Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

KUHUSU BEN WHITE KUWA INVERTED TO MIDFIELD


Maestro Martin Ødegaard


#EBL mchambuzi nguli anakwambia yote haya yanafanyika uwanjani wa akili ya mpira na technical aspects alizokua nazo Ødegaard kichwani ni very intelligent kwenye possession, attacking flow, ishu za spaces na fluidity Ødegaard ainafanya Arsenal icheze na ndio mchezaji anaeelekeza uwanjani kuhusu kuchukua spaces kama mchezaji mwenza akijisahau.

Ben White ni kiraka kwelikweli ni mwamba sana na anajua kusoma movements za Ødegaard na Saka, na kwenye hii game alikua anafanya Kazi mbili kipindi Cha attacking:-

1. Inverted kwenye Midfield,

2. Overlapping upande wa Saka kumpa Saka nafasi ya kuingia ndani na kumuondelea defender mmoja. Na kwa Ødegaard kuja kwenye deep laying inaonyesha akili yake ya mpira maana anausoma mchezo wote na kuelekeza wenzie sehemu za kukaa.
IMG-20240214-WA0006.jpg
 
Madrid Jana bila kipa wao Lunin wangepigwa nyingi tu

Ndio maana namuomba Madrid sana ,

Yaan UCL wakumtoa mancity hazizid timu 2

Carragher anasema anaomba robo fainal tukutane na mancity sababu Arsenal ni Moja ya timu chache sana za kumtoa mancity

Yule Madrid wanaweza kumpiga nyingi
Madrid nawapenda. Ndiyo timu yangu kuu ya Spain. Pia tuna sababu ya kuwa na hofu nao. Naamini wanaweza kutufunga kirahisi tu.
 
Odegaard became the first Premier League player since records began in 2003/04 to complete 100+ passes (109), create at least five chances (7) and assist multiple goals (2) in the same game.

West Ham wametupa maneno ya kuongea mtaani mpaka Chelkenge na Manyumbu wanakosa usingizi. Kila wakija humu wanakutana na stats balaa.
Next ballon DO hiyo
 
KUHUSU BEN WHITE KUWA INVERTED TO MIDFIELD


Maestro Martin Ødegaard


#EBL mchambuzi nguli anakwambia yote haya yanafanyika uwanjani wa akili ya mpira na technical aspects alizokua nazo Ødegaard kichwani ni very intelligent kwenye possession, attacking flow, ishu za spaces na fluidity Ødegaard ainafanya Arsenal icheze na ndio mchezaji anaeelekeza uwanjani kuhusu kuchukua spaces kama mchezaji mwenza akijisahau.

Ben White ni kiraka kwelikweli ni mwamba sana na anajua kusoma movements za Ødegaard na Saka, na kwenye hii game alikua anafanya Kazi mbili kipindi Cha attacking:-

1. Inverted kwenye Midfield,

2. Overlapping upande wa Saka kumpa Saka nafasi ya kuingia ndani na kumuondelea defender mmoja. Na kwa Ødegaard kuja kwenye deep laying inaonyesha akili yake ya mpira maana anausoma mchezo wote na kuelekeza wenzie sehemu za kukaa. View attachment 2903990
Uchambuzi na picha juu, ninacho sikitika nibiuwa nyumbu na Kenge wamaweza wasielewe hapa unamaanisha nini
 
Hivi Mudryk atakuwa akiangalia Arsenal anawaza nini? Timu yake ina mastar kibao lakini bado hawajafika juu. Sisi hatuna Timber, hatuna Tomiyasu, hatuna Partey na sometimes hatuna Jesus lakini tunapambana. Hatakuwa anatamani kuwa kwetu kweli?
 
Hivi Mudryk atakuwa akiangalia Arsenal anawaza nini? Timu yake ina mastar kibao lakini bado hawajafika juu. Sisi hatuna Timber, hatuna Tomiyasu, hatuna Partey na sometimes hatuna Jesus lakini tunapambana. Hatakuwa anatamani kuwa kwetu kweli?
Hawezi kutamani kuja Arse8 kuungana na kina Peter Check, Luiz, Jorgnho, Kai. kuzindikiza wanaume kubeba EPL kila msimu?

