Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu ulipotea sana mpaka nikahisi tayari umeshatupa manyanga na kuamua kuungana na boss wako Masingeli.
Humu alibaki chawa mmoja tu wa kuitwa mkorea tena kachezea spana za kutosha mpaka ikabidi mwenyewe aombe radhi na kujitetea kua ni Masingeli ndie aliekua anamshikilia akili yake, anadai kipindi kile hata yeye mwenyewe alikua hajitambui vizuri alikua anajikuta tu ameshaandika comments za kumsupport na kumuunga mkono Masingeli bila ya ridhaa yake.
Anadai Masingeli huenda alimtumia kwa nguvu za giza pasi na hiari yake[emoji23][emoji23][emoji23]
Fimbo utakazochezea j5 kama sio miguu ya stuli basi mkono
Nyumbu fans hamjaumbiwa furaha

#TUNAKUJA
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu ulipotea sana mpaka nikahisi tayari umeshatupa manyanga na kuamua kuungana na boss wako Masingeli.
Humu alibaki chawa mmoja tu wa kuitwa mkorea tena kachezea spana za kutosha mpaka ikabidi mwenyewe aombe radhi na kujitetea kua ni Masingeli ndie aliekua anamshikilia akili yake, anadai kipindi kile hata yeye mwenyewe alikua hajitambui vizuri alikua anajikuta tu ameshaandika comments za kumsupport na kumuunga mkono Masingeli bila ya ridhaa yake.
Anadai Masingeli huenda alimtumia kwa nguvu za giza pasi na hiari yake[emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi Hamis 7 masingeli yule tapeli wa mkuranga aliishia wapi ?
Au alibadili ID kabisa ?
Maana si kawaida kuwa kimya muda wote hivi
 
A season back Spurs akimfunga City tunatwaa ubingwa.

Spurs anapigwa.

Leo, suluhu inapunguza gap la point mpaka 6.

City anapigwa.

Biblia inasema ujisaidie kabla Yeye hajatoa msaada. Ifike mahali tujitegemee sisi kama sisi tusiathiriwe na mechi za wengine.

Been saying this for ages.
 
Ikifika tarehe 4

Arsenal atacheza na united
Chelsea na Southampton
City na Nottingham

Tarehe 5
Brighton na Fulham

Arsenal, chelsea, city, Brighton na Nottingham zote zinaweza kwenda nafasi ya pili.

On paper katika wote hao ambaye anatakiwa kusubiria upinzani mkali ni Arsenal na city ikiwa ataendelea na confidence aliyonayo sasa.

So Arsenal tunaenda hapo huku Partey majeruhi, Merino majeruhi, Calafiori majeruhi, White majeruhi, Magalhaes hati hati.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu hawa Arsenyau ni wa kwenda nao tu hivyohivyo, hawa sio wa kuishi nao kinyonge, hapa kwenyewe wana wasiwasi kwelikweli na mechi yetu.
Hizi kima kwanza hua hazijiamini muda wote zimesimama mkia juu kama ngiri, ukizikurupua tu kila mmoja anakimbilia chocho yake.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 sijajua arsenal lini atachukuabubingw. Kuna siku niliwahi kusema kuwa Chelsea atarudi kwenye form na kuchukua ubingwa kabla ya arsenal ambayo kila msimu yilupo on fire.....Title contender.....every year
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijajua arsenal lini atachukuabubingw. Kuna siku niliwahi kusema kuwa Chelsea atarudi kwenye form na kuchukua ubingwa kabla ya arsenal ambayo kila msimu yilupo on fire.....Title contender.....every year
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Arsenyo ni kama mkia wa mbuzi, umeumbiwa kusimama juu sio kuficha uchi.
Miaka yote wataendelea kua wapenzi wasindikizaji tu, wenyewe wameridhika na makombe ya Emirates[emoji23][emoji23][emoji23]
images-20.jpg
images-18.jpg
images-19.jpg
 
Kumbe na msimu huu wameshachukua na kombe na hawasemi[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mambo ya Tetaball hayo, unaambiwa Tetea ndio kocha mwenye makombe mengi kuliko kocha yoyote aliewahi kufundisha Arsenyo, wakikufungulia kabati lao kuna kombe moja la FA na makombe 6 ya Emirates, Tetea apewe mkataba wa kudumu Arsenyo, Epl yote hakuna wa kumzidi kimbinu.
Masingeli anakwambia Tetea ndio mkufunzi mkuu wa makocha wote hapo barani ulaya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom