Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Jamaa mna roho ngumu sana, bado mnapata ubavu wa kubishana na mabingwa wa FA wakati mmetoka kapa!
Lengo kuu la kushiriki ligi ni makombe kwanza halafu sexy football baadae.
Ni kwli watani wetu....ila msimu ujao hatutaki ikifika January muanze kumtukana 10 hag tena...maana nyny hamna fadhila kabisa....mkifungwa mechi kumi tu mnaanza kutukana🤠🤠
 
Ni kwli watani wetu....ila msimu ujao hatutaki ikifika January muanze kumtukana 10 hag tena...maana nyny hamna fadhila kabisa....mkifungwa mechi kumi tu mnaanza kutukana
Mkuu arsenal2004 kwenye suala la kumtukana kocha kwa Man utd unatuonea, timu la matusi linajulikana na ushahidi upo mwingi sana wa kutosha.
1717508898090.jpg
 
Ni kwli watani wetu....ila msimu ujao hatutaki ikifika January muanze kumtukana 10 hag tena...maana nyny hamna fadhila kabisa....mkifungwa mechi kumi tu mnaanza kutukana🤠🤠
Huyu bado tunaye sana tu.
Lengo letu tufurahi kama hivi mwisho wa msimu baada ya kuangalia haram football msimu mzimu.
Nyie mnafurahia sexy football ila mwisho wa msimu mnatia huruma.
 
Hili garasa lenu litakaa bench huko Euro. Kama Garasa kama upamecano anaanza mbele ya huyu mnaeamini kuwa ndio beki bora epl, jiulizeni mara mbili mbili. Tafuteni beki wa kueleweka.View attachment 3009175
Sasa ukikuta wenyewe wanavyomsifia utadhani akiwepo yeye arsenal huwa haipigiwi shot on goal hata moja au haijawahi kufungwa kabisa.
 
Ni kwli watani wetu....ila msimu ujao hatutaki ikifika January muanze kumtukana 10 hag tena...maana nyny hamna fadhila kabisa....mkifungwa mechi kumi tu mnaanza kutukana
@hamis77 amemtukana Ten Hag misimu miwili mfululizo kilichotokea kila msimu anakombe ameishia kuugua tumbo la kuhara na bawasiri mpaka kakimbia jukwaa.
 
Katika maisha haya yasiyotabirika nimejifunza saana umuhimu wa kuinjoi moments badala ya mwisho wa jambo.

Arsenal ni mashabiki pekee waliokuwa na furaha kwa msimu mzima.mwisho wa msimu ndo hatukufurahi kama tulivyotarajia and we are okay
 
Katika maisha haya yasiyotabirika nimejifunza saana umuhimu wa kuinjoi moments badala ya mwisho wa jambo.

Arsenal ni mashabiki pekee waliokuwa na furaha kwa msimu mzima.mwisho wa msimu ndo hatukufurahi kama tulivyotarajia and we are okay
Mkuu umenena la maana sana. Miaka miwili mfulilzo 85% ya msimu, tupo zetu na furaha mia mia. Wakati huo mashabiki wa timu pinzani wanapata maumivu mara mbili.

Moja, ya timu zao kuboronga, mbili ya Arsenal kufanya vizuri. Ndo maana unawaoma wanajaa humu muda wote, kupunguza msongo wao wa mawazo kwetu.

Mfano, sasa hivi, ligi zimeisha, sisi Arsenal wenyewe tushasahau ya msimu ulopita, lakini wao sasa.

Tupo zetu tunasikilizia anakuja nani kati ha Sesko, Gyokeres au Osimnhen huku tunakunja nne.


kaihavertz29-20240605-0001.jpg
 
Wale wazee wa kusaga sumu njooni basi mchangamshe jukwaaa.
Huu ndio muda pekee mnaweza ingia hapa kwa ujasiri na mkaongea chochote.ligi ikianza ni mwendo wa haya maneno
Sexy football
Invert
Overload
Press
Na mengine kibao,ila wenyewe tunafurahia timu yetu bila shida

Tumieni muda wenu vizuri
 
Madrid Jana bila kipa wao Lunin wangepigwa nyingi tu

Ndio maana namuomba Madrid sana ,

Yaan UCL wakumtoa mancity hazizid timu 2

Carragher anasema anaomba robo fainal tukutane na mancity sababu Arsenal ni Moja ya timu chache sana za kumtoa mancity

Yule Madrid wanaweza kumpiga nyingi
haki ya mama nikipitia hivi vichekesho mimi naisha🤣🤣🤣🤣
 
