Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wazee wa fezi naona mpo.

Arsenal ibebe kombe la maana nyakat izi kwl?.. Na nyie mpo hapa mnaamin ilo?
 
nani amekwambia huu ndo msimu wetu bora?
nyie mnaona huu ni msimu bora kwa gunners kwa sababu
kenge na ndugu zenu nyumbu tumewapiga!, ila sisi kama arsenal
tunasema hivi huu haukuwa msimu bora kwetu
msimu wetu bora utakuwa wa 2024/25
Nyie kila msimu unaokuja ndio msimu wenu, then mnaishia kuangukia pua, hat msimu w jana mlisema msimu huu ndio msimu wenu, yako wapi!!

Nyie ni nina? Nyie ni False hopers
 
TBT
 

Attachments

  • IMG_20240528_090455.jpg
    IMG_20240528_090455.jpg
    157.5 KB · Views: 15
Haya masimango sio ya nchi hii...sina la kusema mkuu...wacha tupige kimya mpk msimu mpya
Mkuu nyinyi na boss wenu Masingeli mlitunanga vya kutosha humu, mkatusimanga sana kuhusu GD, mkatutambia Pressing & Overloading, positional interchange, aerial duel, pia mkatudanganya phase4 ndio phase yenu ya kubeba makombe pamoja na kudominate league miaka 10+ consecutively.
Sisi tuna GD -1 lakini tuna kombe mkononi, haya nyinyi wenye GD62 tuonesheni basi hizo GD zenu zimewapatia kombe gani msimu huu
Mimi ndio maana hua namkubali sana ndugu yangu HENRY14 jamaa anashabikia Arsenyau lakini nafsi yake ilishakubaliana na hali kua timu aliyoichagua ni Fungu la kukosa, ndio maana ligi ikianza mpaka ikiwa inaelekea tamani anakua humu anafurahia Teta ball burudani kwa wote, ikifika muda wa kupewa makombe tunakua nae kwenye jukwaa la Utd tukifurahia kwa pamoja kunyanyua kwapa


1717053302876.jpg
 
🎙️ Carlo Ancelotti spoke to TIMES 📰

🗣️ "We won the league this season because there is no ego here."

"Vinícius, no ego. Bellingham, no ego. Rodrygo, no ego. And the senior players are like that. Toni Kroos, Dani Carvajal, Nacho, Luka Modric. I don’t know what happens in the future but there is no jealousy between the young ones now. Humility is important. You must have that.”

🗣️ “They say at the Bernabéu there is a God and he wears a white shirt, and who knows maybe that is true, but I think that this God punishes mistakes. If you make a mistake, the God in white punishes you.”

🗣️ "To try and have one identity for your team is a limit."

"We played a game in the Champions League against Shakhtar Donetsk. Very good team, Roberto De Zerbi was their coach. What he was doing with full backs, and different positions, really good."

"But I said to my players, they want you to press. Don’t press. If you press they will pass the ball around you. Don’t press, and they will give the ball to you. We didn’t press – and we won 5-0.”

🗣️ On coaching: "The more you shout, the less they [players] listen."

🗣️ "The key point is I have a lot of passion, but I’m not obsessed. I’m not obsessed with my job. I never was, not about football. I really liked it, as a player, as a manager, but I don’t become crazy."

I’m calm. It’s strange because before the game I am usually really nervous. The two or three hours before, I really don’t feel good. I have fast heart and I start to think bad thoughts, 'They are going to score, what are we going to do?' And when I am alone in the build-up, I try to sleep, but am not able to sleep."

“Then immediately when the referee blows his whistle — calm. Ah, we start the game, finally. Then I have no fear. The fear is before and when it starts — optimistic. It will go well. Quite strange. And my heartbeat goes from 120 to 90. Whether the game goes well or whether it goes badly, I am in control of myself. At the press conference, under control. And that is because I am not obsessed.”

🗣️ "You see, there is no 'Ancelotti style' - there is no style for me because I change.

"Against Manchester City in #UCL QF we played low block, strong defence. We have played that way this season one or two times, no more."

"We don’t play like that, we are more attacking. But I saw that as the way to compete and to win that game."

🗣️ "This season, we lost Karim Benzema, but Bellingham arrived. We had two fantastic strikers, Vinícius and Rodrygo, but they play wide. So we start to play Vinícius and Rodyrgo with Bellingham behind, #10 — 4-3-1-2."

“We did really well at the beginning, Bellingham scored a lot of goals, but then in one match with Atletico Madrid they scored three goals from crosses because the right side was not covered. So we changed and put Bellingham to help defensively inside."

"We adapt without making the players uncomfortable. Vinícius does not want to play inside, so I won’t force him to play inside. He doesn’t show his best quality there, so I have to give him freedom."

