IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,735
- 7,080
Naangalia mazoezi ya Pepe hapa jamaa anaruka hewani kama nyani. Yani porto wakipata kona mmeisha
Kumbe hamjaanza leo kudanganya aseeee bwana kweli the gunner ni sooo yani blackburn kapelekwa mchakamchaka kaa watoto wadogo kisha tukawafundisha soka tukawapiga 6-2 almanusra tuwapige wiki(7)
sasa hapo ligi ndio imeenza tunachukua pointi zote 12 ktk msimu huu wa sikukuu kisha mwenzi wa 2 2007 tutakuwa pale kileleni tunalinyemelea lile taji kubwa ambalo kwa sasa liko kibahati 2 kwa watoto wadogo chelsea ambao walikuwa na takribani miaka 50 hawajui utamu wa ubingwaaaaa
x-mas njema hususani kwa fans wa gunners kwani bao sita ni soo hii inamaanisha tumefunga na mabao ya mechi inayokujaaaaaaa
Ule uzalendo wa kulia kwa kufeli deal la kuja arsenal, ndio itafanya tumchukue kwa mkopo awe backup ya martinelAtamreplace nani sasa?![]()
Naangalia mazoezi ya Pepe hapa jamaa anaruka hewani kama nyani. Yani porto wakipata kona mmeisha




Usipoteane tu baadaeWatupe nkunku na palmer, Mudryk ni snitchChelsea are ready to sell 15 players this summer as they admit defeat in their disastrous transfer policy.
Tunaenda kumchukua Mudryk kwa mkopo
Mbavu ya kushoto ataanza G Jesus, Trossard subWakuu Leo itabidi aanze Trossard left Wing ,tuko na broo wake Clement Trossard(ref) ,Kai false 9, saka Right wing
Nkuku injury prone aende wapi?Watupe nkunku na palmer, Mudryk ni snitch
I second youWakuu Leo itabidi aanze Trossard left Wing ,tuko na broo wake Clement Trossard(ref) ,Kai false 9, saka Right wing
Trossad anazingua left kule rejea game ya brentford bora acheze Jesus left.Wakuu Leo itabidi aanze Trossard left Wing ,tuko na broo wake Clement Trossard(ref) ,Kai false 9, saka Right wing
Mnaendeleaje na chezaji la Dunia Gordon🤠🤠...kelele nyiingii halafu unashamgilia vitukoFalse hopers mpo katika kilele cha furaha ya FALSE HOPE . Mnatamba wenyewe tu humu tutawaeleza nini wakati mnaongoza ligi 😂.
Lakini muda ndo umeanza kufika kuelewa ni kwanini mnaitwa False hopers.
10 games to go !!!!
Nilimiss sana jukwaa hili la vituko na kila aina ya hopes hatimaye nimerudi lakini sina cha kuongea maana mpo katika peak of false hopes nitaeleza nini mnielewe , siku zinavyokwenda tutapata cha kuwaeleza .
Gordon ana ubaya gani? wachezaji wangapi pale Arsenal wamemzidi goals? Sijawahi kuona ubaya wa gordon so far.Mnaendeleaje na chezaji la Dunia Gordon🤠🤠...kelele nyiingii halafu unashamgilia vituko
Kocha ndo atajua apange vipiTrossad anazingua left kule rejea game ya brentford bora acheze Jesus left.
Dah ila kweli yule jamaa second half bora aanzie sub, Jesus aanze first halfTrossad anazingua left kule rejea game ya brentford bora acheze Jesus left.
False hopers mpo katika kilele cha furaha ya FALSE HOPE . Mnatamba wenyewe tu humu tutawaeleza nini wakati mnaongoza ligi.
Lakini muda ndo umeanza kufika kuelewa ni kwanini mnaitwa False hopers.
10 games to go !!!!
Nilimiss sana jukwaa hili la vituko na kila aina ya hopes hatimaye nimerudi lakini sina cha kuongea maana mpo katika peak of false hopes nitaeleza nini mnielewe , siku zinavyokwenda tutapata cha kuwaeleza .


Broo umekuja muda muwafaka kabisa, misiba ndio inaanza leo, sisi kama majirani tayari tumeshaandaa mikeka kwa ajili ya kuweka matanga humu

