Soma ukiwa huna konyagi wala K-vant kichwani mwako utanielewa nimeandika nini...Hebu andika tena, unaonekana una machungu hata huelewi unataka kusema nini.
Hao akina Nketiah wameiwezesha Arsenal kushika nafasi ya pili na wamekuwa title contender kwa mechi 38 zote, yaani mpaka mechi ya mwisho kimahesabu walikuwa bado wana nafasi ya kuchukua ubingwa.....haya sasa wewe wachezaji wa timu unayoishabikia wamewafikisheni wapi? Kama mmemaliza ligi Arsenal akiwa juu yenu, basi hiyo yako wachezaji wake ni viazi mbatata kama ulivyo wewe unatakiwa uwape heshima hao akina Nketiah
