Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,511
- 9,562
Duuuh mbona msako umekuwa mkali sana tutapona kweli.
Leo aseno anaondoka na point hapaHii game Arsewowo mkishinda inabidi timu nyingine zijifunze kutoka kwenu jinsi ya kucheza na wachezaji pungufu
Hivi unajua kama ni majeruhi huyo mtu hata benchi hayupo? Ndiyo maana bets zako unaliwaKDB anahitajika kuingia.
Kama Brighton alipata goli sion city akishindwaDuuuh mbona msako umekuwa mkali sana tutapona kweli.
Mbona timu kibao zimeshashinda na wachezaji pungufuHii game Arsewowo mkishinda inabidi timu nyingine zijifunze kutoka kwenu jinsi ya kucheza na wachezaji pungufu