Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Humu maneno yamepungua sababu City kafungwa, wangeshinda mngeona kila aina ya takataka inaletwa, mpira wa JF mihemko inatangulizwa mbele, No rationale behind, Some Men here behave like Gays. They chase attention like women.
 
Chelsea atashinda EPL kabla ya hiki kikundi chenu cha wapika Gongo.

Huna timu ya kuchukua EPL huna NEVER sahau.
Haya maneno ni ya kweli kabisa 😂 nayaamini 100%.
Chelsea atachukua EPL kabla ya arsenal, neno "kabla ya arsenal " nimelitumia vibaya maana arsenal hawezi beba EPL.
Kombe zito lile sioni mchezaji yeyote wa false hopers kulinyanyua.
 
Kwa kawaida hua sitabiri mchukua kombe kabla ya msimu au mwanzoni ila kwa msimu huu sioni tukiwa hata washindani.

Kwa kuandika hivi namaanisha pia inatakiwa tuwe na conversation ndogo tu na tujiulize "Mbinu za Arteta zimefika mwisho?"

Misimu miwili nyuma timu zilikua hazitufanyii high pressing kwa kuhofia, msimu huu timu nyingi hazijahofia kufanya high pressing, tunaweza kusema ni kwa vile hatuna Martin na wachezaji wengi viwango vimekata na wengine majeruhi.

Ok sawa. Kocha na benchi lake wameshindwa kujua tuchezaje ili kuoptimise strength ya waliopo? Kwa kuandika hivyo namaanisha pia kocha na benchi lake hawajawahi kujiuliza struggling inakujaje tukiwa pungufu?

Kwenye mechi ya UEFA Chelsea dhidi ya Ajax. Ajax anagewa red ya kwanza anazidi kumbonda Chelsea ikatafutwa red ya 2 ndiyo chelsea akasuluhu ile mechi. Kisheria wachezaji wakiwa chini ya 7 mechi haichezwi.

This means ili kushinda unahitaji wachezaji 7 tu na Kipa wa nane. Katika mechi 19 tulizocheza pungufu tumeshinda 3 tumesuluhu 8 zilizobaki kipigo. Shida ni kwamba hiyo suluhu inatafutwa kinyonge mno.

Maximo kocha wa Taifa Stars alikua ana tabia ya kuchezesha timu na wachezaji pungufu ili kuwapa uzoefu ikitokea scenario ya red card. Formation ni 4 3 3 na tushaona formation ambayo ni 5 3 2 na tushaona 4 2 4 this means mtu mmoja kutoka haitakiwi kua changamoto. Kwakua mid 2 wanatosha na forwards 2 wanatosha vilevile. Ila unahitaji mtu wa kuweza kuhama na kijiji.

Unahitaji forwards za kuhama na kijiji. Ambazo zitafuata box na siyo kulikimbia means unamhitaji Sterling na Jesus au Trossard na Martinelli. Kazi inaonekana ngumu kwakua Kai hana akili hii.

Cheza 4 3 2 ila hawa 2 wawe mbele ya box na siyo kule kwenye wings. Benchi ni shit kushindwa kuona vitu basic. Ni upuuzi
Mkohoti mimi na wewe msimu huu ni malofa tu tukapambanie Mickey mouse cups
 
Kocha mwaka wa sita, mafanikio ni kuingia UCL

Huu msimu hata top four hampo

Wajalana
Tatizo sio kocha tatizo ni Arsenal kwa ujumla😂😂. Labda mbadilishe jina maana kila timu inajua arsenal ni false hopers .
Xhaka kaenda Leverkusen kabeba kombe , kila anaeondoka arsenal lazima akifika sehemu nyingine abebe kombe kina xhaka, fabregas, nasri ,giroud,clichy , flamini, helb, chamberlain na wengine wengi.

xhaka kacheza arsenal misimu 7 bila kombe kaenda leverkusen first season tayari ana kombe.
Fabregas misimu 8 bila kombe akaenda spain karudi EPL kashinda 2 🏆 epl with chelsea akaenda monaco kacheza kastaafu saivi ni kocha ila arsenal bado hana EPL 😂😂😂😂.
Chamberlain kashinda both EPL and Champions league with Liverpool.
Unadhani hata wao wanaiona vipi arsenal si kama kituko tu mbele ya macho yao.
 
