Oya we Kenge Mimi sio Kama wewe Mzee multiple ID huo ni udhaifu mkubwa , Mimi ni Adriz The GunMan sina haja ya kujificha vichaka vingi Mimi iwe Mbichi au kavu ID moja nasema nao maboya kama wewe.adriz tulia weweee. Unaskia wewe no nyauuuuu.
Mwambie alale pambaaaaf. Mara ya kumi mnakuja hapa Etihad na hamjawahi kushinda.Rayaaaa lalalaaaaaa mwanangu
Vijana wamepambana Sana COYGNimeumia, nimeumizwa.
Sio mbaya, tumepambana vyema tukiwa pungufu.