Liverpool ipi? 😂😂😂Hapa hamna timu ni magarasa tu yaani unadondosha pointi 2 ukiwa home dhidi ya Brighton ubingwa wa mancity au Liverpool hamna timu itakayo ongezeka hapo ya kugombania ubingwa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Liverpool ipi? 😂😂😂Hapa hamna timu ni magarasa tu yaani unadondosha pointi 2 ukiwa home dhidi ya Brighton ubingwa wa mancity au Liverpool hamna timu itakayo ongezeka hapo ya kugombania ubingwa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sijui ila arsenal ubingwa abebi sijaona timu ya ubingwa yaani wachezaji magarasa kabisa Yani Brighton anawatoa jasho tena ni home🤣🤣🤣 🤣🤣Liverpool ipi? 😂😂😂
Mmeshaanza kututembelea majirani....mpk mwezi wa pili mwakani tutajua nani ni nani....kesho mnacheza na wale jamaa ambao hata wafungwe gemu Tano mfululizo wakisikia Liverpool tena pale OT wanakuwa kama Madrid ya Ronaldo....Rashford anakuwa Ronaldo mtupu🤠🤠🤠....kesho tutakuwa pale na majamvi yetu kuangalia kitakachotokeaSijui ila arsenal ubingwa abebi sijaona timu ya ubingwa yaani wachezaji magarasa kabisa🤣🤣🤣
Hehehe haya tusubiriSijui ila arsenal ubingwa abebi sijaona timu ya ubingwa yaani wachezaji magarasa kabisa Yani Brighton anawatoa jasho tena ni home🤣🤣🤣 🤣🤣
Atapongezwa na mashabiki wa brigthon, mie namlaumu striker wa arsenal..Ni kweli lakini pia ni kumpongeza golikipa.
Sijaona timu ya kuifunga Liverpool kesho narudia tena ubingwa wa man city au Liverpool wengine watafute shughuli ya kufanya 🤣🤣🤣🤣🤣Mmeshaanza kututembelea majirani....mpk mwezi wa pili mwakani tutajua nani ni nani....kesho mnacheza na wale jamaa ambao hata wafungwe gemu Tano mfululizo wakisikia Liverpool tena pale OT wanakuwa kama Madrid ya Ronaldo....Rashford anakuwa Ronaldo mtupu🤠🤠🤠....kesho tutakuwa pale na majamvi yetu kuangalia kitakachotokea
Ukimchukia mchezaji siyo sababu ya kulaumu hata jambo la kipumbavu. Kama unajua na 70% za ku score basi 30% si zipo za kukosaAtapongezwa na mashabiki wa brigthon, mie namlaumu striker wa arsenal..
Ile chance ni 70% goli, sasa kakosa lazima aonekane mjinga.
Unalialia nini wewe ushatolewa kwenye mbio za ubingwa unapataje share home tena katimu kenyewe Brighton 🤣🤣🤣🤣🤣Ukimchukia mchezaji siyo sababu ya kulaumu hata jambo la kipumbavu. Kama unajua na 70% za ku score basi 30% si zipo za kukosa
Unajua maana ya % lakini...Ukimchukia mchezaji siyo sababu ya kulaumu hata jambo la kipumbavu. Kama unajua na 70% za ku score basi 30% si zipo za kukosa
Baada ya red. Hiyo sare ndo nilikuwa naiombaa😅Unalialia nini wewe ushatolewa kwenye mbio za ubingwa unapataje share home tena katimu kenyewe Brighton 🤣🤣🤣🤣🤣
Msifie kipa kwa kuzuiaUnajua maana ya % lakini...
Kinachofanya nimlaumu ni hiyo 30%...
Uwezekano wa kukosa ni 30% na kifunga ni 70%, sasa unataka nimpongeze kwa kukosa au?
Basi hustaili kuwa bingwa maana ukishapigwa red asilimia za kupoteza pointi ni wenzio Liverpool wakipigwa red ndio umewachochea 100%🤣🤣🤣🤣🤣🤣Baada ya red. Hiyo sare ndo nilikuwa naiombaa😅
Sababu hana akiliKwanini Rice kapewa second yellow ?nieleweshwe wadau
Uzuri lile jukwaa lenu huwa halichelewshi...mkishqanza kupata matokeo ya mauzquzq huwa hamumkawizi kocha....tupo hapa...kesho kazi unaanza🤠🤠🤠...hakika Slot atakaribishwa na ile mipira yenu ya counter attackSijaona timu ya kuifunga Liverpool kesho narudia tena ubingwa wa man city au Liverpool wengine watafute shughuli ya kufanya 🤣🤣🤣🤣🤣
Hamna kitu kama hicho wewe ushachezea tuliaUzuri lile jukwaa lenu huwa halichelewshi...mkishqanza kupata matokeo ya mauzquzq huwa hamumkawizi kocha....tupo hapa...kesho kazi unaanza🤠🤠🤠...hakika Slot atakaribishwa na ile mipira yenu ya counter attack
Alicheza foul, jamaa wa Brighton akawa kainuka haraka ili kuanzisha mpira. Katika kuanzisha Rice akawa kausukuma mpira akawa kapigwa yeye, akataka kumcheat refa kwa kujifanya kaumiaKwanini Rice kapewa second yellow ?nieleweshwe wadau