Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kama wewe ni shabiki wa Arsenal basi Boli hulijui. Kama siyo shabiki wa Arsenal Unaongea Unafki😅

Rahimu toka kaondoka city kafanya nini cha maana? Kwanini city ilimtema? Kwanini Chelsea haimtaki?

Sancho ana uzuri gani? Huyo hata manyu walirogwa kumnunua maana aliwika msimu mmoja tu Dortmund ila Dortmund wenyewe hawamtaki sasa. Hana skills kabisa za winger.

Ushabiki mandazi wenu unafanya msione mambo ya wazi kabisa. Una numbers gani to back them up?
 
Mbona Cole palmer aliuzwa man City. Mchezaji kuondoka Timu fulani haimaanishi ni. M bovu. Labda waliopo ni bora kuliko Yeye..?
 
Rahimu toka kaondoka city kafanya nini cha maana? Kwanini city ilimtema? Kwanini Chelsea haimtaki?

Sancho ana uzuri gani? Huyo hata manyu walirogwa kumnunua maana aliwika msimu mmoja tu Dortmund ila Dortmund wenyewe hawamtaki sasa. Hana skills kabisa za winger.

Ushabiki mandazi wenu unafanya msione mambo ya wazi kabisa. Una numbers gani to back them up?
Mbona Cole palmer aliuzwa man City. Mchezaji kuondoka Timu fulani haimaanishi ni. M bovu. Labda waliopo ni bora kuliko Yeye
 
Rahimu toka kaondoka city kafanya nini cha maana? Kwanini city ilimtema? Kwanini Chelsea haimtaki?

Sancho ana uzuri gani? Huyo hata manyu walirogwa kumnunua maana aliwika msimu mmoja tu Dortmund ila Dortmund wenyewe hawamtaki sasa. Hana skills kabisa za winger.

Ushabiki mandazi wenu unafanya msione mambo ya wazi kabisa. Una numbers gani to back them up?
Usinielewe Vibaya . Sijauzungumzia ubora wa Sterling kwa ukubwa hivyo kama ulivyoni note. Kwa uwezo wake kuwa Back up Siyo Mbaya kwa Arsenal hasa ukizingatia wamempata Cheap..
 
Usinielewe Vibaya . Sijauzungumzia ubora wa Sterling kwa ukubwa hivyo kama ulivyoni note. Kwa uwezo wake kuwa Back up Siyo Mbaya kwa Arsenal hasa ukizingatia wamempata Cheap..

I agree. Yupo on loan. Sterling ni Bora kuliko Sancho. Martinelli kiwango kimeshuka na Jesus spana mkononi ya kuuza Ile kenge. Sterling akiwa fit anaweza saidia.
 
Arsenal ipo kwenye direction sahihi saana..., yaani yale mambo ya kujikusanyia magarasa hamna tena, sahv unaona kabisa temporary soln kama best option haijapatikana.

Najua mashabiki tuna haraka, lakini hamtojutia in long run
 
I agree. Yupo on loan. Sterling ni Bora kuliko Sancho. Martinelli kiwango kimeshuka na Jesus spana mkononi ya kuuza Ile kenge. Sterling akiwa fit anaweza saidia.
Upungufu Unaonekana kwenye kikosi cha Arteta ni kukosa Top Striker katili. Zaidi Akiwa mbele ya lango. Hilo kulipatia Ufumbuzi siyo la kukurupukia . Inabidi apatikane Striker wa Maana . Mwenye njaa na atakae kusaidia kwa muda mrefu. Hakuna ma Striker Wazuri kwa Wakati huu . Tafuta Muda wako Muangalie Osihmen Vizuri. Muangalia gyrekes Vizuri. Utagundua kuwa Hata Kina lewandoski wazee ni bora kuliko Wao
 
Rahimu toka kaondoka city kafanya nini cha maana? Kwanini city ilimtema? Kwanini Chelsea haimtaki?

Sancho ana uzuri gani? Huyo hata manyu walirogwa kumnunua maana aliwika msimu mmoja tu Dortmund ila Dortmund wenyewe hawamtaki sasa. Hana skills kabisa za winger.

Ushabiki mandazi wenu unafanya msione mambo ya wazi kabisa. Una numbers gani to back them up?
Mkuu umeandika kama vile katoka City kitambo kumbe ana msimu mmoja tu tangu aondoke 😅

Alitoka ili kumpisha Grealish, na wote tunajua Grealish kilichomkuta mpaka wanasajiliwa watu wengine upande ule ule.

Huyu jamaa kaja free, hatujalipa hata loan fee. Tuna games za carabao, FA acha tumuone. Chelsea waliridhia kumpa 320K per week jamaa ili atoke City nashindwa point ikiwa ilikua ni kukomoa wengine wasimpate au kuna kitu waliona
 
Upungufu Unaonekana kwenye kikosi cha Arteta ni kukosa Top Striker katili. Zaidi Akiwa mbele ya lango. Hilo kulipatia Ufumbuzi siyo la kukurupukia . Inabidi apatikane Striker wa Maana . Mwenye njaa na atakae kusaidia kwa muda mrefu. Hakuna ma Striker Wazuri kwa Wakati huu . Tafuta Muda wako Muangalie Osihmen Vizuri. Muangalia gyrekes Vizuri. Utagundua kuwa Hata Kina lewandoski wazee ni bora kuliko Wao

Arteta kafeli sana kumuacha Toney that's the closest you can get for a top striker mwenye experience kabisa EPL. Hakuna strikers wazuri available sokoni. Osihmen wa kawaida na conditions kibao kumpata aende zake.
 
Arteta kafeli sana kumuacha Toney that's the closet you can get for a top striker mwenye experience kabisa EPL. Hakuna strikers wazuri available sokoni. Osihmen wa kawaida na conditions kibao kumpata aende zake.
Toney ni mtu haswa . Ila club nyingi kubwa Hazimuamini tena kwa ile Kashfa yake
 
Arteta kafeli sana kumuacha Toney that's the closet you can get for a top striker mwenye experience kabisa EPL. Hakuna strikers wazuri available sokoni. Osihmen wa kawaida na conditions kibao kumpata aende zake.
Toney alikaa nje msimu mzima kwasababu za kubet

Mbaya zaidi, alibet timu yake inafungwa

Arsenal ndio imchukue mchezaji wa aina hii?
 
Arteta kafeli sana kumuacha Toney that's the closet you can get for a top striker mwenye experience kabisa EPL. Hakuna strikers wazuri available sokoni. Osihmen wa kawaida na conditions kibao kumpata aende zake.
Toney siungi mkono
 
Back
Top Bottom