Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hebu andika tena, unaonekana una machungu hata huelewi unataka kusema nini.
Soma ukiwa huna konyagi wala K-vant kichwani mwako utanielewa nimeandika nini...

Hao akina Nketiah wameiwezesha Arsenal kushika nafasi ya pili na wamekuwa title contender kwa mechi 38 zote, yaani mpaka mechi ya mwisho kimahesabu walikuwa bado wana nafasi ya kuchukua ubingwa.....haya sasa wewe wachezaji wa timu unayoishabikia wamewafikisheni wapi? Kama mmemaliza ligi Arsenal akiwa juu yenu, basi hiyo yako wachezaji wake ni viazi mbatata kama ulivyo wewe unatakiwa uwape heshima hao akina Nketiah
 
Mpira unatiwa siasa


The UK government has admitted that its embassy in Abu Dhabi have discussed the 115 charges levelled at Man City by the Premier League, but are refusing to disclose the correspondence because it could risk the UK's relationship with UAE.

(Source:
@PJBuckingham
)
Manchester City sio Everton au Nottingham Forest, unapo deal na City hapo jua una deal na Falme nzima ya kiarabu na hicho sio kitu rahiso hata kidogo.... kila mtu anajua City wana hatia, lakini watafanywaje??? Na nani wa kuwachukulia hatua?

Sana sana hapo hili sakata litakopoishia ni City kufungiwa usajiri tu angalau kwa misimu miwili basi.... kuhusu kushushwa daraja au kunyang'anywa mataji hilo tusahau.
 
Trophies won from 2022-24

Man United: 1
Arsenal: 0

Cup finals reached from 2022-24

Man United: 3*
Arsenal: 0

Ila wabongo banaaa
1716308908914.jpg
 
Kitendo cha wana arsenal kushika nafasi ya pili msimu huu nyuma ya city haiwapi guarantee kwamba msimu ujao pia mtabaki kuwakimbiza hao jamaa kwa karibu kama hivi sasa. Niweke rekodi sawa hapa kuwa Man united ya Ole imewahi kuwa ya pili lakini msimu uliofuata ikapoteana, liverpool wamewahi kuwafukuzia city mara mbili mfululizo ingawa leo wamepoteana kama sisi tu.
Ninachotaka kusema ni kwamba kipara peke yake pale epl ndiye mwenye dhamana ya kukaa ndani ya top 2 msimu hadi msimu.

Mwakani chelsea na united zitaleta upinzani kwenu tofauti na matarajio yenu.
Punguzeni matarajio ili mzeeke bila magonjwa yasiyoambukiza
 
Wanakuja humu wanajichekesha na kutishia watachofanya msimu ujao leo usiku kocha wao kasema anaondoka
 
Kitendo cha wana arsenal kushika nafasi ya pili msimu huu nyuma ya city haiwapi guarantee kwamba msimu ujao pia mtabaki kuwakimbiza hao jamaa kwa karibu kama hivi sasa. Niweke rekodi sawa hapa kuwa Man united ya Ole imewahi kuwa ya pili lakini msimu uliofuata ikapoteana, liverpool wamewahi kuwafukuzia city mara mbili mfululizo ingawa leo wamepoteana kama sisi tu.
Ninachotaka kusema ni kwamba kipara peke yake pale epl ndiye mwenye dhamana ya kukaa ndani ya top 2 msimu hadi msimu.

Mwakani chelsea na united zitaleta upinzani kwenu tofauti na matarajio yenu.
Punguzeni matarajio ili mzeeke bila magonjwa yasiyoambukiza
Ole 🤣🤣🤣 irrelevant coach
 
Ukawa umeenda jangwani kufunga na kusali Arsenal isichukue kombe.

Tofauti yetu na time zote za EPL, siyo Burnley pekee, ni hii hapa.

Hili ni kombe la nne kwa City mfululizo lakini hakuna anayezungumzia hicho kitu kama mafanikio makubwa badala yake timu inayoongelewa ni Arsenal.

Timu yako haiendi michuano yoyote ya Ulaya, hakuna anayeshangaa. Nyumbu atacheza FA na 115 fc lakini kila mmoja anajua nani atashinda hilo kombe.

Hiyo ndiyo tofauti
Arsenal ni kichekesho ndiyo maana unaona watu wanaizungumzia sana si unajua kicheko nacho chaongeza siku za kuishi.

Kama unahisi watu hawazungumzii 4 in row ya man city basi inaonekana hujichanganyi na fans mbalimbali unakaa na false hopers wenzako tu .

Suala si kwenda Uefa cha muhimu ni unaenda kufanya nini? Group letu tunawakilishwa na Dortmund mwanetu .
Nasikia mlikua mnafanya rehearsal ya kuchukua kombe kabla ya match ya everton sasa unaona hio ni team au kikundi cha comedy.

Haina haja ya kufunga na kuomba arsenal asichukue kombe wakati unajua kabisa hachukui.
 
Arsenal ni kichekesho ndiyo maana unaona watu wanaizungumzia sana si unajua kicheko nacho chaongeza siku za kuishi.

Kama unahisi watu hawazungumzii 4 in row ya man city basi inaonekana hujichanganyi na fans mbalimbali unakaa na false hopers wenzako tu .

Suala si kwenda Uefa cha muhimu ni unaenda kufanya nini? Group letu tunawakilishwa na Dortmund mwanetu .
Nasikia mlikua mnafanya rehearsal ya kuchukua kombe kabla ya match ya everton sasa unaona hio ni team au kikundi cha comedy.

Haina haja ya kufunga na kuomba arsenal asichukue kombe wakati unajua kabisa hachukui.
Umetaka tofauti nimekupa.

Streamers walikua wengi kuangalia speech ya Klopp akiaga kuliko channel ya city kuongelea 4 in a row. Hili kombe itakua unaliongelea wewe tu.

Humu JF hakuna uzi wa mpira unaovutia kuingia zaidi ya huu. Nyumbu, kenge, liva, city watafungwa na wote mnaassume ni kawaida.

Akifungwa Arsenal wote mnaacha kazi zenu mnakimbilia huku. Winger yeyote akifunga magoli mawili mfululizo atafananishwa na Saka au Martinelli.

That's the difference. Hii timu ni SI unit ya ubora. We mwenyewe ulikua umejificha ligi imeisha haujaenda jukwaa la waliochukua kombe badala yake unakesha humu.

That's the difference
 
Umetaka tofauti nimekupa.

Streamers walikua wengi kuangalia speech ya Klopp akiaga kuliko channel ya city kuongelea 4 in a row. Hili kombe itakua unaliongelea wewe tu.

Humu JF hakuna uzi wa mpira unaovutia kuingia zaidi ya huu. Nyumbu, kenge, liva, city watafungwa na wote mnaassume ni kawaida.

Akifungwa Arsenal wote mnaacha kazi zenu mnakimbilia huku. Winger yeyote akifunga magoli mawili mfululizo atafananishwa na Saka au Martinelli.

That's the difference. Hii timu ni SI unit ya ubora. We mwenyewe ulikua umejificha ligi imeisha haujaenda jukwaa la waliochukua kombe badala yake unakesha humu.

That's the difference
Cap🧢
 
Manchester City sio Everton au Nottingham Forest, unapo deal na City hapo jua una deal na Falme nzima ya kiarabu na hicho sio kitu rahiso hata kidogo.... kila mtu anajua City wana hatia, lakini watafanywaje??? Na nani wa kuwachukulia hatua?

Sana sana hapo hili sakata litakopoishia ni City kufungiwa usajiri tu angalau kwa misimu miwili basi.... kuhusu kushushwa daraja au kunyang'anywa mataji hilo tusahau.
Ndugu mnataka mataji ambayo hamjayafanyia kazi ?Haland na foden wafunge magoli ubingwa wapewe wengine ,kila team ipambane hakuna dezo ,kulia lia kama vitoto ni ujinga
 
Umetaka tofauti nimekupa.

Streamers walikua wengi kuangalia speech ya Klopp akiaga kuliko channel ya city kuongelea 4 in a row. Hili kombe itakua unaliongelea wewe tu.

Humu JF hakuna uzi wa mpira unaovutia kuingia zaidi ya huu. Nyumbu, kenge, liva, city watafungwa na wote mnaassume ni kawaida.

