Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Siku hizi zile kelele za pressing na overloading, positional interchange na flexibility hatuzisikii tena
Mnacheza UEFA lini mkuu🤠🤠🤠 tumuangalie Antony masebene akifanya yake maana naona Kila mkijaribu kuomba Dua mbaya inagonga mwamba....tushamaliza na Atlanta Sasa j2 unganeni wote muwe upande wa Haaland ila utaratibu wetu ni uleule....watakaa na mpira ila kukatisha pale kwny boksi ni marufuku...wakijitahidi saaaana wataishia kupiga mashuti ya mbali kama wenzao Atlanta jana
 
Kama timu yako haipo UEFA nenda kaoshe vyombo acha kusumbua wanaume na comments za kimama mama
Wanga huwa wanaonekana tu mkuu...Flano na Mkohoti wao timu zao sijui zinacheza mashindano gani Ulaya maana hatujawasikia wiki hii....Sasa hii nguvu ya kuanza kufuatilia mechi za UEFA tangu j4 mpk Alhamisi wanaitoa wapi sijui🤠🤠🤠....Manunu nasikiasikia wiki hii alicheza na mafundi gereji akashinda Saba Sasa sijui kuna ukweli au alonambia kanidanganya....na sijui ni kombe gani lile
 
Wanga huwa wanaonekana tu mkuu...Flano na Mkohoti wao timu zao sijui zinacheza mashindano gani Ulaya maana hatujawasikia wiki hii....Sasa hii nguvu ya kuanza kufuatilia mechi za UEFA tangu j4 mpk Alhamisi wanaitoa wapi sijui🤠🤠🤠....Manunu nasikiasikia wiki hii alicheza na mafundi gereji akashinda Saba Sasa sijui kuna ukweli au alonambia kanidanganya....na sijui ni kombe gani lile
Nyie wehu mmeondoka na hela yangu jana, ctaki hata kuwasikia. Kama kumfunga tu Atalanta mmeshindwa ndio mnategemea kumfunga City.
 
Mech ya jana ilikuwa ya kimbinu zaidi kuliko individual brilliance .
Atlanta wanafanya yafuatayo kwa usahihi.
-Wanakaba pamoja kwa usahihi mno
-Hawaachi nafasi kati ya phase tatu za uwanja,yaani wana ile compactness.
-walizuia central progression kwa usahihi na ndo maana partey na rice wakaonekana kama hawafanyi chochote.
-walihakikisha hakuna space kubwa kati ya wings na fullbacks ili kuondoa 1&1 na hapa walifanikiwa.saka na martinell wakafichwa kidogo.
-highline pressing yao ni next level na kama tungekuwa na beki za hovyo lolote lingetokea.
-walijua kuandaa mchezaji wa kuja kubadili matokeo au rhythm ya mchezo.cuardrado aliiamsha sana game kwa zile long shorts zake.wale wanaomlaumu arteta kumuacha nje trossard jana wamejifunza kitu kwa juan cuardrado.
-walikuwa vizuri mno kwenye ball recovery na hii ikafanya mid yetu na front three kuonekana kama hawapo kazini.

Mwisho atlanta ni timu iliyojengeka kwa structure,pattern of play na sio individual brilliance .

Ogopa sana mfumo wa timu kuliko uwezo wa mchezaji mmojammoja.wako vizuri hawa
 
Kuna kitu watu hawakukiona mechi ya jana.physical fitness ya atlanta ni ya ajabu.wana miili na wana kasi.kolasinac na umbo lake kubwa ila ndani ya atlanta anaonekana wa kawaida.
Hizi ndio game tunazihitaji maana zinampa maswali mengi kocha.

Kocha wa makipa šŸ™šŸ»šŸ™šŸ»šŸ™šŸ» kazi yake kwa raya inaonekana hasa kwa short stopping.
 
Hivi saka,martinell,trossard,rice na hata ode kuna kitu wamejifunza kwa juan cuardrado na zile long shorts zake kwa dakika chache alizocheza?

Imagine kama hao kila mmoja angejaribu shuti moja huenda tungekuwa na hadithi nyingine.
 
Kuna kitu watu hawakukiona mechi ya jana.physical fitness ya atlanta ni ya ajabu.wana miili na wana kasi.kolasinac na umbo lake kubwa ila ndani ya atlanta anaonekana wa kawaida.
Hizi ndio game tunazihitaji maana zinampa maswali mengi kocha.

Kocha wa makipa šŸ™šŸ»šŸ™šŸ»šŸ™šŸ» kazi yake kwa raya inaonekana hasa kwa short stopping.
Niliimiss game jana, nacheki replay hapa.

Baada ya refa kuweka tuta, moja kwa moja David Raya akaenda benchi la ufundi, kuonana na kocha wa makipa, Inaki Cana. Matokeo, kasave both penalty na rebound

If only tungevuta Gyokeres/Nico/Leao...

20240920_111611.jpg

 
Nyie wehu mmeondoka na hela yangu jana, ctaki hata kuwasikia. Kama kumfunga tu Atalanta mmeshindwa ndio mnategemea kumfunga City.
Wanajisifu ku-draw na Atalanta kisa lIver alifungwa msimu ulopita. Amini, few years mbele Man U na Chelsea tunabeba hizi big trophies before hawa wahuni.Mentality ya timu ndogo Ile alosema Rodri.
 
Hivi saka,martinell,trossard,rice na hata ode kuna kitu wamejifunza kwa juan cuardrado na zile long shorts zake kwa dakika chache alizocheza?

Imagine kama hao kila mmoja angejaribu shuti moja huenda tungekuwa na hadithi nyingine.
Acha kumfananisha Cuadrado na takataka
 
Wanajisifu ku-draw na Atalanta kisa lIver alifungwa msimu ulopita. Amini, few years mbele Man U na Chelsea tunabeba hizi big trophies before hawa wahuni.Mentality ya timu ndogo Ile alosema Rodri.
Shangaa na wewe!! Hawa ni mazwazwa. Na mwingine anakwambia wana defence bora kisa hawajafungwa na Halland, anasahau sio kila mechi lazima afunge.
 
Unakandia huku unatubetia🤠🤠🤠...j2 tubetie tena....na siku tukikutana na nyny tubetie tena ila shangilia timu yako kibishi maana utaumia kwmba tumekudunda ila kwny mkeka utakuwa umekula....kumbe una akili kidogo we jamaa...nilijua ni kilaza kumbe zinachaji kidogo
Nyie wehu mmeondoka na hela yangu jana, ctaki hata kuwasikia. Kama kumfunga tu Atalanta mmeshindwa ndio mnategemea kumfunga City.
tia
 
Wanajisifu ku-draw na Atalanta kisa lIver alifungwa msimu ulopita. Amini, few years mbele Man U na Chelsea tunabeba hizi big trophies before hawa wahuni.Mentality ya timu ndogo Ile alosema Rodri.
Hii Iko wazi
United na Chelsea watachukua EPL au UCL kabla ya Hawa
Ongopa timu inajisifu Kwa aerial duel won, sijui overload,
Vituko FC
 
Back
Top Bottom