Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sio mbaya mwaka huu tumeambulia hiki kidogo.
1716144666422.jpg
 
Yaan Nyie ni mafuta ya taa sana, yaani mnaamini kuwa Aston vila ndio kawakosesha ubingwa, hivi amuwazii hata City kuna mechi walipoteza kizembe na wanajutia vile vile,gape pengine lingekua hat point 5
 
tunakumbushana
False hopers mpo katika kilele cha furaha ya FALSE HOPE . Mnatamba wenyewe tu humu tutawaeleza nini wakati mnaongoza ligi 😂.

Lakini muda ndo umeanza kufika kuelewa ni kwanini mnaitwa False hopers.
10 games to go !!!!
Nilimiss sana jukwaa hili la vituko na kila aina ya hopes hatimaye nimerudi lakini sina cha kuongea maana mpo katika peak of false hopes nitaeleza nini mnielewe , siku zinavyokwenda tutapata cha kuwaeleza
 
Mfano ligi ingekua inaanza kesho kutwa ni timu gani ina uhakika wa kuifunga Arsenal?
 
Arsenal kubeba EPL labda kombe mliibe mkimbie nalo hakuna njia nyingine ya nyie kubeba EPL tofauti na hiyo ni kuliiba tu.
huu ushauri umfikie arteta next season jaribuni kutumia hii mbinu maana hizi za uwanjani zishashindikana nasema uongo false hopers ndugu zangu
 
Back
Top Bottom