Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Baada ya kadi nyekundu Arsenal tulipoteana hata wapinzani wakaijua hio.
Next time inabidi tujipange hatutakiwi kudondosha point mapema hivi.
 
Hapa hamna timu ni magarasa tu yaani unadondosha pointi 2 ukiwa home dhidi ya Brighton ubingwa wa mancity au Liverpool hamna timu itakayo ongezeka hapo ya kugombania ubingwa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nyie ndio wale Mashabiki uchwara mnaojidanganya kwa kusema Arsenal WE DON'T NEED STRIKER. Hii mechi mlikuwa mnaimaliza First half kama mngekuwa number 9.
Halijui mpira hilo🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom