Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal wanaongoza kwa udhibiti wa mpira wa asilimia 67 na pass 141 dhidi ya 68 za Villa
 
Dk 45 wamepumzika
Arsenal akiwa na udhibiti wa asilimia 69
Wote wamepoteza nafasi 1 muhimu kupata goli
Mashuti golini Vila 3 na Arsenal 4
Martinez ameiokoa Villa mara 2 na Raya wa Arsenal mara 1
Kona 1 kwa arsenal, Villa hawana.
Makosa ya uwanjani arsenal wamefanya mara 8 na Villa mara 3
Kupokezana mpira Arsenal wamepeana mara 300 na Villa wakipeana mara 134.

Ni hivyo kwa uchache
 
Pia kumbuka Rice (Mchele - itakuwa babake msukuma huyu😃) amepata kadi ya njano dk ya 49 zile za fidia.
 
Back
Top Bottom