Juzi Madrid kapelekewa moto ,shukran ziende Kwa Lunin angekuwa Kepa wangepigwa hata 3


Bayern Munich wamepata on target 1 sijui hawajapata kabisa vs Lazio


Niliwahi kusema humu UCL timu nyingi zile giants ni zimeshuka


Madrid namuomba usiku na mchana,

Timu ambayo itatuumiza kichwa ni Mancity maana mbinu ni nyingi , Wachambuzi wanasema Arsenal ni Moja ya timu chache sana zinazoweza kumtoa city kule UCL akifuatiwa na Inter Milan


Binafsi naomba Mancity atolewe wakimshindwa turapambana nae wenyewe

Na wasiwasi Madrid au Bayern kuna mmoja hatafika nusu final,viwango vyao Kwa UCL haviridhishi ,nilisema toka mwanzo mwa msimu


Kwa kiwango Cha Madrid ile na leipzig angekutana na Arsenal Hii au Mancity wangempiga si chini ya goli 3.


Habari njema ,mechi 15 za mwisho tutakuwa na full squad ,


Habari njema nyingine

Iwapo Chelsea atasonga mbele kwenye FA cup vs Leeds ,basi mechi ya Arsenal vs Chelsea itasogezwa mbele ,hivo kuanzia tarehe 12 had 30-31 ,Arsenal hatutakuwa na mechi yoyote ,hii ni likizo nzuri kama ile ya Dubai , hizo ni wiki mbili kabisa ,kumbuka hapo injuries zitakuwa zimerejea

Partey anayetarajiwa week ijayo vs Porto
Vieira atakuwepo vs Porto
Timber atakuwepo vs Porto 2nd leg
Tomiyasu amesharejea
Jorginho amesharejea full training
Jesus amesharejea but atapumzika week hii
Zincheko amesharejea but ,anaweza akapumzishwa
Smith rowe pia atakuwa amerejea ,Arsenal walichukua tahadhari but Hana injury kubwa


Kwasasa hadi mwisho wa mwezi huu mechi zilizopo zipo ndani ya uwezo wetu kukusanya points zote

Tunaanza na Burney
View attachment 2905054
hamis77 ukamatwe na unyongwe sio kwa izi mambo hafu umewakimbia wenzio🤣🤣🤣 mimi naisha kabisa 😁 🤭
 
Juzi Madrid kapelekewa moto ,shukran ziende Kwa Lunin angekuwa Kepa wangepigwa hata 3


Bayern Munich wamepata on target 1 sijui hawajapata kabisa vs Lazio


Niliwahi kusema humu UCL timu nyingi zile giants ni zimeshuka


Madrid namuomba usiku na mchana,

Timu ambayo itatuumiza kichwa ni Mancity maana mbinu ni nyingi , Wachambuzi wanasema Arsenal ni Moja ya timu chache sana zinazoweza kumtoa city kule UCL akifuatiwa na Inter Milan


Binafsi naomba Mancity atolewe wakimshindwa turapambana nae wenyewe

Na wasiwasi Madrid au Bayern kuna mmoja hatafika nusu final,viwango vyao Kwa UCL haviridhishi ,nilisema toka mwanzo mwa msimu


Kwa kiwango Cha Madrid ile na leipzig angekutana na Arsenal Hii au Mancity wangempiga si chini ya goli 3.


Habari njema ,mechi 15 za mwisho tutakuwa na full squad ,


Habari njema nyingine

Iwapo Chelsea atasonga mbele kwenye FA cup vs Leeds ,basi mechi ya Arsenal vs Chelsea itasogezwa mbele ,hivo kuanzia tarehe 12 had 30-31 ,Arsenal hatutakuwa na mechi yoyote ,hii ni likizo nzuri kama ile ya Dubai , hizo ni wiki mbili kabisa ,kumbuka hapo injuries zitakuwa zimerejea

Partey anayetarajiwa week ijayo vs Porto
Vieira atakuwepo vs Porto
Timber atakuwepo vs Porto 2nd leg
Tomiyasu amesharejea
Jorginho amesharejea full training
Jesus amesharejea but atapumzika week hii
Zincheko amesharejea but ,anaweza akapumzishwa
Smith rowe pia atakuwa amerejea ,Arsenal walichukua tahadhari but Hana injury kubwa


Kwasasa hadi mwisho wa mwezi huu mechi zilizopo zipo ndani ya uwezo wetu kukusanya points zote

Tunaanza na Burney
View attachment 2905054
Hiyo bawasiri uliyopata kwa kukosa ubingwa wa ligi umepona ?
 
Back
Top Bottom