Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

leo mkibahatika kufungwa halafu na jumapili mkagongwa tena hili jukwaa litachangamka sana
Nawatakia kila la heri hawa mabingwa wa Europa 2023-2024.
 
Martinelli huwa anakosa clear chances.
Akitulia tunaweza pata goli, kuhusu defense naona hawa vijana wa Bergamo tunawamudu.
 
Huyu Matembele ndio mliokua mnamsifia humu kua msimu huu kiatu cha dhahabu ni mali yake?
 
Kwa ukubwa wa kikosi chetu na kwa mechi inayofuata ilikua sahihi kucheza tulivyocheza Leo.

Kubakisha nguvu kwaajili ya J2 so kumaintain game bila kutumia nguvu nyingi. Ilianzia kwa Spurs, imefika kwa Atalanta.

Ila, hawa wachezaji wetu kupiga shots nje ya box wanaona nini? Runs kwa ajili ya long balls hawazioni.

We are nowhere near good bado.
 
Guys with humble voice
leo naomba mtu anieleweshe Kai Havertz anaisadiaje timu yetu, what his impact to our final third or midfield??
Binafsi sioni tukichukua makombe kama tunawapa nafasi wachezaji dizaini hii.
Umuhimu wa Kai umeshindw kuonekana leo kutokana na kubadilishiwa role yake uwanjani. Kai Ni bora kuliko jesus wakicheza kam Top forward pale mbele
 
Back
Top Bottom