Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 13,607
- 28,741
Kwanini Pep kagoma kumuuza Alvarez Arsenal?
Arsenal haikutaka kutoa 95M Euros aliyotpa ATM.
Kwanini Pep kagoma kumuuza Alvarez Arsenal?
Toney siungi mkono
Toney alikaa nje msimu mzima kwasababu za kubet
Mbaya zaidi, alibet timu yake inafungwa
Arsenal ndio imchukue mchezaji wa aina hii?
Sababu haijawahi kua pesa. Try and find outArsenal haikutaka kutoa 95M Euros aliyotpa ATM.
Utanunua mtu aje kuharibu dressing room mzee?Ndo striker pekee aliyekua sokoni mwenye experience EPL, striker gani mwingine wa kununua sasa?
Utanunua mtu aje kuharibu dressing room mzee?
Kwasasa dunia ina uhaba mkubwa sana wa traditional 9.Huko kwingine kaharibu vp? Nimeuliza striker gani mwingine mzuri sokoni au ndo hao kina Rahimu?
Kwanini kipara anakuwa mwoga hivii
Kai unamfananisha na van persie , upo under influence nini mkuu 😂😂 weekend hii ushapiga glass kadhaa nini?Jamaa ananikumbusha Robin Van persie japo kuna unyama flani hivi mbele ya goli bado hana.
Kombe lenu ni atmosphere ya dressing room kila mchezaji mnayemkosa mnasingizia ataharibu atmosphere ya dressing room.Kuna watu nawashangaa wanaopendekeza usajili wa toney na kuhoji kwanini tumemuacha aende uarabuni kwa £40m
Kitu cha kwanza arteta alipokuja arsenal alianza kurekebisha atmosphere ya dressing room kwa kuondoa ufaza na kuleta nidhamu.
Unamleta ivan amfundishe nini nanweri,salah,skelly,calafiori zaidi ya kiburi na ununda?
Pili hakuna timu wala kocha duniani wa timu inayotaka ubingwa atataka kuwa na mchezaji ambaye ana atributes za betting.unaijua saikolojia ya betting
Tatu,una uhakika toney anaweza kukupa kile unachotaka kwa kuzingatia age,fitness,skills na mfumo? Vip kama akija na akataka contract ya 4 years na akaflop si yatayukuta ya chelsea na sterling ?
Kwasasa dunia ina uhaba mkubwa sana wa traditional 9.
Ukitoa hela inabidi utulize kichwa kweli la sivyo utajikuta unalipa £100m kwa mchezaji anayekupa 10+kitu ambacho sio fair.
Angalia mzunguko wa lukaku ndani ya miaka 8,signing fee ,ada za uhamisho na mishahara halafu angalia kile alichowapatia klabu alizopita kama return.kweli?
Aloooo mpira mnaangaliaje ninyiSema wazee Kai havertz anaimarika kila siku, mechi ya leo nimempenda, huyu jamaa msimu huu tukienda naye kama first option ST atakuwa moto sn, tatizo lake bado ni kutokuwa clinical mbele ya lango ila tactically anafanya vingi sana
Kuna watu nawashangaa wanaopendekeza usajili wa toney na kuhoji kwanini tumemuacha aende uarabuni kwa £40m
Kitu cha kwanza arteta alipokuja arsenal alianza kurekebisha atmosphere ya dressing room kwa kuondoa ufaza na kuleta nidhamu.
Unamleta ivan amfundishe nini nanweri,salah,skelly,calafiori zaidi ya kiburi na ununda?
Pili hakuna timu wala kocha duniani wa timu inayotaka ubingwa atataka kuwa na mchezaji ambaye ana atributes za betting.unaijua saikolojia ya betting
Tatu,una uhakika toney anaweza kukupa kile unachotaka kwa kuzingatia age,fitness,skills na mfumo? Vip kama akija na akataka contract ya 4 years na akaflop si yatayukuta ya chelsea na sterling ?