegaard kawa majeruhi na timu inastruggle na nje hakuna mbadala, on paper Sterling anatakiwa aweze kufanya kinachofanywa na Odegaard lakini hapana, kenge walikurupuka na sisi tuliiwahi late signing tukiamini tutabenefit na uzoefu wake.

Mpaka sasa amebenefit Nwaneri kwa kupata goli la kwanza la ligi, kitu ambacho Antony wa nyumbu aliyenunuliwa kwa 80M hana.
Na hili ndo ugonjwa uliowaondoa the likes of nelson,Emille smith na wengine.

Wanakuwa bench kama backup,wanaangalia game,Wana assess game na wanaingia kama new energy ila sasa wanachofanya kinashangaza.

Unajiuliza hivi huyu nelson si anatrain na Saka?hata kama hawezi kuwa kama Saka in terms of technical aspect je energy? Pattern of movements?
Siwez mlaumu arteta na edu kwa kumleta Raheem,nadhani walidhani anaweza leta kile anachowapa jorginho in terms of experience na quality.
 
Back
Top Bottom