IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,735
- 7,080
Ifike wakati muone aibu nyie kenge. 10AG kabeba makombe na bado wamemtimua, nyie bado mnachekacheka na uyo tapeli Arteta. Ngoja mgongwe na huyo tapeli arteta labda akili zitawaka sawa.
Mlidhulumiwa nini!?😂Supu ya jogoo tamu sana. Jana tulidhulumiwa ila sisi vicheche tukiingia bandani pale Anfield ni mwendo wa kujisevia tu vidari.
Hiyo siku, tumewapiga chache sanaaa, tatu.
Tunafungwa ila siyo na Arsenyosio lazima. kwani huwa hamfungwagi anfield?
Kabla ya kumtupia lawama refa tafuteni kwanza kocha wa kueleweka, la sivyo kila msimu nyie mtakua mnaishia tu kua wapenzi wasindikizaji
View attachment 3137401
Umeshawahi kuona wapi kuku akikaanga? Je, umeona na kununua mara ngapi au kukaanga mwenyewe kuku? Sasa kati ya hivyo viwili, unaona kipi ndicho kinawezekana kutokea?Mlidhulumiwa nini!?😂
Tunawasubiri tuwakaange
Unashangaa nini wakati mtu anaangalua mpira mzuriKesho kina Labyrinth wana alama zetu 3.
Mpaka leo huwa nashangaa sana mtu anaamuaje kuhamia Newcastle eti kisa wameingia top 4 msimu mmoja kwa kubebwa bebwa
Wale Nyukesto sio wa kudharau kabisa wakiwa pale kwao, wanakuaga kama mbogo hasa wakikutana na timu kubwa, yan ni kama enzi zile IhefuKesho kina Labyrinth wana alama zetu 3.
Mpaka leo huwa nashangaa sana mtu anaamuaje kuhamia Newcastle eti kisa wameingia top 4 msimu mmoja kwa kubebwa bebwa