Sweta LA Tanzania
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 902
- 2,836
Bottlers fc
Huyo Zirkzee ni Gaucho mtupu kwenye mwili wa MartinellMkuu najaribu kuangalia forward tunaohusishwa nao kwakwli nachanganyikiwa...yule Sesko wa RB Salzburg ni Haaland mtupu...ila yle Gyokeres naye ni kifala...huku Zirkzee naye ni hatari...yaani inabidi tupate mtu hii midomo ya wapinzani tuikate mwakani🤠🤠
Hujanielewa... kuipondea timu fulani usioipenda na kuimbea mabaya hilo ni suala ambalo lipo kwa kila mtu wala halizuiliwi hata kidogo.Nature hakuna anayeiombea Timu ya mwenzake ishinde chochote.
Hivyo kama unawalaumu washabiki wanaoiombea Arsenal isishinde Chochote basi hapa umekosea njia kashabikie Rede.
City ana Rodri nyie mlitaka mbebe epl na Partey akiumia cover yake ni jorginho nyie ni zaidi ya ze comedi show
Mbona wewe umeshindwa kuchukua ubingwa au hata kuukaribia licha ya usajili makini ulioufanya hiyo sehemu ya midfield???City ana Rodri nyie mlitaka mbebe epl na Partey akiumia cover yake ni jorginho nyie ni zaidi ya ze comedi show
Bottlers pro maxBottlers fc
Kuna bonge la striker aka kipipa pale Italy Anaitwa Lukaku na mwingine beki kilaza mzee wa kulamba mshahara wa bure tu anaitwa Malang Sarr inabidi tuwauzie ili mboreshe hicho kikundi chenu cha wacheza ngomaWatu hawajui hatari tunayowaletea msimu ujao.
Kuna waliomaliza nafasi ya 8 huko ila wapo huku kutupigia kelele kisa hatujawa mabingwa. Hawa watu wananichekesha sana. Nasoma comments zao huku nacheka kwa dharrraauu (wanaocheza draft wanaujua huu msemo).
Sisi tunaenda kujipanga kuchota points 100 next season, huku wao wanawazia kumaliza na +ve GD japo 4 au 5. Wanawaza watadhindaje FA cup ili waingie ulaya. Sisi tunawaza tufanye nini tubebe treble.
Hao wakija kwetu watakuwa wakali mpaka mtajuta kutupaKuna bonge la striker aka kipipa pale Italy Anaitwa Lukaku na mwingine beki kilaza mzee wa kulamba mshahara wa bure tu anaitwa Malang Sarr inabidi tuwauzie ili mboreshe hicho kikundi chenu cha wacheza ngoma
Yani we haukauki kwa maneno, unaendelea kuwasagia Kunguni hawa watu, daaaaaaah kwa vile ulivyoandika hapo mwisho nimecheka sana.Gwajo hapo Villa mnambebesha lawama za bure tu labda kama wewe ni mgeni kwa hizi Arsenyau, hizi Kima hata kama zingemfunga Villa mechi ya mwisho na Everton zingepigika, linapokuja suala la ubingwa hawa sio hata wa kuwachukulia dhamana, yaani Arsenyo ni kama tu pilipili hoho, linaweza kukutisha kwa ukubwa wake lakini kumbe hata haliwashi
View attachment 2994844
Jumamosi ya bahati kwenu si mbali. Hebu tuone kama mtaingia ulaya.Gwajo hapo Villa mnambebesha lawama za bure tu labda kama wewe ni mgeni kwa hizi Arsenyau, hizi Kima hata kama zingemfunga Villa mechi ya mwisho na Everton zingepigika, linapokuja suala la ubingwa hawa sio hata wa kuwachukulia dhamana, yaani Arsenyo ni kama tu pilipili hoho, linaweza kukutisha kwa ukubwa wake lakini kumbe hata haliwashi
View attachment 2994844
Kama alivyokua mkali Gabriel JesusHao wakija kwetu watakuwa wakali mpaka mtajuta kutupa
Top haina maana , kitu chenye maana ni EPL trophy.Hahaha. Lazima tuamini na tuiwekee timu malenge makubwa ili ipambane iyapate. Ukipambania ubingwa, ukiukosa unatokea wapili au watatu, kuliko kutoupambania nakujikuta wanane huko.
