SawaNyumbu sasa hivi ni mwendo wa Seksi football tu, halafu Arsenyau imehamia kwenye haram football ni mwendo wa papatu papatu.
SawaNyumbu sasa hivi ni mwendo wa Seksi football tu, halafu Arsenyau imehamia kwenye haram football ni mwendo wa papatu papatu.
Amka usingizini, usije ukaloesha mashuka.Hiyo match fair, 1-1/0-0
Sterling hana quality za kuwa mid, he has never played inside, atleast Bukayo
Muhindi ndo anacheza mpira uwanjani sio🤠🤠🤠....sometimes naona kama uko timamu hivi ila kumbe bdo dishi limeyumba....saa 12 karibu sana pale Etihad uone namna Haaland atakavyokuwa anazurura kule mbeleNiliwabetia nikijua mmeshapata utimamu kumbe bado wagonjwa, na kwa City mmepewa 4 na mhindi. Inamaana hamna namna mnatoka kondoo nyie.
Tunamuombea mungu awe fiti leo acheze Ili tuone mipasi yake🤠🤠🤠...kauli mbiu ni ileile...hakuna kukatiza hovyohovyo pale katikati....wachezee mpira pembeni hukoJitahidini kumlinda KDB asiwe mwekundu usoni.
Kama hiviSheria inasema mchezaji akislide tackle kwa miguu miwili hata kama ataupata mpira na kutomgusa kabisa mchezaji mwingine hiyo ni red card.
Martinez jana amemrukia Kamada kwa miguu yote ila akagewa red.
Xhaka aliwahi slide kwa double feet akamkosa kabisa mchezaji na mpira akagewa red.
Kompany aliruka slide ya double feet kwa Nani. Nani akamruka Kompany ila Kompany akatolewa kwa red ingawa alimkosa Nani.
Kiazi kinadhani kipo WWE
na arsenal woman naona inamkanda man city apaLeo wadau tuna game ngumu sana. Ila tunawamudu
Mbona kinyonge sasaLeo wadau tuna game ngumu sana. Ila tunawamudu
AweeeeehPoint yangu ilikua kwamba kwa namba 9 Spurs ni bora Solanke kwakua ambaye hua anacheza hiyo namba, Richarlson, ni mbovu zaidi ya Solanke.
Pili, top goal scorer wa misimu miwili, Haaland, ameshindwa kuscore dhidi ya Arsenal. Hauoni kama ST mwingine yeyote utakua unamuonea tu?
Moja ya ujinga walifanya timu ya wanawake ni kumuachia miedema,leo amewaonyesha umuhimu wake,huyu ni bonge la mchezaji walimuacha kisa majeraha ya mara kwa mara wakasahau namna alivyowasaidia.na arsenal woman naona inamkanda man city apa
Mwishowe utasema na kumuachia smith rowe yalikuwa ni makosa kwasababu wanafunga.Moja ya ujinga walifanya timu ya wanawake ni kumuachia miedema,leo amewaonyesha umuhimu wake,huyu ni bonge la mchezaji walimuacha kisa majeraha ya mara kwa mara wakasahau namna alivyowasaidia.