Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Screenshot_2024-08-31-12-49-20-419_com.twitter.android-edit.jpg
Hapa ndiyo unajua alifanya makusudi kuwakataa Kenge
 
Shida sio mshahara, mimi niende bure arsenal ama niwe nacheza kwa kuwalipa wao hela lakini bado wakanikataa..

Muhimu ni mchango wake uwanjani, anakuja arsenal kama nani, anakuja kutibu ugonjwa wa arsenal? Huyu nae ni mmoja kati ya wapotezaji nafasi za wazi kweli kweli.. Kiazi KAI limeongezwa BOGA sterling, hapa tujiandae kula FUTARI. 🤣😂
Sterling mchoyo sana,kutaka kufunga mwenyewe
 
Mashabiki wanataka majina makubwa yasajiliwe...

Mashabiki hao hao wanalalamika vijana wa academy hawapewi nafasi ya kucheza na Kocha...
 
Sancho na Rahimu wote magalasa hamna players pale. Arteta anataka kuifanya arsenal kuwa man City B. Kavuta zinchenko, Jesus na sasa Rahimu Hawa wote ni magalasa hayana kitu ndo maana pep aliyauza na arsenal hamna kitu yamefanya.

Arteta atafute system yake sio kucopy kila kitu cha city. Next season timu itafute kocha mwingine.
Mfano nani mkuu?
 
Gameweek3 unauliza tupo nafasi ya ngapi! ingekuwa ivyo sasa nyinyi mngekuwa mabingwa wa nafasi ya kwanza kuanzia august mpaka April mnakuwa pale juu ila ikifika May tu kazi inakuwa hamna tena.
Kiswahili lugha ngumu sana....au ngoja nibadili swali....mnatarajia kumaliza mkiwa nafasi ya ngapi kwny ligi mkuu🤠🤠🤠....maana safari hii sijui Ulaya unacheza mashindano yapi maana nimejaribu kufatilia bado sijajua
 
Sancho na Rahimu wote magalasa hamna players pale. Arteta anataka kuifanya arsenal kuwa man City B. Kavuta zinchenko, Jesus na sasa Rahimu Hawa wote ni magalasa hayana kitu ndo maana pep aliyauza na arsenal hamna kitu yamefanya.

Arteta atafute system yake sio kucopy kila kitu cha city. Next season timu itafute kocha mwingine.
Kwanini Pep kagoma kumuuza Alvarez Arsenal?
 
Back
Top Bottom