Ahahahaah!! Acha kumchokoza, subiri dk 90......Lols..jarobu Eatel basi...
BTW mpe salam ndg yako Questt hapa..namchokoza hachokozeki..
Tupo pamoja wakuu, mie ndio nimejiunga hapa ,vipi game?
Timu zingine kushabikia lazima uwe na Kikombe cha Tangawizi maana hukawii kupata Shambulizi la Moyo LoL!
Dah......
Umaliziaji ni tatizo hasa dk zile za mwanzo. Lakini jamaa waliposawazisha arsenal walipoteana na kila mtu akawa anacheza anavyojua. Labda watabadilika kipindi cha pili!Jumapili leo mkuu , mechi imekuja mapema kidogo ndio nimeingia hapa naona 1-1.
Nataka kupata hali ya mchezo kutoka kwa ndugu zangu Katavi,Quesst. Na Viper.wakuu nipeni kidogo hali mchezo vipi kipindi cha kwanza?
Game poa tu, mtanatoka droo leo...we kijana nakutafutaaa sanaa..ndo nn jana kuondoka na chupa za Bia kwa asira afy chicharito kusawazisha pale Rose Garden?..jana wale ma barmaid wamenivua kadet yangu.
inabidi hilo darasa ulishushe na hapa!mchizi wangu mshabiki wa Wigan kanipa darasa zuri tu. Jinsi ya kukabiliana na matokeo ya ajabu ajabu kila siku. Kwahio presha haipo kabisa.
Umaliziaji ni tatizo hasa dk zile za mwanzo. Lakini jamaa waliposawazisha arsenal walipoteana na kila mtu akawa anacheza anavyojua. Labda watabadilika kipindi cha pili!
Gibbs nje kaingia Santos.
Ingiza Chamakhsantos hana faida cos cros zake hazitakuwa na mpiga vichwa!
Ingiza Chamakh
Wachezaji wetu cjui huwa wanafanya makusudi?
Tatizo la Arsenal ni Arsene WengerDakina ya 60 wenger hana mabadiliko ya kuja kushinda game anaaangalia tu mpaka dakika za mwisho ndio anafanya mabadiliko tunajikuta tunatoa draw au kupoteza