arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Mnacheza UEFA lini mkuuš¤ š¤ š¤ tumuangalie Antony masebene akifanya yake maana naona Kila mkijaribu kuomba Dua mbaya inagonga mwamba....tushamaliza na Atlanta Sasa j2 unganeni wote muwe upande wa Haaland ila utaratibu wetu ni uleule....watakaa na mpira ila kukatisha pale kwny boksi ni marufuku...wakijitahidi saaaana wataishia kupiga mashuti ya mbali kama wenzao Atlanta janaSiku hizi zile kelele za pressing na overloading, positional interchange na flexibility hatuzisikii tena
![]()

