Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sijui ila arsenal ubingwa abebi sijaona timu ya ubingwa yaani wachezaji magarasa kabisa🤣🤣🤣
Mmeshaanza kututembelea majirani....mpk mwezi wa pili mwakani tutajua nani ni nani....kesho mnacheza na wale jamaa ambao hata wafungwe gemu Tano mfululizo wakisikia Liverpool tena pale OT wanakuwa kama Madrid ya Ronaldo....Rashford anakuwa Ronaldo mtupu🤠🤠🤠....kesho tutakuwa pale na majamvi yetu kuangalia kitakachotokea
 
Mmeshaanza kututembelea majirani....mpk mwezi wa pili mwakani tutajua nani ni nani....kesho mnacheza na wale jamaa ambao hata wafungwe gemu Tano mfululizo wakisikia Liverpool tena pale OT wanakuwa kama Madrid ya Ronaldo....Rashford anakuwa Ronaldo mtupu🤠🤠🤠....kesho tutakuwa pale na majamvi yetu kuangalia kitakachotokea
Sijaona timu ya kuifunga Liverpool kesho narudia tena ubingwa wa man city au Liverpool wengine watafute shughuli ya kufanya 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Sijaona timu ya kuifunga Liverpool kesho narudia tena ubingwa wa man city au Liverpool wengine watafute shughuli ya kufanya 🤣🤣🤣🤣🤣
Uzuri lile jukwaa lenu huwa halichelewshi...mkishqanza kupata matokeo ya mauzquzq huwa hamumkawizi kocha....tupo hapa...kesho kazi unaanza🤠🤠🤠...hakika Slot atakaribishwa na ile mipira yenu ya counter attack
 
Sema wazee Kai havertz anaimarika kila siku, mechi ya leo nimempenda, huyu jamaa msimu huu tukienda naye kama first option ST atakuwa moto sn, tatizo lake bado ni kutokuwa clinical mbele ya lango ila tactically anafanya vingi sana
 
Jamaa ananikumbusha Robin Van persie japo kuna unyama flani hivi mbele ya goli bado hana.
 
Back
Top Bottom