Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,512
- 9,552
Huyu Savinho man city wamemtoa wapi tena? au wanatengeneza wachezaji maabara?
Hakuna unachojua kuhusu mpiraMbwa koko, soma ubao
Jamaa ni machachari sana.Huyu Savinho man city wamemtoa wapi tena? au wanatengeneza wachezaji maabara?
Usajili wa dogo unatakiwa kufanya makosa yawe 116. Ni utapeli sana umefanyikaHuyu Savinho man city wamemtoa wapi tena? au wanatengeneza wachezaji maabara?
sijakuelewaUsajili wa doo unatakiwa kufanya makosa yawe 116. Ni utapeli sana umefanyika
Unatazama mechi gani?Ukimuona Saka au Kai wamegusa mpira unishtue. Dakika ya 36 sasa hawajui mpira ukoje.
Hiyo ni mechi ya wakubwa,hao sio palace.Ukimuona Saka au Kai wamegusa mpira unishtue. Dakika ya 36 sasa hawajui mpira ukoje.
Punda weweEndeleeni kuota KENGE nyie
Umeona zinatulipa, shida ni kwamba hatukumbuki kuzipigaCastr Umemuinbox Mwalimu nini maana ulikuwa unalilia long shots...