toobiter
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 1,422
- 2,791
Kuna mashabiki wanafikiri tatizo ni kocha,huwez walaumu kwani kocha ni kama baba na hawez kukwepa kuwajibika kama mambo hayako sawa.ila swali unamleta nani?sio kwamba kabla yake timu haikuwepo wala haikuwa na kocha ila swali la msingi linabaki palepale unayemleta anakupa nini?
Mzigo unakuwa mkubwa kwa kocha hasa wanapotazama mafanikio ya muda mfupi ya kocha alonso pale Leverkusen.
Tafadhari,unapomdharau arteta kumbuka pia kuheshimu uwezo wa pep guardiola.jamaa hafai na ana kila kitu kinachohitajika kuifanya timu ishinde mataji.
Ana mbinu
Ana quality players
Timu ina hela
Na ni giniaz
Mzigo unakuwa mkubwa kwa kocha hasa wanapotazama mafanikio ya muda mfupi ya kocha alonso pale Leverkusen.
Tafadhari,unapomdharau arteta kumbuka pia kuheshimu uwezo wa pep guardiola.jamaa hafai na ana kila kitu kinachohitajika kuifanya timu ishinde mataji.
Ana mbinu
Ana quality players
Timu ina hela
Na ni giniaz