Datascientist
Senior Member
- Jul 23, 2024
- 109
- 299
Eti uchukue ubingwa kwa kumtegemea Saka. Mnachekesha sana nyie kenge
Hongereni kwa alama 3...ama kweli this is epl wqzee. Wa boko haramu football kulikoni tena😂😂😂Kesho kina Labyrinth wana alama zetu 3.
Mpaka leo huwa nashangaa sana mtu anaamuaje kuhamia Newcastle eti kisa wameingia top 4 msimu mmoja kwa kubebwa bebwa
.Kesho kina Labyrinth wana alama zetu 3.
Mpaka leo huwa nashangaa sana mtu anaamuaje kuhamia Newcastle eti kisa wameingia top 4 msimu mmoja kwa kubebwa bebwa
.Kesho kina Labyrinth wana alama zetu 3.
Mpaka leo huwa nashangaa sana mtu anaamuaje kuhamia Newcastle eti kisa wameingia top 4 msimu mmoja kwa kubebwa bebwa
.Kesho kina Labyrinth wana alama zetu 3.
Mpaka leo huwa nashangaa sana mtu anaamuaje kuhamia Newcastle eti kisa wameingia top 4 msimu mmoja kwa kubebwa bebwa
SawaKesho kina Labyrinth wana alama zetu 3.
Mpaka leo huwa nashangaa sana mtu anaamuaje kuhamia Newcastle eti kisa wameingia top 4 msimu mmoja kwa kubebwa bebwa
Mstari mwembamba sana una mtofautisha ten hag na arteta


Acha kumfanisha Ten Hag na vitu vya kijinga kijinga, ukiwa na 10hag haumalizi ligi mikono mitupu, unakua na uhakika kila msimu unabeba kombe.

Bado hamjachelewa mchukueni hata 10Hag kabla hajabebwa na timu nyingine halafu mtakuja kunishukuru baadae. 