Sterling mchoyo sana,kutaka kufunga mwenyeweShida sio mshahara, mimi niende bure arsenal ama niwe nacheza kwa kuwalipa wao hela lakini bado wakanikataa..
Muhimu ni mchango wake uwanjani, anakuja arsenal kama nani, anakuja kutibu ugonjwa wa arsenal? Huyu nae ni mmoja kati ya wapotezaji nafasi za wazi kweli kweli.. Kiazi KAI limeongezwa BOGA sterling, hapa tujiandae kula FUTARI. 🤣😂
Gameweek3 unauliza tupo nafasi ya ngapi! ingekuwa ivyo sasa nyinyi mngekuwa mabingwa wa nafasi ya kwanza kuanzia august mpaka April mnakuwa pale juu ila ikifika May tu kazi inakuwa hamna tena.Sio jibu hili braza la swali nilokuuliza.. mko nafasi ya ngapi mkuu
Na kufunga kwenyewe hawezi.Sterling mchoyo sana,kutaka kufunga mwenyewe
Hatuna benchi kabisa yani daah
Huyu Salah anaubonda, ni mtu kweli kweli aaminiwe na kupewa nafasi
Mfano nani mkuu?Sancho na Rahimu wote magalasa hamna players pale. Arteta anataka kuifanya arsenal kuwa man City B. Kavuta zinchenko, Jesus na sasa Rahimu Hawa wote ni magalasa hayana kitu ndo maana pep aliyauza na arsenal hamna kitu yamefanya.
Arteta atafute system yake sio kucopy kila kitu cha city. Next season timu itafute kocha mwingine.
Karibu sana Banda umiza uje kucheki burudani mkuu🤠🤠....Hawa wababe wenu watakula makonzi hawataaminiDany Welbeck remember the name
Huyu mzee wa big nyashi anashangaa kwani hakuna picha ya champions league ata moja hapa.View attachment 3083480
Kiswahili lugha ngumu sana....au ngoja nibadili swali....mnatarajia kumaliza mkiwa nafasi ya ngapi kwny ligi mkuu🤠🤠🤠....maana safari hii sijui Ulaya unacheza mashindano yapi maana nimejaribu kufatilia bado sijajuaGameweek3 unauliza tupo nafasi ya ngapi! ingekuwa ivyo sasa nyinyi mngekuwa mabingwa wa nafasi ya kwanza kuanzia august mpaka April mnakuwa pale juu ila ikifika May tu kazi inakuwa hamna tena.
Uwanja mzuri kqbisq
Mapema kibanda umiza
Kwanini Pep kagoma kumuuza Alvarez Arsenal?Sancho na Rahimu wote magalasa hamna players pale. Arteta anataka kuifanya arsenal kuwa man City B. Kavuta zinchenko, Jesus na sasa Rahimu Hawa wote ni magalasa hayana kitu ndo maana pep aliyauza na arsenal hamna kitu yamefanya.
Arteta atafute system yake sio kucopy kila kitu cha city. Next season timu itafute kocha mwingine.