Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ingawa mmeshinda kibahati bahati ila dogo Rogers fundi sana aisee,
Hii ni product ya West Bromwich Albion Academy, dogo anateleza kama kambale, kijana anakatisha katikati ya msitu utafikiri yupo kwenye lami, hakika hapa Aston Villa wameramba dume. View attachment 3078365
Ila hawa villa na full ham waliwanyima ubingwa Arsenal msimu uliopita.
 
Mambo 12 niliyoyaona mechi ya leo

1.arsenal wamepunguza uwezo wa ball recovery
2.arsenal bado haijapata ile rhythm hasa inapokuwa na mpira,hili bado
3.Martinell asipobadilika huu unaweza kuwa msimu wake wa mwisho na hataamini.
4.kwa structure,aston villa ni wagumu mnoo na hapa unahitaji individual brilliance ya hali ya juu ili ku outsmart structure yao.
5.bado hatuna longshort merchant maana hata odegard ni kama amesahau kufunga nje ya kumi na nane.tusubiri muujiza wa merino
6.mabeki wa kati waaache utoto na kujiamini sana kwenye mechi muhimu kama hizi.
7.mchakato wa kupata kiungo namba 6 uanze na aje january.

8.Timu inahitaji target man hasa na sio mshambuliaji machachari
9.timber ni mtu hasa,ila rodgers wa villa ni mtu na nusu
10.ukitaka kuwafunga low block team na possession based team njia ni moja tu,peleka mpira langoni mwao kwa lazima na kwa vyovyote vile watafanya makosa.
11.team tunayo hasa ila na wengine wana team
12.uhusiano wa mawinga na fullbacks hasa tunapokuwa off ball uimarishwe
 
Hawa nyau leo wamepata vidonge vyao, msimu jana walituharibia sana kima hawa
 
Mambo 12 niliyoyaona mechi ya leo

1.arsenal wamepunguza uwezo wa ball recovery
2.arsenal bado haijapata ile rhythm hasa inapokuwa na mpira,hili bado
3.Martinell asipobadilika huu unaweza kuwa msimu wake wa mwisho na hataamini.
4.kwa structure,aston villa ni wagumu mnoo na hapa unahitaji individual brilliance ya hali ya juu ili ku outsmart structure yao.
5.bado hatuna longshort merchant maana hata odegard ni kama amesahau kufunga nje ya kumi na nane.tusubiri muujiza wa merino
6.mabeki wa kati waaache utoto na kujiamini sana kwenye mechi muhimu kama hizi.
7.mchakato wa kupata kiungo namba 6 uanze na aje january.

8.Timu inahitaji target man hasa na sio mshambuliaji machachari
9.timber ni mtu hasa,ila rodgers wa villa ni mtu na nusu
10.ukitaka kuwafunga low block team na possession based team njia ni moja tu,peleka mpira langoni mwao kwa lazima na kwa vyovyote vile watafanya makosa.
11.team tunayo hasa ila na wengine wana team
12.uhusiano wa mawinga na fullbacks hasa tunapokuwa off ball uimarishwe
Bado gari halijawaka mkuu, after game Kama 4 hivi na Merino akishazoeana na wenzake utakuja kurekebisha
 
Mambo 12 niliyoyaona mechi ya leo

1.arsenal wamepunguza uwezo wa ball recovery
2.arsenal bado haijapata ile rhythm hasa inapokuwa na mpira,hili bado
3.Martinell asipobadilika huu unaweza kuwa msimu wake wa mwisho na hataamini.
4.kwa structure,aston villa ni wagumu mnoo na hapa unahitaji individual brilliance ya hali ya juu ili ku outsmart structure yao.
5.bado hatuna longshort merchant maana hata odegard ni kama amesahau kufunga nje ya kumi na nane.tusubiri muujiza wa merino
6.mabeki wa kati waaache utoto na kujiamini sana kwenye mechi muhimu kama hizi.
7.mchakato wa kupata kiungo namba 6 uanze na aje january.