Akifungwa Arsenal wote mnaacha kazi zenu mnakimbilia huku. Winger yeyote akifunga magoli mawili mfululizo atafananishwa na Saka au Martinelli.

That's the difference. Hii timu ni SI unit ya ubora. We mwenyewe ulikua umejificha ligi imeisha haujaenda jukwaa la waliochukua kombe badala yake unakesha humu.

That's the difference
Kwa sasa city kuchukua ubingwa ni kawaida kipara akiendelea kuwa england hakika kwa miaka kumi ana wa bless wengine mara mbili hapo ni chelsea au liverpool wanaojua ubingwa unachukuliwa namna gani.
 
Kwa sasa city kuchukua ubingwa ni kawaida kipara akiendelea kuwa england hakika kwa miaka kumi ana wa bless wengine mara mbili hapo ni chelsea au liverpool wanaojua ubingwa unachukuliwa namna gani.
Liver kabla ya hapo juzi walikaa miaka 30. Amekuja kocha mpya, sidhani kama wataanza kua on fire right away kwa mbinu za kocha.

Chelsea kocha kaondoka. Means anakuja mpya akiwa na kundi la wachezaji wengi watengeneza nafasi kuliko wafungaji.

Siamini kama Chelsea anakua dominant next season
 
Liver kabla ya hapo juzi walikaa miaka 30. Amekuja kocha mpya, sidhani kama wataanza kua on fire right away kwa mbinu za kocha.

Chelsea kocha kaondoka. Means anakuja mpya akiwa na kundi la wachezaji wengi watengeneza nafasi kuliko wafungaji.

Siamini kama Chelsea anakua dominant next season
Na msimu ujao tena mtakuwa na Best season, End with ZERO Trophies Again. Maisha yenu yatabaki kuwa hayahaya.
 
Umetaka tofauti nimekupa.

Streamers walikua wengi kuangalia speech ya Klopp akiaga kuliko channel ya city kuongelea 4 in a row. Hili kombe itakua unaliongelea wewe tu.

Humu JF hakuna uzi wa mpira unaovutia kuingia zaidi ya huu. Nyumbu, kenge, liva, city watafungwa na wote mnaassume ni kawaida.

Akifungwa Arsenal wote mnaacha kazi zenu mnakimbilia huku. Winger yeyote akifunga magoli mawili mfululizo atafananishwa na Saka au Martinelli.

That's the difference. Hii timu ni SI unit ya ubora. We mwenyewe ulikua umejificha ligi imeisha haujaenda jukwaa la waliochukua kombe badala yake unakesha humu.

That's the difference
Yani wakiitwa mawinga bora epl Martinelli ambaye ni bench warmer wenu nae ataenda??
 
Na msimu ujao tena mtakuwa na Best season, End with ZERO Trophies Again. Maisha yenu yatabaki kuwa hayahaya.
Na tutabaki kuwa na furaha. Tukiendelea hivi sisi tunajua tutakuja kutoboa tu. Nyie mnaangalia mikono mitupu yetu, sisi tunafurahia safari yetu. Hamwezi kutuelewa kwa nini tuna furaha na hicho kitu kinawauma. Hiki kichaka cha makombe mnachojifia, muda si mrefu tutakifyeka. Ila kama kawaida ya wachawi, mtatafuta kingine.
 
Umetaka tofauti nimekupa.

Streamers walikua wengi kuangalia speech ya Klopp akiaga kuliko channel ya city kuongelea 4 in a row. Hili kombe itakua unaliongelea wewe tu.

Humu JF hakuna uzi wa mpira unaovutia kuingia zaidi ya huu. Nyumbu, kenge, liva, city watafungwa na wote mnaassume ni kawaida.

Akifungwa Arsenal wote mnaacha kazi zenu mnakimbilia huku. Winger yeyote akifunga magoli mawili mfululizo atafananishwa na Saka au Martinelli.

That's the difference. Hii timu ni SI unit ya ubora. We mwenyewe ulikua umejificha ligi imeisha haujaenda jukwaa la waliochukua kombe badala yake unakesha humu.

That's the difference
Hii ya leo itakua ni ya Unga LTD.
 
Back
Top Bottom