Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mfano ligi ingekua inaanza kesho kutwa ni timu gani ina uhakika wa kuifunga Arsenal?
😆😆😆 ila arsenal fans , ngoja nikujibu mimi maana ww arsenal huijuiii vizuriii .
Team yoyote as long as ipo ligi kuu na zimebaki games 10 ligi iishe inaweza kumfunga arsenal hata tungemchukua mtibwa sugar .
Aston villa kakupiga nje ndan halafu unakuja kutuuliza ligi inayoanza keshokutwa huku si kuchanganyikiwa kabisa.
 
Week nzima nitakuwa tunatoa false hopes moja moja wanetu mpaka ligi ianze tena then mwishoni kama kawaida yetu tunarudi kuwaonyesha false hopes zenu.
🧵 Toka hii thread ianzishwe Arsenal haijawahii kubeba ubingwa hakuna tofauti na thread yetu ya Brighton 😆
🧵 Dogo wa form one 2020 kaamua kushabikia mpira as man city fans tayari ana makombe 4 as fan , njoo kwa mwanangu arsenal 2004, henry na mkorea wameanza kushabikia mpira before 1999 wana makombe 3😂😂😂 huyu dogo kifupi kwenye ubishi wa mpira anawatoa kapa hawa wazee na ndevu zao tena anaweza akawa anawaona kama wamechanganyikiwa .

🧵 Dogo wa form one 2020 ki hesabu wengi wamezaliwa 2008/2009 yaani tukichukulia tangu kazaliwa tayari kashabikia makombe 4 lakini kina pastor mackenzie na wafuasi wake wana 0 trophy toka dogo yupo tumboni 😂😂. Yaani huyu dogo akikaa na kina castr anamuona kimpira castr ni dogo tu kwake ukiachilia ndevu 😂😂
 

Attachments

  • Screenshot_20240520-001324~2.png
    Screenshot_20240520-001324~2.png
    91.6 KB · Views: 22
Acha tupambane msimu ujao. Lazima liva au aseno tubebe.
Hamna mganga wa kumloga PEP?
Chelsea tulimloga 2017 tukabeba kombe
Liverpool wakamloga 2020 wakabeba kombe baada ya miaka 30
Bado ninyi hamna juju yenye nguvu ya kumfadhaisha huyu kipara
Leo nimemsikia akisema bado ana miaka mingi ya kubaki EPL tena kwa furaha
 
Sasa wasajili wachezaji wenye kuja kuongeza quality na morali ya ushindi, leo na everton tulikiwa tunacheza kama hatusaki kiti, tofauti na mwenzetu city, alikuwa anapiga msako wa nyani.
Timu inahitaji nakshi ya wachezaji bora.
 
Sasa wasajili wachezaji wenye kuja kuongeza quality na morali ya ushindi, leo na everton tulikiwa tunacheza kama hatusaki kiti, tofauti na mwenzetu city, alikuwa anapiga msako wa nyani.
Timu inahitaji nakshi ya wachezaji bora.
Kwani Havertz hatoshei?
Jesus na Mohamed je?
Yuko Trosard, Saka na Martinelli wote hawafai!
Partey najua kachoka huyo mumuuze Uarabuni tu
Jorgginho mtoto wa Sarri tulishamchosha sana
Kiungo na striker mtamuhitaji sana msimu ujao
Hao akina Jesus watawapotezea muda tu
 
😆😆😆 ila arsenal fans , ngoja nikujibu mimi maana ww arsenal huijuiii vizuriii .
Team yoyote as long as ipo ligi kuu na zimebaki games 10 ligi iishe inaweza kumfunga arsenal hata tungemchukua mtibwa sugar .
Aston villa kakupiga nje ndan halafu unakuja kutuuliza ligi inayoanza keshokutwa huku si kuchanganyikiwa kabisa.
Wana midomo hao watoto wa kijiweni, wee acha tu. Wangechukua kombe hao wangeleta fujo mitaani na kuharibu mali za watu. Bora tu wamenyamazishwa. Cheki huyo shabiki wa Arsenal anapita kigangwe Stanford Bridge, je angebeba kombe si wangepita wengi na mawe hapo na kuleta fujo!

 
Yaan Nyie ni mafuta ya taa sana, yaani mnaamini kuwa Aston vila ndio kawakosesha ubingwa, hivi amuwazii hata City kuna mechi walipoteza kizembe na wanajutia vile vile,gape pengine lingekua hat point 5
Arsenal alipaswa kumfunga City etihad ange make ststement na kuongeza gape,akaenda kupark bus,
 
😆😆😆 ila arsenal fans , ngoja nikujibu mimi maana ww arsenal huijuiii vizuriii .
Team yoyote as long as ipo ligi kuu na zimebaki games 10 ligi iishe inaweza kumfunga arsenal hata tungemchukua mtibwa sugar .
Aston villa kakupiga nje ndan halafu unakuja kutuuliza ligi inayoanza keshokutwa huku si kuchanganyikiwa kabisa.
We jamaa upo kumbe
 
Sasa kiduara kinaendelea, muanze kusifia usajili msimu ukianza msifie kudownload na kuovalodi mwisho wa msimu kama kawa. Na hamshtuki! nyie ni viazi.
 
mkuu hizi false hopes utaacha lini?, kidogo ungeiweka liver tu inatosha unaiweka aseno tena 😆😆
Hahaha. Lazima tuamini na tuiwekee timu malenge makubwa ili ipambane iyapate. Ukipambania ubingwa, ukiukosa unatokea wapili au watatu, kuliko kutoupambania nakujikuta wanane huko.

Kwanza pole kwa kuikosa top 4. Je, tutakuwa sahihi tukisema kuwa timu yako inashuka, huku Arsenal inazidi kupanda?
 
Always mshindi wa EPL huwa ni mmoja, tumepambana Kwa kiwango chetu lakini tumeishia nafasi ya pili.

Wapo wenzetu walipambana wameishia nafasi ya 7/8/9 na wengi kushuka daraja kabisa.

Tukiendelea kufanya maboresho ya kikosi chetu, tuna uhakika wa kufanya vizuri miaka ijayo.

Asiyekubali kushindwa sio mshindani💪

Nilitoa ahadi hapa, kwamba iwapo tutashida EPL Kuna wadau hapa ningewapa Vocha za 10k. Kwakuwa tumeishia nafasi ya pili nitawapa 5k Kila mmoja.

Walikuwa ni mashabiki wawili sijui ni wa nyumbu na Chelsea? nimewasahau majina tu

Mkinikimbusha mje PM niwape Vocha zenu

Ila punguzeni kutusimanga, gari la Arteta ndiyo kwanza limewaka

Msimu wa pili huu mfululizo tumeshika nafasi ya pili

The future looks so bright ahead

COYGs 💪💪💪💪
 
Back
Top Bottom