Giroud ameondoka hapo kabeba kumbe kubwa UCL Europa kwa wanaume wa London.

Mudyk yuko mahali salama kimakombe, THE BLUES kwa sasa inapita kwenye uwanja wa mbigiri soon tutarudi kwenye makali yetu ya makombe.
 
Hawezi kutamani kuja Arse8 kuungana na kina Peter Check, Luiz, Jorgnho, Kai. kuzindikiza wanaume kubeba EPL kila msimu?

Giroud ameondoka hapo kabeba kumbe kubwa UCL Europa kwa wanaume wa London.

Mudyk yuko mahali salama kimakombe, THE BLUES kwa sasa inapita kwenye uwanja wa mbigiri soon tutarudi kwenye makali yetu ya makombe.
Giroud alifanya vizuri. Mchezaji mmoja underrated sana. Haya tuone kama Muddy atafika huko walikofika hao wengine. Sisi pia tulipotea ila tumeanza kurudi katika ushindani. Muddy angekuja huenda angeshabeba kombe.
 
Giroud alifanya vizuri. Mchezaji mmoja underrated sana. Haya tuone kama Muddy atafika huko walikofika hao wengine. Sisi pia tulipotea ila tumeanza kurudi katika ushindani. Muddy angekuja huenda angeshabeba kombe.
Hahahaha kubeba hayo makombe ya kindergarten Carabao na Community shield.

Liverpool kwenye ubora wao chini ya Klopp wamebeba EPL 1, Aser8 bado hamjafika 70% ya ule ubora wa Liver wakati wanabeba EPL achilia mbali ubora wa city

Kitakachotokea baada ya msimu huu ni Aser8 kuanza kudrop performance baada ya kutumia nguvu kubwa msimu uliopita na huu kupambana kubeba EPL na kutoka mikono tupu.

Msimu ujao sioni mkiendelea kupandisha performance zaidi ya hapa kufikia level za kubeba ubingwa.
 
Hawezi kutamani kuja Arse8 kuungana na kina Peter Check, Luiz, Jorgnho, Kai. kuzindikiza wanaume kubeba EPL kila msimu?

Giroud ameondoka hapo kabeba kumbe kubwa UCL Europa kwa wanaume wa London.

Mudyk yuko mahali salama kimakombe, THE BLUES kwa sasa inapita kwenye uwanja wa mbigiri soon tutarudi kwenye makali yetu ya makombe.
Mkuu hii comment yako haukuitendea haki hata kidogo, hii comment ilitakiwa iambatanishwe na hizi picha za kuwakata maini hawa Pussy cat wa London.
1535719978.jpg
164743299.jpg
1498592806.jpg
180098969.jpg
 
Kai Havertz builds a perfect footballer from players he's played with:

Left Foot- Odegaard
Right foot- Gabriel Jesus
Speed- Martinelli
Strength- N'golo Kante
Skill- Joao Felix
Football IQ- Jorginho

[GOAL Tik Tok]
20240215_144425.jpg
 
Ni bora Alonso aende Liverpool kuliko Chelsea, Chelsea kikosi wanacho, na pesa, na kocha mzuri atakuwepo, ni mwezi mmoja tu akiichukua timu gari linawaka. Afu mbaya ni mshikaji wake Mikel Arteta tangu utotoni. Ila sisi tutapambana sababu Arteta ni jeshi.
 
Juzi Madrid kapelekewa moto ,shukran ziende Kwa Lunin angekuwa Kepa wangepigwa hata 3


Bayern Munich wamepata on target 1 sijui hawajapata kabisa vs Lazio


Niliwahi kusema humu UCL timu nyingi zile giants ni zimeshuka


Madrid namuomba usiku na mchana,

Timu ambayo itatuumiza kichwa ni Mancity maana mbinu ni nyingi , Wachambuzi wanasema Arsenal ni Moja ya timu chache sana zinazoweza kumtoa city kule UCL akifuatiwa na Inter Milan


Binafsi naomba Mancity atolewe wakimshindwa turapambana nae wenyewe

Na wasiwasi Madrid au Bayern kuna mmoja hatafika nusu final,viwango vyao Kwa UCL haviridhishi ,nilisema toka mwanzo mwa msimu


Kwa kiwango Cha Madrid ile na leipzig angekutana na Arsenal Hii au Mancity wangempiga si chini ya goli 3.