"I spend a lot of time defensively, working with my team, working together. Offensively I give some information, but not too much. What can I tell them? Vinícius was always fantastic one-against-one but I have helped him to be more effective inside the pitch, not just wide. He is fast, he is really talented, but he has to beat two people from wide to have a shot. That movement in the middle of the pitch, with one touch he can score a goal.”

🗣️ "Don Carlo, they call me – or Maestro. I've got to say, I really, really like that."

🗣️ "When I started, I wasn't like this."

"I had one system that I learnt at AC Milan from Arrigo Sacchi. It was 4-4-2. And for this I refused to have Roberto Baggio at Parma because he wanted to play #10 role."

"I said, ‘No, I don’t play #10.’ He was one of the best players in the world at the time and I refused to have him because I just wanted to play with two strikers."

"Today, I would say, ‘Baggio, come to Parma, and we’ll arrange the situation.’ Instead I told him, ‘Listen, Roberto, there is no space for you’ – and he went to Bologna instead. It was a mistake and I tried to change my idea when I went to Juventus."

"I had Zidane, and he was #10. Should I put him right, or left? Impossible. Zidane is the most important player in my team and he has to be #10 and I have to adapt. From there I always took into account the characteristics of the players to build the system.”

Huwa napenda sana kusoma mawazo ya makocha hasa kwenye technical issues. Din Carlo.
 
kameraman kwenye moja na mbili😜
 

Attachments

  • IMG_20240530_145237.jpg
    IMG_20240530_145237.jpg
    113.3 KB · Views: 15
Mkuu nyinyi na boss wenu Masingeli mlitunanga vya kutosha humu, mkatusimanga sana kuhusu GD, mkatutambia Pressing & Overloading, positional interchange, aerial duel, pia mkatudanganya phase4 ndio phase yenu ya kubeba makombe pamoja na kudominate league miaka 10+ consecutively.
Sisi tuna GD -1 lakini tuna kombe mkononi, haya nyinyi wenye GD62 tuonesheni basi hizo GD zenu zimewapatia kombe gani msimu huu
Mimi ndio maana hua namkubali sana ndugu yangu HENRY14 jamaa anashabikia Arsenyau lakini nafsi yake ilishakubaliana na hali kua timu aliyoichagua ni Fungu la kukosa, ndio maana ligi ikianza mpaka ikiwa inaelekea tamani anakua humu anafurahia Teta ball burudani kwa wote, ikifika muda wa kupewa makombe tunakua nae kwenye jukwaa la Utd tukifurahia kwa pamoja kunyanyua kwapa


View attachment 3003464
Na tutaendelea kuwananga msimu ujqo kama kawaida...sisi tumebeba sinia la ubwabwa na nyny mmebeba kombe la maji....walofanikiwa ni City tu hawa siwezi kuwagusa ila nyny ni takataka...ueropa mkifika robo mnapangiwa sevilla...shuguli inaishia hapo😀😀😀
 
Na tutaendelea kuwananga msimu ujqo kama kawaida...sisi tumebeba sinia la ubwabwa na nyny mmebeba kombe la maji....walofanikiwa ni City tu hawa siwezi kuwagusa ila nyny ni takataka...ueropa mkifika robo mnapangiwa sevilla...shuguli inaishia hapo😀😀😀
Unaongelea Europa hata harufu ya kombe unaijua wewe kwel??😂😂😂
 
Na tutaendelea kuwananga msimu ujqo kama kawaida...sisi tumebeba sinia la ubwabwa na nyny mmebeba kombe la maji....walofanikiwa ni City tu hawa siwezi kuwagusa ila nyny ni takataka...ueropa mkifika robo mnapangiwa sevilla...shuguli inaishia hapo
Lile Sinia la Maharage sio kombe, lile ni bonanza la ufunguzi wa ligi.
Tafuteni kocha wa kueleweka ndugu zangu, kwa huyo Tetea wenu labda awatagie mayai tu ila mtamaliza mpaka phase10 bila ya kombe lolote la maana hapa duniani
 
Lile Sinia la Maharage sio kombe, lile ni bonanza la ufunguzi wa ligi.
Tafuteni kocha wa kueleweka ndugu zangu, kwa huyo Tetea wenu labda awatagie mayai tu ila mtamaliza mpaka phase10 bila ya kombe lolote la maana hapa duniani
Na msimu ujao sijui watachukua nini maana kwenye sinia hawapo tena😃😃😃
 
Lile Sinia la Maharage sio kombe, lile ni bonanza la ufunguzi wa ligi.
Tafuteni kocha wa kueleweka ndugu zangu, kwa huyo Tetea wenu labda awatagie mayai tu ila mtamaliza mpaka phase10 bila ya kombe lolote la maana hapa duniani
😵😵
 
Back
Top Bottom