Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Acha kumfanisha Ten Hag na vitu vya kijinga kijinga, ukiwa na 10hag haumalizi ligi mikono mitupu, unakua na uhakika kila msimu unabeba kombe.
Tena amuombe radhi baba wa watu kanyanyua kwapa mara 2. Na kusema ukweli Ten hag alianza kufelishwa na majeruhi msimu wake wa kwanza na wa pili. Ilianza beki Luke Shaw, Malacia, Casemilo ambaye ndiye alikuwa kiungo tegemeo hapo ndipo akapoteza formation akaanza kucheza papatu papatu mradi ashinde chochote. Mimi ni Arsenal dama tesema ukweli daima fitna kwangu mwiko, Arteta must go.
 
arteta nyumba aliyoanza kuijenga ilibakia finishing lkn anaibomoa tena mwenyewe kwa mikono yake.

merino bado hatakiwi kuingia kwenye XI kwa haraka namna hii ;partey ama jorginho ndio wanatakiwa ku partner na rice kwenye mid kwa ssa.
yani wewe ndio umeona nilichokuwa nakiona mm yani kaanzisha offensive player karibu wote mbele hakuna midfielder waku balance timu ndio maana wakazidiwa nyuma na mbele napo wamezidiwa kupata hata shot on target

martinel torrsad kai saka hawa wote ni offensive player matokeo unabaki na merino × rice katikat wakija kusaidiwa na inverted full back ya partey ni very risky hivo ni. labda ucheze na Iptshwi sio hawa magpies

alitakiwa mbele aache martinel kai saka kati apande partey au aanze jorgino rice partey nyuma afunge busta zincheko saliba gabby timber rb then white as sub
 
arteta nyumba aliyoanza kuijenga ilibakia finishing lkn anaibomoa tena mwenyewe kwa mikono yake.

merino bado hatakiwi kuingia kwenye XI kwa haraka namna hii ;partey ama jorginho ndio wanatakiwa ku partner na rice kwenye mid kwa ssa.
Naaam mim mwenyew kuna mtu nimetoka kumuambia mtu hiki kitu baada ya game, combo ya Rice na Merino, trousard haitakuna kulipa kamwe may be wacheze na mchezaji mwenye kariba ya kushambulia, mfano ode,Ethan,pemben yao ila hivi anapiga mbuzi gitaa
 
arteta nyumba aliyoanza kuijenga ilibakia finishing lkn anaibomoa tena mwenyewe kwa mikono yake.

merino bado hatakiwi kuingia kwenye XI kwa haraka namna hii ;partey ama jorginho ndio wanatakiwa ku partner na rice kwenye mid kwa ssa.
Naaam mim mwenyew kuna mtu nimetoka kumuambia mtu hiki kitu baada ya game, combo ya Rice na Merino, trousard haitakuna kulipa kamwe may be wacheze na mchezaji mwenye kariba ya kushambulia, mfano ode,Ethan,pemben yao ila hivi anapiga mbuzi gitaa
 
arteta nyumba aliyoanza kuijenga ilibakia finishing lkn anaibomoa tena mwenyewe kwa mikono yake.

merino bado hatakiwi kuingia kwenye XI kwa haraka namna hii ;partey ama jorginho ndio wanatakiwa ku partner na rice kwenye mid kwa ssa.
Naaam mim mwenyew kuna mtu nimetoka kumuambia mtu hiki kitu baada ya game, combo ya Rice na Merino, trousard haitakuna kulipa kamwe may be wacheze na mchezaji mwenye kariba ya kushambulia, mfano ode,Ethan,pemben yao ila hivi anapiga mbuzi gitaa
 
Kumfunga Newcastle is not for eviribade 😂


Screenshot_20241102-180225.png
 
Huu msimu hata sioni tukiwa washindani. Tufanye maisha mengine
Tutarudi tukiwa Imara zaid, kinachotokea ni kawaida kwenye mpira wa miguu licha ya kocha kua na kiburi na uoga pia,

Kitatokea kilichotokea baada ya kipindi kile kupoteza gan na Aston villa last season alijilekebisha timu ikawa poa, naamin itakaa poa.
 
Huu msimu hata sioni tukiwa washindani. Tufanye maisha mengine
Tutarudi tukiwa Imara zaid, kinachotokea ni kawaida kwenye mpira wa miguu licha ya kocha kua na kiburi na uoga pia,

Kitatokea kilichotokea baada ya kipindi kile kupoteza gan na Aston villa last season alijilekebisha timu ikawa poa, naamin itakaa poa.
 
Tutarudi tukiwa Imara zaid, kinachotokea ni kawaida kwenye mpira wa miguu licha ya kocha kua na kiburi na uoga pia,

Kitatokea kilichotokea baada ya kipindi kile kupoteza gan na Aston villa last season alijilekebisha timu ikawa poa, naamin itakaa poa.
Shida siyo kua poa shida ni kutafuta kombe, haya makosa wapinzani wetu wanayafanya?
 
Back
Top Bottom