Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Msimu mpya unaanza ,na vichwa panzi aka Arsenyetoz aka False hopers bado mnajiona mna matumaini .
Mtaisoma namba msimu huu .
Msipoangalia vizuri ,hata top four hamnusi
 
We unajua Arteta ana makombe mangapi?
Hawajui anayo mengi.
images.jpg
 
Tupo katika stage ambayo wachezaji wanaletwa kwetu tuwasajili kisha sisi tunawakataa. Mwanzo Arteta alitumia project na vision kushawishi wachezaji waje na akasisitiza anahitajika anayejua uzito wa jezi na anakuja kwavile anataka kua hapo.

Huko kwingine nyumbu wameenda kufuata mchezaji anaitwa Neves kwa 50M wameambiwa bila 85M wasirudishe pua zao.
 
Kocha wa set pieces wa Arsenal, Jover, anatakiwa na Bayern na Barcelona.

Arsenal imegoma kumuachia
Kocha wa set pieces wa Arsenal, Jover, anatakiwa na Bayern na Barcelona.

Arsenal imegoma kumuachia
Tunahitaji pia mtu wa kuwafundisha wachezaji wetu kupiga direct free kicks. Yaani hatuna mpigaji mzuri wa hizi kabisa. Kila tukipata freekick nje ya box tunaanza kufanya mahesabu ya kurecover mipira itayogonga ukuta au kujipanga kupress mpinzani atakapopata goal kick baada ya sisi kupaisha.
 
Arsenal tumegewa option ya kumsajili Osimhen ila tumegoma na badala yake tunamtaka Sesko
Mkuu niamini mimi hamtampata huyo Osimhen wala Sesko, usajili wenu mkubwa dirisha hili kama mtafanikiwa basi atakua ni Onana.
Arsenyau false hopes hua sio tu kwenye makombe, bali mpaka kwenye usajili false hopes hua zinatamalaki


#Poor Arsenyo
#Pooa Arteta
 
Mkuu niamini mimi hamtampata huyo Osimhen wala Sesko, usajili wenu mkubwa dirisha hili kama mtafanikiwa basi atakua ni Onana.
Arsenyau false hopes hua sio tu kwenye makombe bali mpaka kwenye usajili false hopes hua zinatamalaki


#Poor Arsenyo
#Pooa Arteta
Upo nyuma sana.

Sesko kasema anataka abaki RB kwa msimu mmoja mbele. Arsenal ama ikubali kusajili na kumtoa kwa mkopo hapo hapo.

Osimhen Arsenal hawakuingia kwenye discussion tangu walipogewa option.
 
Mkuu niamini mimi hamtampata huyo Osimhen wala Sesko, usajili wenu mkubwa dirisha hili kama mtafanikiwa basi atakua ni Onana.
Arsenyau false hopes hua sio tu kwenye makombe bali mpaka kwenye usajili false hopes hua zinatamalaki


#Poor Arsenyo
#Pooa Arteta
Hawa jamaa wameaminishana kuwa wachezaji wanalilia kusajiliwa na arsenal sababu ya mfumo au ubora walionao. Leo hii target yao ya kwanza kabisa kachomoa kuja arsenal.
Wanajilisha upepo hawa hadi raha.
 
Hawa jamaa wameaminishana kuwa wachezaji wanalilia kusajiliwa na arsenal sababu ya mfumo au ubora walionao. Leo hii target yao ya kwanza kabisa kachomoa kuja arsenal.
Wanajilisha upepo hawa hadi raha.
Hawa ni false hopes kiwango cha lami, msimu ulioisha walidanganyana humu kuhusu Mudryk, wakatiana ujinga kua Mudryk amefanya mpaka mgomo wa kula, muda wote amejifungia chumbani analia hataki kusikia timu yoyote zaidi ya Arsenyo timu ya ndoto zake
 
Hawa ni false hopes kiwango cha lami, msimu ulioisha walidanganyana humu kuhusu Mudryk, wakatiana ujinga kua Mudryk amefanya mpaka mgomo wa kula, muda wote amejifungia chumbani analia hataki kusikia timu yoyote zaidi ya Arsenyo timu ya ndoto zake
😂😂😂😂😂
Hawa kondoo huwa wanafurahisha, ligi ianze tu mapema tupate comedy zao humu.
 
Hawa jamaa wameaminishana kuwa wachezaji wanalilia kusajiliwa na arsenal sababu ya mfumo au ubora walionao. Leo hii target yao ya kwanza kabisa kachomoa kuja arsenal.
Wanajilisha upepo hawa hadi raha.
Acha maneno weweeee. Hakuna mchezaji mwenye akili timamu mwenye ubavu wa kukataa project ya Arteta. Huyo itakuwa alivujisha tu story ili aongezewe mkataba.
 
Ukisikia Majaribu ndio haya sasa

Reports indicate that PSG made a bid close to 100m for Arsenal Winger Martinelli, it's believed that PSG looks at Martinelli as a replacement for Mbappe.
Arsenal remains adamant, hower a player may be tempted of a big contract proposal PSG would like to offer, personal terms not a problem; it remains wether Arsenal is willing to cash him out!!
IMG-20240614-WA0002.jpg
 
Back
Top Bottom