Kwanza pole kwa kuikosa top 4. Je, tutakuwa sahihi tukisema kuwa timu yako inashuka, huku Arsenal inazidi kupanda?
nipo mkuu vipi false hopes bado zinaendelea mwaka wa 20 huu kila siku mwakani 😂😂😂 ivi unajua ukisimama na dogo wa la saba bado atakuona ww n mdgo sana kimpira kwasababu tu yeye ni city fans amekuzidi makombe ya epl .We jamaa upo kumbe
maboresho gani ya kikosi unataka wewe?? Umekosa kombe kutokana na maboresho ya kikosi au umekosa kombe kisa wewe una mentality ya loser .Always mshindi wa EPL huwa ni mmoja, tumepambana Kwa kiwango chetu lakini tumeishia nafasi ya pili.
Wapo wenzetu walipambana wameishia nafasi ya 7/8/9 na wengi kushuka daraja kabisa.
Tukiendelea kufanya maboresho ya kikosi chetu, tuna uhakika wa kufanya vizuri miaka ijayo.
Asiyekubali kushindwa sio mshindani💪
Nilitoa ahadi hapa, kwamba iwapo tutashida EPL Kuna wadau hapa ningewapa Vocha za 10k. Kwakuwa tumeishia nafasi ya pili nitawapa 5k Kila mmoja.
Walikuwa ni mashabiki wawili sijui ni wa nyumbu na Chelsea? nimewasahau majina tu
Mkinikimbusha mje PM niwape Vocha zenu
Ila punguzeni kutusimanga, gari la Arteta ndiyo kwanza limewaka
Msimu wa pili huu mfululizo tumeshika nafasi ya pili
The future looks so bright ahead
COYGs 💪💪💪💪
Neno biggest spender in History ni uongo mkubwa united has spend more than city for 10 past years ,miaka mingine chelsea imeisidi city mbali,sio kila kitu cha ku copy na pasteHello gooners, it is new week, new energy and new thoughts... i assume everyone of us is quite fine as i'm writing this...
In as much as we might be considerably disappointed with how the season ended, but i personally see this was our most impressive seasons since 2004.
Put aside all the sentiments,disgruntlements and wails that are obviously orchestrated by title missing in a more distressiful manner than anyone could expect... there are a lot of beautiful things our boys did that we can still be proud of.
It is the first time for the last 19 years we haven't lost even single game against the so called big six, the feat even the so called genius Pep has never smelled despite his tremendous success....
It is the first in our history we have denied our oponents to hit our nets in 18 games, mind you we denied kipara twice in those 18 games, this alone can testify the exceptionally solid defence we had.
We have been title contender for two consecutive seasons something that had been forgotten for more than a decade, when i look back few years ago and trying to recall some popular pundits predictions about Arsenal's highest achievement in the league, we were absolutely laughable stock, but today the same pundits give us so much respect and Michael Owen is precise example.
The fact that we were not just a participant like the rest of 18 teams, we actually went toe to toe with the biggest spender in history until the final minute of the season is enough to make us be one the best team in this modern era.
Kwa hiyo kama kuna mtu anaona hakuna kizuri tulichofanya, basi nmshauri atafute timu nyingine inakayompa guarantee ya kikombe kila msimu
Hujanielewa... kuipondea timu fulani usioipenda na kuimbea mabaya hilo ni suala ambalo lipo kwa kila mtu wala halizuiliwi hata kidogo.
Sasa kuna ile mtu yaani yeye hana muda na timu yake, yaani yeye yuko bize na timu anayoichukia tu basi... sasa huyo ni shabiki wa mpira au ni sadist wa mpira?
Maana tunavyojua, mbali tu na kombeana mabaya, ila furaha ya kweli ya mpira inaletwa na mafanikio ya timu unayoipenda na sio kushindwa kwa timu usioipenda.