Mkuu najua tutapoteana ...man city pep ataondoka na tunaweza kuwa tunakaaa misimu hadi misismu Bila makombe ...Nimekwambia hivyo sababu, kabla City hajarudi kwenye peak, nae alikua anatembezewa kichapo. All in all ni ushabiki tu hapa
Ni swala la muda tuWakuu wa vitengo vya false hopes tunawakaribisha kwenye ungwe ya tetesi za mastaa ulaya
wakuu wa vitengo false hoper mkorea kwa hisani ya false hope hii hapa chini karibu
Haya masimango sio ya nchi hii🤠🤠...sina la kusema mkuu...wacha tupige kimya mpk msimu mpyaHivi Arsenyo msimu huu mlikua mnashindania nini???
Ndugu yangu Masingeli na chawa wake mkorea na arsenal2004 sijui hata wana hali gani huko walikoView attachment 2999370
Kinyonge sana. Shtuka arsenal imenyewa.Ni swala la muda tu
Here we go with Barcelona SC.Kinyonge sana. Shtuka arsenal imenyewa.
utakuta wewe ni shabiki la kenge,ambao hadi sasa hamjajua mustakabaliHongereni mashabiki wa Aser8 kwa kuzingatia ule ushauri wangu wa kumaliza mechi za msimu 2023/2024. Sijasikia mashabiki waliojiua.
Nawaandalia ushauri mwingine wa bure kuelekea msimu mpya 2024/2025.
Nitajitahidi kadri iwezekanavyo kuokoa maisha ya mashabiki wa Aser8. Mpira ni burudani hakuna haja ya kujiua.
We kondoo na msimu wako bora una utafauti gani na kenge aliyekua ana msimu mbovu kuliko misimu yote, ni mwehu peke yake ndio anaweza akasimama mbele za watu akajisifia.utakuta wewe ni shabiki la kenge,ambao hadi sasa hamjajua mustakabali
wa timu lenu either mtacheza europa au kikao......
alafu unamcheka mtu ambae hata mpewe misimu mitatu hamtomuweza
nani amekwambia huu ndo msimu wetu bora?We kondoo na msimu wako bora una utafauti gani na kenge aliyekua ana msimu mbovu kuliko misimu yote, ni mwehu peke yake ndio anaweza akasimama mbele za watu akajisifia.
Mkuu habr ya siku nakusalimia kiongoz.Haya masimango sio ya nchi hii🤠🤠...sina la kusema mkuu...wacha tupige kimya mpk msimu mpya
Nyie kila msimu unaokuja ndio msimu wenu, then mnaishia kuangukia pua, hat msimu w jana mlisema msimu huu ndio msimu wenu, yako wapi!!nani amekwambia huu ndo msimu wetu bora?
nyie mnaona huu ni msimu bora kwa gunners kwa sababu
kenge na ndugu zenu nyumbu tumewapiga!, ila sisi kama arsenal
tunasema hivi huu haukuwa msimu bora kwetu
msimu wetu bora utakuwa wa 2024/25
Haya masimango sio ya nchi hii...sina la kusema mkuu...wacha tupige kimya mpk msimu mpya