Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 10,703
- 11,810
Hakuna unachojua kuhusu mpiraMbwa koko, soma ubao
Hakuna unachojua kuhusu mpiraMbwa koko, soma ubao
Jamaa ni machachari sana.Huyu Savinho man city wamemtoa wapi tena? au wanatengeneza wachezaji maabara?
Usajili wa dogo unatakiwa kufanya makosa yawe 116. Ni utapeli sana umefanyikaHuyu Savinho man city wamemtoa wapi tena? au wanatengeneza wachezaji maabara?
sijakuelewaUsajili wa doo unatakiwa kufanya makosa yawe 116. Ni utapeli sana umefanyika
Unatazama mechi gani?Ukimuona Saka au Kai wamegusa mpira unishtue. Dakika ya 36 sasa hawajui mpira ukoje.
Hiyo ni mechi ya wakubwa,hao sio palace.Ukimuona Saka au Kai wamegusa mpira unishtue. Dakika ya 36 sasa hawajui mpira ukoje.
Punda weweEndeleeni kuota KENGE nyie