Habari njema ,mechi 15 za mwisho tutakuwa na full squad ,


Habari njema nyingine

Iwapo Chelsea atasonga mbele kwenye FA cup vs Leeds ,basi mechi ya Arsenal vs Chelsea itasogezwa mbele ,hivo kuanzia tarehe 12 had 30-31 ,Arsenal hatutakuwa na mechi yoyote ,hii ni likizo nzuri kama ile ya Dubai , hizo ni wiki mbili kabisa ,kumbuka hapo injuries zitakuwa zimerejea

Partey anayetarajiwa week ijayo vs Porto
Vieira atakuwepo vs Porto
Timber atakuwepo vs Porto 2nd leg
Tomiyasu amesharejea
Jorginho amesharejea full training
Jesus amesharejea but atapumzika week hii
Zincheko amesharejea but ,anaweza akapumzishwa
Smith rowe pia atakuwa amerejea ,Arsenal walichukua tahadhari but Hana injury kubwa


Kwasasa hadi mwisho wa mwezi huu mechi zilizopo zipo ndani ya uwezo wetu kukusanya points zote

Tunaanza na Burney
20240215_165351.jpg
 
Juzi Madrid kapelekewa moto ,shukran ziende Kwa Lunin angekuwa Kepa wangepigwa hata 3


Bayern Munich wamepata on target 1 sijui hawajapata kabisa vs Lazio


Niliwahi kusema humu UCL timu nyingi zile giants ni zimeshuka


Madrid namuomba usiku na mchana,

Timu ambayo itatuumiza kichwa ni Mancity maana mbinu ni nyingi , Wachambuzi wanasema Arsenal ni Moja ya timu chache sana zinazoweza kumtoa city kule UCL akifuatiwa na Inter Milan


Binafsi naomba Mancity atolewe wakimshindwa turapambana nae wenyewe

Na wasiwasi Madrid au Bayern kuna mmoja hatafika nusu final,viwango vyao Kwa UCL haviridhishi ,nilisema toka mwanzo mwa msimu


Kwa kiwango Cha Madrid ile na leipzig angekutana na Arsenal Hii au Mancity wangempiga si chini ya goli 3.


Habari njema ,mechi 15 za mwisho tutakuwa na full squad ,


Habari njema nyingine

Iwapo Chelsea atasonga mbele kwenye FA cup vs Leeds ,basi mechi ya Arsenal vs Chelsea itasogezwa mbele ,hivo kuanzia tarehe 12 had 30-31 ,Arsenal hatutakuwa na mechi yoyote ,hii ni likizo nzuri kama ile ya Dubai , hizo ni wiki mbili kabisa ,kumbuka hapo injuries zitakuwa zimerejea

Partey anayetarajiwa week ijayo vs Porto
Vieira atakuwepo vs Porto
Timber atakuwepo vs Porto 2nd leg
Tomiyasu amesharejea
Jorginho amesharejea full training
Jesus amesharejea but atapumzika week hii
Zincheko amesharejea but ,anaweza akapumzishwa
Smith rowe pia atakuwa amerejea ,Arsenal walichukua tahadhari but Hana injury kubwa


Kwasasa hadi mwisho wa mwezi huu mechi zilizopo zipo ndani ya uwezo wetu kukusanya points zote

Tunaanza na Burney
View attachment 2905054
Partey ananipa mashaka. Nafikiri arsenal wanasema anarudi kutuliza mashabiki. Zikibakia siku 2 kabla ya mechi utasikia aliumia tena mazoezini.

Huenda injury yake ni kubwa sana au wale wanaomshitaki wanatusumbua juu ya ile kesi yake.
 
Back
Top Bottom