Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuna mashabiki wanafikiri tatizo ni kocha,huwez walaumu kwani kocha ni kama baba na hawez kukwepa kuwajibika kama mambo hayako sawa.ila swali unamleta nani?sio kwamba kabla yake timu haikuwepo wala haikuwa na kocha ila swali la msingi linabaki palepale unayemleta anakupa nini?
Mzigo unakuwa mkubwa kwa kocha hasa wanapotazama mafanikio ya muda mfupi ya kocha alonso pale Leverkusen.
Tafadhari,unapomdharau arteta kumbuka pia kuheshimu uwezo wa pep guardiola.jamaa hafai na ana kila kitu kinachohitajika kuifanya timu ishinde mataji.
Ana mbinu
Ana quality players
Timu ina hela
Na ni giniaz
 
Leo against Atalanta
Screenshot_2024-09-19-20-54-58-961_com.instagram.android-edit.jpg
 
Sio saliba tu.hata saka pia kama hatutashinda kombe la maana msimu huu basi kuna hatari tukamkosa.Timu kama madrid,man city na hata psg kwa mbali siku wakija siriasi kwa saka na saliba basi hatutakuwa na nguvu ya kuwazuia
Ni wachezaji wachache watakua radhi kukaa sehemu ambayo mafanikio makubwa hakuna.

Maajabu yake eti watu wanaamini kwamba msimu huu we have a chance. Binafsi naona ni mapema kusema tunashinda kombe la msingi.

Notice kwamba Arteta pia hajawa mzuri kwenye hizi mickey mouse trophies kwakua hatuna kikosi kikubwa
 
Mimi kwa msimu huu kinachonipa wasiwasi sio ubora wa arsenal bali ni kuimarika kwa wapinzani.
Liverpool chini ya slots wamebadilika
Chelsea chini ya enzo maresca wanakuja vizuri
Aston villa kaanzia alipoishia msimu uliopita na usajili wake unakwambia wazi kuna kitu wanataka
City kamrudisha gundo na kamuongeza savinho.
Tusubiri maajabu tu kama yapo
 
Mimi kwa msimu huu kinachonipa wasiwasi sio ubora wa arsenal bali ni kuimarika kwa wapinzani.
Liverpool chini ya slots wamebadilika
Chelsea chini ya enzo maresca wanakuja vizuri
Aston villa kaanzia alipoishia msimu uliopita na usajili wake unakwambia wazi kuna kitu wanataka
City kamrudisha gundo na kamuongeza savinho.
Tusubiri maajabu tu kama yapo
Liverpool hapana sioni kama wameimarika kiasi hicho. Na bado inawezekana msimu ujao wakazidi kua hovyo.

Virgil anaweza akaondoka na Trent pia
 
Tuna quality karibia kila eneo kasoro kwenye ushambuliaji.
Unaweza kuona hata game na fulham na aston villa msimu uliopita ambazo zilitukosesha ubingwa ni kutokana na ubutu wa safu ya ushambuliaji wala sio udhaifu wa defense
Tatizo ilikuwa ni kukosa small pocket players, timu zinazo set in a midblock zilitusumbua sana msimu jana, Fulham, porto, Bayern na Villa, sidhani kama tatizo limetatuliwa direct ila naamini kwa usajili wa Merino utabadilisha mwelekeo, uzuri kuhusu mikel arteta anaweza kuona tatizo fulani lkn akalitatua sio kwa kutafuta direct solution ila kwa ku change the team's dynamics, Mfano umeona namna set pieces zinavyotuokoa nowadays, tukishakupiga goal tunareset to default ukuta wa Berlin hata hitler hawezi kuubomoa.
 
Basi la Mikel Arteta hata Jose Mourinho akiona anafurahi, ni kama mnyonyoro unaotembea yani unanyongwa taratibu
 
Hawa wanetu last 5 games wamepasuka 3 wameshinda 2.

Am not interested in the past, am interested with the fact tunacheza na timu ya Italy nchi inasifika kwa kua na timu zina defense ngumu.

Wanatuchezesha back 3 pia so hii ni blueprint ya tunachoenda kukutana nacho J2. Kwa formation yao tulihitaji mtu atakayewatisha wingbacks wasipande na atasaidia defend so ni sawa kuwepo Martinelli na Saka na Sterling akasubiri.

Ila Kai siyo mzuri kulink up ndiyo sababu hivi karibuni Martinelli kaonekana haweze kitu
 
Guys with humble voice
leo naomba mtu anieleweshe Kai Havertz anaisadiaje timu yetu, what his impact to our final third or midfield??
Binafsi sioni tukichukua makombe kama tunawapa nafasi wachezaji dizaini hii.
kwa navyoelewa mimi Kai havertz sio all rounder attacker kama alivyokuwa De lima, a ST who can score a goal in every angle, lakini kai ni mchezaji anayetumika zaidi tactically kwa mpira wa kileo

A target striker

starting the press

drop deep and link play
 
Guys with humble voice
leo naomba mtu anieleweshe Kai Havertz anaisadiaje timu yetu, what his impact to our final third or midfield??
Binafsi sioni tukichukua makombe kama tunawapa nafasi wachezaji dizaini hii.
Kama unaangalia mechi ya leo naona kama vile Kai ana utulivy kuliko kawaida au kwa hizi dakika chache au ni macho yangu?
 
kwa navyoelewa mimi Kai havertz sio all rounder attacker kama alivyokuwa De lima, a ST who can score a goal in every angle, lakini kai ni mchezaji anayetumika zaidi tactically kwa mpira wa kileo

A target striker

starting the press

drop deep and link play
Is effective ist worth??
Kama unaangalia mechi ya leo naona kama vile Kai ana utulivy kuliko kawaida au kwa hizi dakika chache au ni macho yangu?
Mimi sizungumzii mechi ya leo najaribu kuangalia overall yake since ameingia gunners
 
Tumeanza kususa possession

Now Kai looks confident but ameparalyse upande wote wa Saka
 
Ingawa tunaona Kai hajafikia vigezo ila hichi anachoproduce angekua anaproduce akiwa Chelsea huyu ndiye angekua star kwa mashabiki wote wa Chelsea
 
Back
Top Bottom