Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yamepigwa tenaaaaaaa , punda ninyi kabisa
Njooonii tuyajazie nzi hukuuuuuuuuuuuuu
 
Kuna muda mimi kama shabiki wa Man Utd nalia sana kuhusu timu yangu, ila nikiwaangalia ndugu zangu Arsenyau nabaki nacheka tu.
Masterclass tumpe miaka 7 tena huenda Covid ikarudi akatupea kombe lingine la FA.
1730575352696.jpg
 
Mtu na akili zako timamu kichwani, unategemea timu inayopiga shot on target 1 ndani ya Dk 90 tena dhidi ya Newcastle ndio iwe Bingwa, SERIOUS
FB_IMG_17305780480871222.jpeg
 
Back
Top Bottom