Mkuu hii comment umeandika kwa uchungu sana pole mkuuWale wazee wa kusaga sumu njooni basi mchangamshe jukwaaa.
Huu ndio muda pekee mnaweza ingia hapa kwa ujasiri na mkaongea chochote.ligi ikianza ni mwendo wa haya maneno
Sexy football
Invert
Overload
Press
Na mengine kibao,ila wenyewe tunafurahia timu yetu bila shida
Tumieni muda wenu vizuri
Wanavyoitwa kondoo huwa unafikiri ni kwa bahati mbaya, subiri ligi ianze utaziona tena utafikiri hawaijui timu yao.
Mimi mwenyewe sioni Kabisa Onana ni aina ya mchezaji tunaemuhitaji , labda kuna namna Arteta atamtumia au kuna mfumo mwingine utaitajika kwa msimu ujao.Ingawa taarifa zinasema tupo karibu kumnasa Onana ila naona jamaa haendani na mpira wa Arsenal kivyovyote
Labda tunaiangalia hii ishu kwa upande wa pesa. Osimhen bei yake ni mara mbili ya Sesko. Tumbebe tu huyo Sesko, tumkuze awe beast moja la striker, huku tukimchukua Youssof Fofana kupartner na Rice na kutafuta winger machachari wa kumpumzisha Saka.Arsenal tumegewa option ya kumsajili Osimhen ila tumegoma na badala yake tunamtaka Sesko
Kuna namna nyie kondoo huwa mnatafutaga namna y kupata furaha.Hii habari sikuiona...
View attachment 3013188
Globe Soccer Awards -Best Coach - Premier League - MIKEL ARTETA
Kuna namna nyie kondoo huwa mnatafutaga namna y kupata furaha.
Arteta hana mataji?😄😄😄
Ni muhimu mkuu. True story...mimi ni survivor wa sonona. Ilinitesa sana kwa miaka miwili kitambo kidogo na ilikuwa inanipeleka pabaya. Ilinichukua miaka mingi zaidi kukaa sawa.
Nilichogundua, pamoja na kuwa na 'positive mindset' na kuwa karibu na Mungu moyoni, na mambo mengine madogo madogo, kutambua vitu zaidi vya kukupa furaha kuliko vile vya kukuhuzunisha, na kuvifurahia, ni muhimu sana kwa mwanadamu.
Dogo ametoka mbali na kweli amefanya makubwa japo hana mataji. Tunaamini atafika huko pia. Acha tuifurahie safari kwanza na baadae tutafrahia pia hatima ya safari (makombe kede kede).
Hatuongelei lile sinia tunaongelea mataji kama mataji mkuu.Arteta hana mataji?
Machache sana yaaniArteta hana mataji?