Nyie wehu mmeondoka na hela yangu jana, ctaki hata kuwasikia. Kama kumfunga tu Atalanta mmeshindwa ndio mnategemea kumfunga City.Wanga huwa wanaonekana tu mkuu...Flano na Mkohoti wao timu zao sijui zinacheza mashindano gani Ulaya maana hatujawasikia wiki hii....Sasa hii nguvu ya kuanza kufuatilia mechi za UEFA tangu j4 mpk Alhamisi wanaitoa wapi sijui🤠🤠🤠....Manunu nasikiasikia wiki hii alicheza na mafundi gereji akashinda Saba Sasa sijui kuna ukweli au alonambia kanidanganya....na sijui ni kombe gani lile