



Madrid nawapenda. Ndiyo timu yangu kuu ya Spain. Pia tuna sababu ya kuwa na hofu nao. Naamini wanaweza kutufunga kirahisi tu.Madrid Jana bila kipa wao Lunin wangepigwa nyingi tu
Ndio maana namuomba Madrid sana ,
Yaan UCL wakumtoa mancity hazizid timu 2
Carragher anasema anaomba robo fainal tukutane na mancity sababu Arsenal ni Moja ya timu chache sana za kumtoa mancity
Yule Madrid wanaweza kumpiga nyingi
Next ballon DO hiyoOdegaard became the first Premier League player since records began in 2003/04 to complete 100+ passes (109), create at least five chances (7) and assist multiple goals (2) in the same game.
West Ham wametupa maneno ya kuongea mtaani mpaka Chelkenge na Manyumbu wanakosa usingizi. Kila wakija humu wanakutana na stats balaa.
Uchambuzi na picha juu, ninacho sikitika nibiuwa nyumbu na Kenge wamaweza wasielewe hapa unamaanisha niniKUHUSU BEN WHITE KUWA INVERTED TO MIDFIELD
Maestro Martin Ødegaard
#EBL mchambuzi nguli anakwambia yote haya yanafanyika uwanjani wa akili ya mpira na technical aspects alizokua nazo Ødegaard kichwani ni very intelligent kwenye possession, attacking flow, ishu za spaces na fluidity Ødegaard ainafanya Arsenal icheze na ndio mchezaji anaeelekeza uwanjani kuhusu kuchukua spaces kama mchezaji mwenza akijisahau.
Ben White ni kiraka kwelikweli ni mwamba sana na anajua kusoma movements za Ødegaard na Saka, na kwenye hii game alikua anafanya Kazi mbili kipindi Cha attacking:-
1. Inverted kwenye Midfield,
2. Overlapping upande wa Saka kumpa Saka nafasi ya kuingia ndani na kumuondelea defender mmoja. Na kwa Ødegaard kuja kwenye deep laying inaonyesha akili yake ya mpira maana anausoma mchezo wote na kuelekeza wenzie sehemu za kukaa.View attachment 2903990
Kama nyumbu hawawezi elewa kituUchambuzi na picha juu, ninacho sikitika nibiuwa nyumbu na Kenge wamaweza wasielewe hapa unamaanisha nini
Hawezi kutamani kuja Arse8 kuungana na kina Peter Check, Luiz, Jorgnho, Kai. kuzindikiza wanaume kubeba EPL kila msimu?Hivi Mudryk atakuwa akiangalia Arsenal anawaza nini? Timu yake ina mastar kibao lakini bado hawajafika juu. Sisi hatuna Timber, hatuna Tomiyasu, hatuna Partey na sometimes hatuna Jesus lakini tunapambana. Hatakuwa anatamani kuwa kwetu kweli?
Giroud alifanya vizuri. Mchezaji mmoja underrated sana. Haya tuone kama Muddy atafika huko walikofika hao wengine. Sisi pia tulipotea ila tumeanza kurudi katika ushindani. Muddy angekuja huenda angeshabeba kombe.Hawezi kutamani kuja Arse8 kuungana na kina Peter Check, Luiz, Jorgnho, Kai. kuzindikiza wanaume kubeba EPL kila msimu?
Giroud ameondoka hapo kabeba kumbe kubwa UCL Europa kwa wanaume wa London.
Mudyk yuko mahali salama kimakombe, THE BLUES kwa sasa inapita kwenye uwanja wa mbigiri soon tutarudi kwenye makali yetu ya makombe.
HahahahaGiroud alifanya vizuri. Mchezaji mmoja underrated sana. Haya tuone kama Muddy atafika huko walikofika hao wengine. Sisi pia tulipotea ila tumeanza kurudi katika ushindani. Muddy angekuja huenda angeshabeba kombe.
kubeba hayo makombe ya kindergarten Carabao na Community shield. Mkuu hii comment yako haukuitendea haki hata kidogo, hii comment ilitakiwa iambatanishwe na hizi picha za kuwakata maini hawa Pussy cat wa London.Hawezi kutamani kuja Arse8 kuungana na kina Peter Check, Luiz, Jorgnho, Kai. kuzindikiza wanaume kubeba EPL kila msimu?
Giroud ameondoka hapo kabeba kumbe kubwa UCL Europa kwa wanaume wa London.
Mudyk yuko mahali salama kimakombe, THE BLUES kwa sasa inapita kwenye uwanja wa mbigiri soon tutarudi kwenye makali yetu ya makombe.
Msiwaumize kiasi hicho wa wenger ophans.Mkuu hii comment yako haukuitendea haki hata kidogo, hii comment ilitakiwa iambatanishwe na hizi picha za kuwakata maini hawa Pussy cat wa London. View attachment 2904930View attachment 2904931View attachment 2904934View attachment 2904935
Kai Havertz builds a perfect footballer from players he's played with:
Left Foot- Odegaard
Right foot- Gabriel Jesus
Speed- Martinelli
Strength- N'golo Kante
Skill- Joao Felix
Football IQ- Jorginho
[GOAL Tik Tok]View attachment 2904951



