whitemoney
JF-Expert Member
- Nov 9, 2023
- 1,190
- 2,541
Tunachukua wote mkuuKwa hiyo Victor Osimhen mumemtelekeza. Yeye anawataka ninyi
Tunachukua wote mkuuKwa hiyo Victor Osimhen mumemtelekeza. Yeye anawataka ninyi
Lile bomu🤠🤠....yule style yake ya uchezaji inawafaa nyny....vuruguvurugu mbele kule na kusukumana na watu.....sisi huo mpira hatuna...hatufaiKwa hiyo Victor Osimhen mumemtelekeza. Yeye anawataka ninyi
Sasa ww na kubahatisha kwako fainali ile unamtambia nani....unaona kabisa City walipigwa misumari....TAfuteni wachezaji wa kueleweka msimu ukifikia mwshoni msidandie basi la City kuanza kutuwangia tena maana ndo kazi mnayoiweza hyo🤠🤠Lile Sinia la Maharage sio kombe, lile ni bonanza la ufunguzi wa ligi.
Tafuteni kocha wa kueleweka ndugu zangu, kwa huyo Tetea wenu labda awatagie mayai tu ila mtamaliza mpaka phase10 bila ya kombe lolote la maana hapa duniani![]()
Yatima wa Wenger trust the process.Sasa ww na kubahatisha kwako fainali ile unamtambia nani....unaona kabisa City walipigwa misumari....TAfuteni wachezaji wa kueleweka msimu ukifikia mwshoni msidandie basi la City kuanza kutuwangia tena maana ndo kazi mnayoiweza hyo🤠🤠
Yatima wa Wenger trust the processSasa ww na kubahatisha kwako fainali ile unamtambia nani....unaona kabisa City walipigwa misumari....TAfuteni wachezaji wa kueleweka msimu ukifikia mwshoni msidandie basi la City kuanza kutuwangia tena maana ndo kazi mnayoiweza hyo🤠🤠
Mwenzako hamtakiTunachukua wote mkuu
Lile bomu🤠🤠....yule style yake ya uchezaji inawafaa nyny....vuruguvurugu mbele kule na kusukumana na watu.....sisi huo mpira hatuna...hatufai
Hizi kondoo zinajua tu kufuga makalioView attachment 3006248
Aston villa ni kubwa kuliko nyie kenge
mkuu man city haiwezi kushuka leo wala kesho sema ile tu ya uhakika wa makombe itapungua kiasi , before pep kaja mancini, pellergrini wote wamebeba ndoo.Mkuu najua tutapoteana ...man city pep ataondoka na tunaweza kuwa tunakaaa misimu hadi misismu Bila makombe ...
Lakin kichapo na historia yetu hapo EPL itasemwa vizazi mpaka vizazi ,hata usiposema wewe watoto wako wataijuia man city Ni Nani ....
Kama ambavyo nyie mnasema mafanikio ya Arsenal ya 2003-2004 mpaka Leo ndio mnajivunia nayo ,na mnajitafita Kurudi kuwa vile ,na asilimia kubwa ndio yalifanya muwe mashabiki ........that is football
Kila MTU anajua
😂😂😂😂 yaani kila msimu kwao ni wao ikishafika game 38 unawaonea mpaka huruma.Nyie kila msimu unaokuja ndio msimu wenu, then mnaishia kuangukia pua, hat msimu w jana mlisema msimu huu ndio msimu wenu, yako wapi!!
Nyie ni nina? Nyie ni False hopers
Yule hapana....nimeshamuangalia sana uchezaji wake....ila Manunu atawafaa🤠🤠 na ile mipasi ya kubutua ya Bruno...kama nyny mkimpotezea....Mwenzako hamtaki
Jamaa mna roho ngumu sana, bado mnapata ubavu wa kubishana na mabingwa wa FA wakati mmetoka kapa!Yule hapana....nimeshamuangalia sana uchezaji wake....ila Manunu atawafaa🤠🤠 na ile mipasi ya kubutua ya Bruno...kama nyny mkimpotezea....