fuentte
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 3,472
- 10,049
Kitendo cha wana arsenal kushika nafasi ya pili msimu huu nyuma ya city haiwapi guarantee kwamba msimu ujao pia mtabaki kuwakimbiza hao jamaa kwa karibu kama hivi sasa. Niweke rekodi sawa hapa kuwa Man united ya Ole imewahi kuwa ya pili lakini msimu uliofuata ikapoteana, liverpool wamewahi kuwafukuzia city mara mbili mfululizo ingawa leo wamepoteana kama sisi tu.
Ninachotaka kusema ni kwamba kipara peke yake pale epl ndiye mwenye dhamana ya kukaa ndani ya top 2 msimu hadi msimu.
Mwakani chelsea na united zitaleta upinzani kwenu tofauti na matarajio yenu.
Punguzeni matarajio ili mzeeke bila magonjwa yasiyoambukiza
Ninachotaka kusema ni kwamba kipara peke yake pale epl ndiye mwenye dhamana ya kukaa ndani ya top 2 msimu hadi msimu.
Mwakani chelsea na united zitaleta upinzani kwenu tofauti na matarajio yenu.
Punguzeni matarajio ili mzeeke bila magonjwa yasiyoambukiza