Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nyie viazi wolvs mlishinda vigoli viwili kwa tabu, sisi wanaume wenu tumewasokomeza sita
Zoeaneni mapema kabla hatujakutana....habari za kuja kusema Fulani hakuwepo ndo maana tumewafunga hatutaki kuzisikia majirani🤠🤠🤠....jikazeni tukikutana mpunguze idadi ya magoli maana safari hii hata draw hampati
 
Japo dirisha la usajili halijaisha (
5 days remains),lakini binafsi ninasikitishwa sana na mwenendo wa usajili wa timu yetu.Katika dirisha ambalo nilijua tutamalizana na usajili mapema sana ni dirisha hili.

Na miongoni mwa nafasi ambazo mtu/watu walikuwa wawe washaletwa mapema ni winger na/au striker wa kuamua matokeo muda wowote ule.

Nico Williams na Osimnhem/Gyokeres muda huu walitakiwa wawe tayari ndani ya uzi mwekundu.

Kama alivyosema mdau mmoja juu huko, timu tunayo, ila na wengine timu wanazo pia. Je tupo kamili ku compete nao?
 
Zoeaneni mapema kabla hatujakutana....habari za kuja kusema Fulani hakuwepo ndo maana tumewafunga hatutaki kuzisikia majirani🤠🤠🤠....jikazeni tukikutana mpunguze idadi ya magoli maana safari hii hata draw hampati
Mkiingia kwa kujiamini hivyo mtaoga magoli shauri zenu, waulizen wolvs.
 
Mkiingia kwa kujiamini hivyo mtaoga magoli shauri zenu, waulizen wolvs.
Mlikutana pipa na mfuniko shehe🤠🤠🤠....timu katikati unapita bila kuzuiwa...mje mcheze vile na sisi muone zile Tano kama hazijajirudia....sasahvi ukikutana na sisi tunakulazimisha ucheze vile tunavyotaka sisi...hyu kipara wenu mtamtukana siku hyo
 
Mlikutana pipa na mfuniko shehe🤠🤠🤠....timu katikati unapita bila kuzuiwa...mje mcheze vile na sisi muone zile Tano kama hazijajirudia....sasahvi ukikutana na sisi tunakulazimisha ucheze vile tunavyotaka sisi...hyu kipara wenu mtamtukana siku hyo
Hamna timu hiyo nyie kondoo, juzi yenyewe mumshukuru sana raya bila hivyo Aston Vila walikua wanawanyoa kwa chupa.

Chelsea ya mashavu tu iliwatoa jasho, je chelsea hii ya moto,ya sita sita.
 
Hamna timu hiyo nyie kondoo, juzi yenyewe mumshukuru sana raya bila hivyo Aston Vila walikua wanawanyoa kwa chupa.

Chelsea ya mashavu tu iliwatoa jasho, je chelsea hii ya moto,ya sita sita.
Uzuri wake huwa mnakuwa na mikwara mingi sana kabla ya kukutana ila tukishakutana tu mpira ukiisha unakula nyoya🤠🤠....Sasa hii comment naihifadhi....siku ya tukio hata usipoonekana hmu majukwaani hakyanani ntakufata PM...mashabiki wa Chelkenge mna ulofa Fulani hivi....mara ya mwsho kutufunga ni miaka sijui 70 ilopita huko halafu unakuja hapa kutupigia kelele....unatakiwa uanze kukaa kimya mapema....ile forward line yenu na beki yenu bdo sana kwa level zetu....mtawafunga hao kina Ipswich ila mkikutana na sisi hakyanani mkipata hata short on target tatu tu unitafute
 
Uzuri wake huwa mnakuwa na mikwara mingi sana kabla ya kukutana ila tukishakutana tu mpira ukiisha unakula nyoya🤠🤠....Sasa hii comment naihifadhi....siku ya tukio hata usipoonekana hmu majukwaani hakyanani ntakufata PM...mashabiki wa Chelkenge mna ulofa Fulani hivi....mara ya mwsho kutufunga ni miaka sijui 70 ilopita huko halafu unakuja hapa kutupigia kelele....unatakiwa uanze kukaa kimya mapema....ile forward line yenu na beki yenu bdo sana kwa level zetu....mtawafunga hao kina Ipswich ila mkikutana na sisi hakyanani mkipata hata short on target tatu tu unitafute
Yaani wachezaji wenu hao wamafungu akina odergard, wakaifunge hii chelsea ya sita sita, seriously. Na mimi naitunza hii.
 
Yaani wachezaji wenu hao wamafungu akina odergard, wakaifunge hii chelsea ya sita sita, seriously. Na mimi naitunza hii.
Chelsea imepigwa mpaka ikapigika una nini cha kutamba, nyie mmeanzia mlipoishia kuelekea nafasi ya 15
 
By the time tunamtangaza Merino
20240827_094633.jpg
 
Kwani nani alikuwa man of the match?. Yaan nyie maneno meengiii mtafikiri mna kikosi kumbe wachezaji mnaowategemea ni akina Odergard dah! mchezaji aliyeachwa na Mardid. Mpaka mardid anakuachia mchezaji hujiulizi.
Ni kwli ndo maana na sisi tukawaachia mumchukue Mudryk braza🤠🤠...anaupiga mwingi sana....ila tutakutana tu siku sio nyingi....na usije ukala nyoya
 
Ishara sio nzuri kwa kila aliye mbele yetu
 

Attachments

  • IMG-20240827-WA0125.jpg
    IMG-20240827-WA0125.jpg
    68.3 KB · Views: 9
  • IMG-20240827-WA0123.jpg
    IMG-20240827-WA0123.jpg
    55.2 KB · Views: 10
  • IMG-20240827-WA0122.jpg
    IMG-20240827-WA0122.jpg
    51.4 KB · Views: 12
  • IMG-20240827-WA0120.jpg
    IMG-20240827-WA0120.jpg
    42.7 KB · Views: 11
Back
Top Bottom