Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Toney alikaa nje msimu mzima kwasababu za kubet

Mbaya zaidi, alibet timu yake inafungwa

Arsenal ndio imchukue mchezaji wa aina hii?

Hiyo mbona sababu ndogo ashajifunza nilidhani unasema aliumia au kiwango kilishuka. Aliporudi aliitwa hadi national team kucheza Euros. Striker gani mwingine mzuri sokoni?
 
Arsenal haikutaka kutoa 95M Euros aliyotpa ATM.
Sababu haijawahi kua pesa. Try and find out

Screenshot_2024-08-31-18-19-49-257_com.android.chrome-edit.jpg
 
Kuna watu nawashangaa wanaopendekeza usajili wa toney na kuhoji kwanini tumemuacha aende uarabuni kwa £40m

Kitu cha kwanza arteta alipokuja arsenal alianza kurekebisha atmosphere ya dressing room kwa kuondoa ufaza na kuleta nidhamu.
Unamleta ivan amfundishe nini nanweri,salah,skelly,calafiori zaidi ya kiburi na ununda?

Pili hakuna timu wala kocha duniani wa timu inayotaka ubingwa atataka kuwa na mchezaji ambaye ana atributes za betting.unaijua saikolojia ya betting

Tatu,una uhakika toney anaweza kukupa kile unachotaka kwa kuzingatia age,fitness,skills na mfumo? Vip kama akija na akataka contract ya 4 years na akaflop si yatayukuta ya chelsea na sterling ?
 
Huko kwingine kaharibu vp? Nimeuliza striker gani mwingine mzuri sokoni au ndo hao kina Rahimu?
Kwasasa dunia ina uhaba mkubwa sana wa traditional 9.
Ukitoa hela inabidi utulize kichwa kweli la sivyo utajikuta unalipa £100m kwa mchezaji anayekupa 10+kitu ambacho sio fair.
Angalia mzunguko wa lukaku ndani ya miaka 8,signing fee ,ada za uhamisho na mishahara halafu angalia kile alichowapatia klabu alizopita kama return.kweli?
 
Kuna watu wanamtaka gyokeres hata mimi nikiwepo ila kuna muda nakaaa namtazama joao felix,kisha nakumbuka price tag yake wakati anaenda atletico na perfomance aliyokuwa nayo mpaka atletico wanajaa na unabaki unajiuliza au alilogwa.
Usizungumzie kocha,mifumo na tactics bali kuna muda hata ile individual brilliance unaikosa

Unaikumbuka form ya nicolaus pepe?
Kwa sasa naelewa kwanini arsenal walikomaa na sesko wa german kuliko gyokeres wa ureno.
Ila kama vip msimu ujao au dirisha dogo aje ila usitarajue u-halaand
 
Bado namkumbuka darwin nunez aliyewatoa udenda liverpool kwa top perfomance mpaka wakajaa kwa ile price yake.

Mchezaji anapotoka ureno,ukraine,uswiss na france ukitoa kuanzia ₤50m jua kwa hakika una bet.

Maramia wachezaji wa ligi ya brazil au argentina maana kule ni vita
 
Kweli gunners sisi wababe, cheki jinsi jukwaa
Lilivyochangamka...
Na hapo tumetoa tu draw, je tungefungwa
Kama manunu walivyofanywa!!
Haina ubishi kwasasa gunners kutoa draw ni jambo la ajabu sana,watu walishanogewa na vipigo vyetu vya last season.
Msijali , kuna mambo arteta anayaweka sawa tutawapatia furaha mliyoizoea
 
Kuna watu nawashangaa wanaopendekeza usajili wa toney na kuhoji kwanini tumemuacha aende uarabuni kwa £40m

Kitu cha kwanza arteta alipokuja arsenal alianza kurekebisha atmosphere ya dressing room kwa kuondoa ufaza na kuleta nidhamu.
Unamleta ivan amfundishe nini nanweri,salah,skelly,calafiori zaidi ya kiburi na ununda?

Pili hakuna timu wala kocha duniani wa timu inayotaka ubingwa atataka kuwa na mchezaji ambaye ana atributes za betting.unaijua saikolojia ya betting

Tatu,una uhakika toney anaweza kukupa kile unachotaka kwa kuzingatia age,fitness,skills na mfumo? Vip kama akija na akataka contract ya 4 years na akaflop si yatayukuta ya chelsea na sterling ?
Kombe lenu ni atmosphere ya dressing room kila mchezaji mnayemkosa mnasingizia ataharibu atmosphere ya dressing room.

Hii ni another false hope, ila mmezidi kwa false hopes wanaangu 😂😂😂😂. kwahiyo toney yeye anaharibu atmosphere ya dressing room daah.
FALSE HOPE 2: DRESSING ROOM ATMOSPHERE.
inabidi this time niwe muhesabuji wa false hopes 😂😂😂
 
Kwasasa dunia ina uhaba mkubwa sana wa traditional 9.
Ukitoa hela inabidi utulize kichwa kweli la sivyo utajikuta unalipa £100m kwa mchezaji anayekupa 10+kitu ambacho sio fair.
Angalia mzunguko wa lukaku ndani ya miaka 8,signing fee ,ada za uhamisho na mishahara halafu angalia kile alichowapatia klabu alizopita kama return.kweli?

Ndo maana Toney was the only good option alikua cheap na he has proven himself to be a good striker in the EPL. Hao kina osihmen gharama na hakuna uhakika wata deliver in the EPL. Arteta kafanya makosa kumuacha Toney aende Saudia kwa 40M Euros tu.
 
Sema wazee Kai havertz anaimarika kila siku, mechi ya leo nimempenda, huyu jamaa msimu huu tukienda naye kama first option ST atakuwa moto sn, tatizo lake bado ni kutokuwa clinical mbele ya lango ila tactically anafanya vingi sana
Aloooo mpira mnaangaliaje ninyi
mbona mm sioni chochote kwa kai hata dribble tu inamshinda
 
Kuna watu nawashangaa wanaopendekeza usajili wa toney na kuhoji kwanini tumemuacha aende uarabuni kwa £40m

Kitu cha kwanza arteta alipokuja arsenal alianza kurekebisha atmosphere ya dressing room kwa kuondoa ufaza na kuleta nidhamu.
Unamleta ivan amfundishe nini nanweri,salah,skelly,calafiori zaidi ya kiburi na ununda?

Pili hakuna timu wala kocha duniani wa timu inayotaka ubingwa atataka kuwa na mchezaji ambaye ana atributes za betting.unaijua saikolojia ya betting

Tatu,una uhakika toney anaweza kukupa kile unachotaka kwa kuzingatia age,fitness,skills na mfumo? Vip kama akija na akataka contract ya 4 years na akaflop si yatayukuta ya chelsea na sterling ?

Sasa justify kumchukua Rahimu hata kama ni kwa mkopo?
 
Back
Top Bottom