Kwahiyo kua nafasi ya tatu mnaona mmemalizaNinyi Kenge mlikuwa mnaTuombea tufungwe ,tumemnywa supu Aston villa huko
Tumerudi nafasi yetu ,pimbi ninyi mlikuwa mmekaimu tu ,mabosi WA London tumerudi
Kwahiyo kua nafasi ya tatu mnaona mmemalizaNinyi Kenge mlikuwa mnaTuombea tufungwe ,tumemnywa supu Aston villa huko
Tumerudi nafasi yetu ,pimbi ninyi mlikuwa mmekaimu tu ,mabosi WA London tumerudi
Flano mkuu habari yako...ilibidi nikae kimya kidogo maana timu ilikuwa inapitishwa kwny moto mkali sana....Kila siku vichapo nikawa sina nguvu ya kubishana na ww shabiki lialia wa Manunu.....nakuheshimu sana Bro kwa kuwa na ngozi ngumu....kama mm ndo ningekuwa Niko Manunu...hakyanani nisingekuwa hata naingia jukwaani kuona maneno ya wadau....maana kuna watu Wana mdomo mchafu kwlikwli akianza kuiponda timu yqko


Mkuu ulipotea sana mpaka nikahisi tayari umeshatupa manyanga na kuamua kuungana na boss wako Masingeli. 


Mkuu, sie Bado tunajenga timu Hawa arsenal sio wenzetu kabisa.


Mkuu hawa Arsenyau ni wa kwenda nao tu hivyohivyo, hawa sio wa kuishi nao kinyonge, hapa kwenyewe wana wasiwasi kwelikweli na mechi yetu. Kapata kadi ya kipuuzi sana. Ni kama alikiwa overrated, Bora hata Cole PalmerHuyu Foden anazidi kua chura
Flano anajifurahisha tu ila ukweli anaujuaMkuu, sie Bado tunajenga timu Hawa arsenal sio wenzetu kabisa.
Fimbo utakazochezea j5 kama sio miguu ya stuli basi mkonoMkuu ulipotea sana mpaka nikahisi tayari umeshatupa manyanga na kuamua kuungana na boss wako Masingeli.
Humu alibaki chawa mmoja tu wa kuitwa mkorea tena kachezea spana za kutosha mpaka ikabidi mwenyewe aombe radhi na kujitetea kua ni Masingeli ndie aliekua anamshikilia akili yake, anadai kipindi kile hata yeye mwenyewe alikua hajitambui vizuri alikua anajikuta tu ameshaandika comments za kumsupport na kumuunga mkono Masingeli bila ya ridhaa yake.
Anadai Masingeli huenda alimtumia kwa nguvu za giza pasi na hiari yake![]()
Hivi Hamis 7 masingeli yule tapeli wa mkuranga aliishia wapi ?Mkuu ulipotea sana mpaka nikahisi tayari umeshatupa manyanga na kuamua kuungana na boss wako Masingeli.
Humu alibaki chawa mmoja tu wa kuitwa mkorea tena kachezea spana za kutosha mpaka ikabidi mwenyewe aombe radhi na kujitetea kua ni Masingeli ndie aliekua anamshikilia akili yake, anadai kipindi kile hata yeye mwenyewe alikua hajitambui vizuri alikua anajikuta tu ameshaandika comments za kumsupport na kumuunga mkono Masingeli bila ya ridhaa yake.
Anadai Masingeli huenda alimtumia kwa nguvu za giza pasi na hiari yake![]()
Wamesha pigwa kakaLiverfools wapigwe
🤣🤣🤣🤣Erling Humbleland anazurura tu kwenye games kubwa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 sijajua arsenal lini atachukuabubingw. Kuna siku niliwahi kusema kuwa Chelsea atarudi kwenye form na kuchukua ubingwa kabla ya arsenal ambayo kila msimu yilupo on fire.....Title contender.....every yearMkuu hawa Arsenyau ni wa kwenda nao tu hivyohivyo, hawa sio wa kuishi nao kinyonge, hapa kwenyewe wana wasiwasi kwelikweli na mechi yetu.
Hizi kima kwanza hua hazijiamini muda wote zimesimama mkia juu kama ngiri, ukizikurupua tu kila mmoja anakimbilia chocho yake.
Bora sisi nafasi ya tatu. Hatuna cha kupoteza ninyi mnajisikiaje mkipoteza ubingwa na msimu huu?Kwahiyo kua nafasi ya tatu mnaona mmemaliza
Arsenal tunataka ubingwaWamesha pigwa kaka
sijajua arsenal lini atachukuabubingw. Kuna siku niliwahi kusema kuwa Chelsea atarudi kwenye form na kuchukua ubingwa kabla ya arsenal ambayo kila msimu yilupo on fire.....Title contender.....every year


Arsenyo ni kama mkia wa mbuzi, umeumbiwa kusimama juu sio kuficha uchi. 

Kumbe na msimu huu wameshachukua na kombe na hawasemi😂😂😂Arsenyo ni kama mkia wa mbuzi, umeumbiwa kusimama juu sio kuficha uchi.
Miaka yote wataendelea kua wapenzi wasindikizaji tu, wenyewe wameridhika na makombe ya EmiratesView attachment 3166839View attachment 3166841View attachment 3166842