Tatizo sio kocha tatizo ni Arsenal kwa ujumla😂😂. Labda mbadilishe jina maana kila timu inajua arsenal ni false hopers .
Xhaka kaenda Leverkusen kabeba kombe , kila anaeondoka arsenal lazima akifika sehemu nyingine abebe kombe kina xhaka, fabregas, nasri ,giroud,clichy , flamini, helb, chamberlain na wengine wengi.

xhaka kacheza arsenal misimu 7 bila kombe kaenda leverkusen first season tayari ana kombe.
Fabregas misimu 8 bila kombe akaenda spain karudi EPL kashinda 2 🏆 epl with chelsea akaenda monaco kacheza kastaafu saivi ni kocha ila arsenal bado hana EPL 😂😂😂😂.
Chamberlain kashinda both EPL and Champions league with Liverpool.
Unadhani hata wao wanaiona vipi arsenal si kama kituko tu mbele ya macho yao.
Kuna jamaa yangu aliniambia alianza kushabikia EPL 2003/2004 baada ya Arsenal kuchukukua ubingwa.

Leo anajiuliza kweli alifanya maamuzi sahihi 2004 kuanza kushabikia arsenal kisa ilibeba ubingwa? Jamaa yupo njia panda hajui afanyaje.
 
Kwa kweli tuko hoi.
Kila msimu unapoanza unajipa natumaini pengine Arsenal wameelewa namna ya kucheza ligi.. Lakini unashangazwa kuona makosa yaleyale yanajirudia. Timu ina gape la zaidi ya Points 5 na aliye juu lakini hauoni timu ikishtuka kutaka kitu. Kuanzia kocha selection ya wachezaji mpaka uwanjani ni hakuna cha maana. Ukweli ambao huwa tuna ukataa ila utabaki kusimama, ni tuna mentality ya timu ndogo. Bado unajiona ni Inferior. Kila siku wachezaji wetu ni watoto tu hauoni kubadilika. Mechi ya Liverpool timu ilikuwa inaongoza moja na kipindi cha kwanza walicheza vizuri. wameingia kipinledi cha pili wakaanza kucheza defensive game mpaka goli likarudi then wakashtuka wanataka nini wakaanza kushambulia. Hizi ni akili za timu ndogo. Washabiki wa Arsenal wengi wanafurahi leo Man city pengine anadondosha point lakini mathematically hakuna faida kwasababu City si timu ya kudondosha point kirahisi hivi karibuni ili uweze kumpata.. Sitaki kuwaongelea Liverpool kwasababu wote tunaona msimu huu wamekuja vipi.
Kocha mbwa sana yule na wachezaji wamelegea kama wa..nge.
 
Current top 4
1.Liverpool
2.Man city
3.Nott.Forest
4.Arsenal
Unaambiwa hii top 4 ya sasa Arsenal pekee hana UEFA, yaani arsenal kila category yeye ni victim tu 😂😂😂.
Tuwawekee wapi nyinyi watu ili mtambe maana kila sehemu mnakua vibonde
 
Nyie magoigoi, nawakaribisha kufatilia mechi ya kiume kati ya Chelsea na nyumbu, nawahakikishia tunakwenda kuinyanyua London mana London is blue 🔵🔵🔵
 
Edu atumalizie kwanza pesa kidogo usajili wa Kai na Jog kabla hajaachia udirector
 

Attachments

  • 20241104_131653-1.jpg
    20241104_131653-1.jpg
    1.2 MB · Views: 5
Back
Top Bottom