Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Brighton kamuongoza liva kipindi cha kwanza chote, unacheki mechi ni timu ambayo inataka kushinda.

Tumecheza na Liva wiki iliyopita tulikua shit, imagine na ni sisi ndiyo tunataka trophy
 
Kila msimu unapoanza unajipa natumaini pengine Arsenal wameelewa namna ya kucheza ligi.. Lakini unashangazwa kuona makosa yaleyale yanajirudia. Timu ina gape la zaidi ya Points 5 na aliye juu lakini hauoni timu ikishtuka kutaka kitu. Kuanzia kocha selection ya wachezaji mpaka uwanjani ni hakuna cha maana. Ukweli ambao huwa tuna ukataa ila utabaki kusimama, ni tuna mentality ya timu ndogo. Bado unajiona ni Inferior. Kila siku wachezaji wetu ni watoto tu hauoni kubadilika. Mechi ya Liverpool timu ilikuwa inaongoza moja na kipindi cha kwanza walicheza vizuri. wameingia kipindi cha pili wakaanza kucheza defensive game mpaka goli likarudi then wakashtuka wanataka nini wakaanza kushambulia. Hizi ni akili za timu ndogo. Washabiki wa Arsenal wengi wanafurahi leo Man city pengine anadondosha point lakini mathematically hakuna faida kwasababu City si timu ya kudondosha point kirahisi hivi karibuni ili uweze kumpata.. Sitaki kuwaongelea Liverpool kwasababu wote tunaona msimu huu wamekuja vipi.
 
Mbona nyinyi hamna kocha wa kueleweka na mnanenepa
Sisi kila msimu tunabeba makombe na bado tumemuona kocha hatoshei tumemtimua, sasa nyie wenzetu Tetea mwaka wa 6 huu hana kitu yoyote zaidi ya ka MwanaFA kamoja tena amekapata kwa assist ya Corona Virus halafu wenyewe mmeridhika kabisa, tukiwaambia mna mentality za mid table team mnakua wakali.
Nina uhakika huyo Tetea angekua anafundisha Brighton, Spurs au Villa hata misimu miwili asingemaliza wangekua tayari wameshamtimua, nyie endeleeni tu kuvumilia ujinga wa Masterclass on failure
 
Kila msimu unapoanza unajipa natumaini pengine Arsenal wameelewa namna ya kucheza ligi.. Lakini unashangazwa kuona makosa yaleyale yanajirudia. Timu ina gape la zaidi ya Points 5 na aliye juu lakini hauoni timu ikishtuka kutaka kitu. Kuanzia kocha selection ya wachezaji mpaka uwanjani ni hakuna cha maana. Ukweli ambao huwa tuna ukataa ila utabaki kusimama, ni tuna mentality ya timu ndogo. Bado unajiona ni Inferior. Kila siku wachezaji wetu ni watoto tu hauoni kubadilika. Mechi ya Liverpool timu ilikuwa inaongoza moja na kipindi cha kwanza walicheza vizuri. wameingia kipindi cha pili wakaanza kucheza defensive game mpaka goli likarudi then wakashtuka wanataka nini wakaanza kushambulia. Hizi ni akili za timu ndogo. Washabiki wa Arsenal wengi wanafurahi leo Man city pengine anadondosha point lakini mathematically hakuna faida kwasababu City si timu ya kudondosha point kirahisi hivi karibuni ili uweze kumpata.. Sitaki kuwaongelea Liverpool kwasababu wote tunaona msimu huu wamekuja vipi.
Tafuteni kocha wa kueleweka, Tetea ni mid table coach, uwezo wake unaishia kuiwezesha timu kuingia top 4.
Tetea maisha yake yote tokea awe mchezaji mpaka sasa hivi ni kocha hajawahi kushinda kombe lolote kubwa zaidi ya FA halafu nyie mashabiki ndio mnamtegemea aje awapee Epl na Uefa
 
Bado hamjachelewa mchukueni hata 10Hag kabla hajabebwa na timu nyingine halafu mtakuja kunishukuru baadae.
Ndugu yangu Labyrinth 84 nakuomba uje utoe neno lolote humu huenda hawa mayatima wakafarijika na busara zako.
😂😂😂😂 hawq ma false hopers saivi wanatia huruma zile false hopes zinaanza kufifia mapema tena this season tusishangae wakarudi walipotoka.
 
IMG_4164.jpeg
 
Kesho kina Labyrinth wana alama zetu 3.

Mpaka leo huwa nashangaa sana mtu anaamuaje kuhamia Newcastle eti kisa wameingia top 4 msimu mmoja kwa kubebwa bebwa
Hapo vipi ?? bado unalakusema ?
Mlikua mnajipa matumaini kufungwa ni mpaka red iwepo leo vipi??

Hata mimi huwa nashangaa mtu unaendeleaje kushabikia Arsenal miaka 21 bila EPL .
Watu wamezaliwa mpaka sasa wameoa lakini arsenal haina EPL na haitakua nayo miaka mingine 25 ijayo.
 
Unaonaje, hiki kikosi cha misimu hii mitatu angekuwa nacho Prof. Wenger tungefikia alipofikia Arteta?
wewe mpira unaangalia kweli?? wenger alikua ana kikosi cha bei chee na bado alikua analeta upinzani ? toka arsenal imeaanza hakuna kocha aliepewa back up ya maana kama arteta na bado zero trophy.
Unai emery akupewa back up yoyote hata pepe hakumtaka ila bodi ya arsenal walimpelekea kwa lazima.
 
Unaonaje, hiki kikosi cha misimu hii mitatu angekuwa nacho Prof. Wenger tungefikia alipofikia Arteta?
wewe mpira unaangalia kweli?? wenger alikua ana kikosi cha bei chee na bado alikua analeta upinzani ? toka arsenal imeaanza hakuna kocha aliepewa back up ya maana kama arteta na bado zero trophy.
Unai emery akupewa back up yoyote hata pepe hakumtaka ila bodi ya arsenal walimpelekea kwa lazima.
 
Back
Top Bottom