Japo dirisha la usajili halijaisha (
5 days remains),lakini binafsi ninasikitishwa sana na mwenendo wa usajili wa timu yetu.Katika dirisha ambalo nilijua tutamalizana na usajili mapema sana ni dirisha hili.
Na miongoni mwa nafasi ambazo mtu/watu walikuwa wawe washaletwa mapema ni winger na/au striker wa kuamua matokeo muda wowote ule.
Nico Williams na Osimnhem/Gyokeres muda huu walitakiwa wawe tayari ndani ya uzi mwekundu.
Kama alivyosema mdau mmoja juu huko, timu tunayo, ila na wengine timu wanazo pia. Je tupo kamili ku compete nao?