Masingeli we wadanganye tu wenzio, siku wakisanuka mimi nitakutetea


HahahahaMkuu hii comment yako haukuitendea haki hata kidogo, hii comment ilitakiwa iambatanishwe na hizi picha za kuwakata maini hawa Pussy cat wa London. View attachment 2904930View attachment 2904931View attachment 2904934View attachment 2904935
Nashukuru Mkuu kwa kupigilia msumari mkaliHahahahaMsiwaumize kiasi hicho wa wenger ophans.

Havertz huyu huyu kiazi? Ama mwingine? 😀Kai Havertz builds a perfect footballer from players he's played with:
Left Foot- Odegaard
Right foot- Gabriel Jesus
Speed- Martinelli
Strength- N'golo Kante
Skill- Joao Felix
Football IQ- Jorginho
[GOAL Tik Tok]View attachment 2904951
Partey ananipa mashaka. Nafikiri arsenal wanasema anarudi kutuliza mashabiki. Zikibakia siku 2 kabla ya mechi utasikia aliumia tena mazoezini.Juzi Madrid kapelekewa moto ,shukran ziende Kwa Lunin angekuwa Kepa wangepigwa hata 3
Bayern Munich wamepata on target 1 sijui hawajapata kabisa vs Lazio
Niliwahi kusema humu UCL timu nyingi zile giants ni zimeshuka
Madrid namuomba usiku na mchana,
Timu ambayo itatuumiza kichwa ni Mancity maana mbinu ni nyingi , Wachambuzi wanasema Arsenal ni Moja ya timu chache sana zinazoweza kumtoa city kule UCL akifuatiwa na Inter Milan
Binafsi naomba Mancity atolewe wakimshindwa turapambana nae wenyewe
Na wasiwasi Madrid au Bayern kuna mmoja hatafika nusu final,viwango vyao Kwa UCL haviridhishi ,nilisema toka mwanzo mwa msimu
Kwa kiwango Cha Madrid ile na leipzig angekutana na Arsenal Hii au Mancity wangempiga si chini ya goli 3.
Habari njema ,mechi 15 za mwisho tutakuwa na full squad ,
Habari njema nyingine
Iwapo Chelsea atasonga mbele kwenye FA cup vs Leeds ,basi mechi ya Arsenal vs Chelsea itasogezwa mbele ,hivo kuanzia tarehe 12 had 30-31 ,Arsenal hatutakuwa na mechi yoyote ,hii ni likizo nzuri kama ile ya Dubai , hizo ni wiki mbili kabisa ,kumbuka hapo injuries zitakuwa zimerejea
Partey anayetarajiwa week ijayo vs Porto
Vieira atakuwepo vs Porto
Timber atakuwepo vs Porto 2nd leg
Tomiyasu amesharejea
Jorginho amesharejea full training
Jesus amesharejea but atapumzika week hii
Zincheko amesharejea but ,anaweza akapumzishwa
Smith rowe pia atakuwa amerejea ,Arsenal walichukua tahadhari but Hana injury kubwa
Kwasasa hadi mwisho wa mwezi huu mechi zilizopo zipo ndani ya uwezo wetu kukusanya points zote
Tunaanza na Burney
View attachment 2905054