Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,024
- 95,530
Timua arteta na ujinga wake, vitoto vichawi sana
Kwisha habari yetuSana kila mwaka tunasindikiza
Ngoja niendelee kushabikia utopolo tuKwisha habari yetu
😂😂😂Umetoka Uefa sasaCheli kalio na mwani tesa mtulie
View attachment 2966826
😂😂😂😂😂😂Ngoja niendelee kushabikia utopolo tu
Simba tunamgonga 5 bila tenaNgoja niendelee kushabikia utopolo tu
Experience ni changamoto.
As of now kila tukicheza na timu za kariba hii dawa ni haram football.



Hatuwezi kwenda mbali kwa jinsi tunavyo tengeneza attacks. Lazima tuwe na option zaidi ya mojaMambo kadhaa ya kurekebisha ila game haikuwa mbaya.
Poleni gunners ila tuwe na matumaini Arteta atarekebisha mambo machache