8.Timu inahitaji target man hasa na sio mshambuliaji machachari
9.timber ni mtu hasa,ila rodgers wa villa ni mtu na nusu
10.ukitaka kuwafunga low block team na possession based team njia ni moja tu,peleka mpira langoni mwao kwa lazima na kwa vyovyote vile watafanya makosa.
11.team tunayo hasa ila na wengine wana team
12.uhusiano wa mawinga na fullbacks hasa tunapokuwa off ball uimarishwe
Huu ushauri utabaki kusomwa na mashabiki waswahili. Pale kwa Edu Gaspa na Ateta Mikael haufiki. Labda wanamsomaji maoni ya Tanzania achukue point zako.
 
Hawa wapuuzi wametutesa sana msimu uliopita, hasa ile mechi ya mwishoni mwa msimu ilinikosesha usingizi.

Sisi ndio sisi, shukrani Mkuu.
Hesabu zilogoma. Nadhani Arteta alifikiria zaidi mechi na Bayern Munich na kuwapa nafasi Villa
 
Mikel Arteta on transfers:

"We are a little bit short, if we can do something we will do it. We need good availability from everybody, we don't have 23 outfield players and normally you have to be equipped like that."

Via @cdavison_afc.
 
Mambo 12 niliyoyaona mechi ya leo

1.arsenal wamepunguza uwezo wa ball recovery
2.arsenal bado haijapata ile rhythm hasa inapokuwa na mpira,hili bado
3.Martinell asipobadilika huu unaweza kuwa msimu wake wa mwisho na hataamini.
4.kwa structure,aston villa ni wagumu mnoo na hapa unahitaji individual brilliance ya hali ya juu ili ku outsmart structure yao.
5.bado hatuna longshort merchant maana hata odegard ni kama amesahau kufunga nje ya kumi na nane.tusubiri muujiza wa merino
6.mabeki wa kati waaache utoto na kujiamini sana kwenye mechi muhimu kama hizi.
7.mchakato wa kupata kiungo namba 6 uanze na aje january.

8.Timu inahitaji target man hasa na sio mshambuliaji machachari
9.timber ni mtu hasa,ila rodgers wa villa ni mtu na nusu
10.ukitaka kuwafunga low block team na possession based team njia ni moja tu,peleka mpira langoni mwao kwa lazima na kwa vyovyote vile watafanya makosa.
11.team tunayo hasa ila na wengine wana team
12.uhusiano wa mawinga na fullbacks hasa tunapokuwa off ball uimarishwe
Agreed
 
Mambo 12 niliyoyaona mechi ya leo

1.arsenal wamepunguza uwezo wa ball recovery
2.arsenal bado haijapata ile rhythm hasa inapokuwa na mpira,hili bado
3.Martinell asipobadilika huu unaweza kuwa msimu wake wa mwisho na hataamini.
4.kwa structure,aston villa ni wagumu mnoo na hapa unahitaji individual brilliance ya hali ya juu ili ku outsmart structure yao.
5.bado hatuna longshort merchant maana hata odegard ni kama amesahau kufunga nje ya kumi na nane.tusubiri muujiza wa merino
6.mabeki wa kati waaache utoto na kujiamini sana kwenye mechi muhimu kama hizi.
7.mchakato wa kupata kiungo namba 6 uanze na aje january.

8.Timu inahitaji target man hasa na sio mshambuliaji machachari
9.timber ni mtu hasa,ila rodgers wa villa ni mtu na nusu
10.ukitaka kuwafunga low block team na possession based team njia ni moja tu,peleka mpira langoni mwao kwa lazima na kwa vyovyote vile watafanya makosa.
11.team tunayo hasa ila na wengine wana team
12.uhusiano wa mawinga na fullbacks hasa tunapokuwa off ball uimarishwe
Trossad anaoneka wazi hafurahishwi kuwekwa benchi na mtu ambaye anamzidi form. Naona hata kocha kaliongelea.
 
Back
Top Bottom