IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,738
- 7,085
Hakuna. Mtashinda mechi zote ila ubingwa hamtabebaMfano ligi ingekua inaanza keshollllop kutwa ni timu gani ina uhakika wa kuifunga Arsenal?
Hakuna. Mtashinda mechi zote ila ubingwa hamtabebaMfano ligi ingekua inaanza keshollllop kutwa ni timu gani ina uhakika wa kuifunga Arsenal?
😆😆😆 ila arsenal fans , ngoja nikujibu mimi maana ww arsenal huijuiii vizuriii .Mfano ligi ingekua inaanza kesho kutwa ni timu gani ina uhakika wa kuifunga Arsenal?
Hamna mganga wa kumloga PEP?Acha tupambane msimu ujao. Lazima liva au aseno tubebe.
Kwani Havertz hatoshei?Sasa wasajili wachezaji wenye kuja kuongeza quality na morali ya ushindi, leo na everton tulikiwa tunacheza kama hatusaki kiti, tofauti na mwenzetu city, alikuwa anapiga msako wa nyani.
Timu inahitaji nakshi ya wachezaji bora.
Wana midomo hao watoto wa kijiweni, wee acha tu. Wangechukua kombe hao wangeleta fujo mitaani na kuharibu mali za watu. Bora tu wamenyamazishwa. Cheki huyo shabiki wa Arsenal anapita kigangwe Stanford Bridge, je angebeba kombe si wangepita wengi na mawe hapo na kuleta fujo!😆😆😆 ila arsenal fans , ngoja nikujibu mimi maana ww arsenal huijuiii vizuriii .
Team yoyote as long as ipo ligi kuu na zimebaki games 10 ligi iishe inaweza kumfunga arsenal hata tungemchukua mtibwa sugar .
Aston villa kakupiga nje ndan halafu unakuja kutuuliza ligi inayoanza keshokutwa huku si kuchanganyikiwa kabisa.
Arsenal alipaswa kumfunga City etihad ange make ststement na kuongeza gape,akaenda kupark bus,Yaan Nyie ni mafuta ya taa sana, yaani mnaamini kuwa Aston vila ndio kawakosesha ubingwa, hivi amuwazii hata City kuna mechi walipoteza kizembe na wanajutia vile vile,gape pengine lingekua hat point 5
Weee saka ndio mess waoUzeeni
Joginho
Patei
Saka
Martinelli
Jesus
Zincheko
Odegarrd
Tafuteni wachezaji wa kueleweka
We jamaa upo kumbe😆😆😆 ila arsenal fans , ngoja nikujibu mimi maana ww arsenal huijuiii vizuriii .
Team yoyote as long as ipo ligi kuu na zimebaki games 10 ligi iishe inaweza kumfunga arsenal hata tungemchukua mtibwa sugar .
Aston villa kakupiga nje ndan halafu unakuja kutuuliza ligi inayoanza keshokutwa huku si kuchanganyikiwa kabisa.
Hahaha. Lazima tuamini na tuiwekee timu malenge makubwa ili ipambane iyapate. Ukipambania ubingwa, ukiukosa unatokea wapili au watatu, kuliko kutoupambania nakujikuta wanane huko.mkuu hizi false hopes utaacha lini?, kidogo ungeiweka liver tu inatosha unaiweka aseno tena 😆😆