Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

David Martin Raya

11 clean sheets in 24 games so far

Has the best Crosses Stopped % in EUROPE by a distance, with 14.9% of opponent's crosses claimed/stopped.

PL Average is 6.7%.
20240404_132104.jpg
 
Furaha ya nini wakati kwetu Arsenal kuongoza league ni kawaida, kigeni ni ubingwa wapinzani wa Arsenal kaeni kwa kutulia.
Arsenal kubeba EPL labda kombe mliibe mkimbie nalo hakuna njia nyingine ya nyie kubeba EPL tofauti na hiyo ni kuliiba tu.
 
Msimu wa 1991 Arsenal tulifungwa goli 16 pekee.

Chelsea akaja kupindua hiyo kwa kufungwa goli 15 msimu mzima.

With our current pace mi naamini msimu ujao tutakua in content kushindana na hizo rekodi 2
 
Jamaa walisema Kai ndiye kasababisha wawe wa 11 wakamuuza.

Wakasema Cole Palmer atawarudisha top four.

Bado wapo nafasi ile ile na huyo reject wa City 🤣🤣
na hata wakimchukua osimhen bwana mablich
bado mungu anawaambia nyie hii nafasi ya 11 ndo inawastahili
kuimba kupokezana
 
Standards are here.

Nyumbu wamefungwa roho inamuuma.

Anakuja kujifariji kua Arsenal siyo wa kwanza.

Wa kwanza ni nani? Liver.

Nyumbu na Liver ni mahasimu wakubwa. Ila watoto walioanza kushabikia mpira baada ya kucheza game la FIFA hawajui hilo.

Hawajui jinsi gani Ferguson inamkereketa anapoona liver inatawala mpira wa EPL, hawajui Erik alipata kazi baada ya kuahidi kumaliza utawala wa Liva.

Mahasimu wakubwa wengine ni City watoto wadogo hawajui Ferguson alitishia kumchania mkataba Evra kwakua alionekana matembezini na Tevez. Hawajui kila kombe la City ni tusi kwao, kila kombe la liva ni aibu yao imeongezwa juu ya aibu nyingine.

Shabiki mmoja wa nyumbu yupo Masaki anacheza ps 5 anazima anascreenshot msimamo wa ligi anatuma na emoji kufurahia liver au city kuongoza ligi.

WTF?

Ni sawa shabiki wa Arsenal nifurahie kenge au spurs kuongoza ligi. Ni haiwezekani. Na huyo ni average fan wa nyumbu humu JF, ndiyo sababu nawachukulia hawajui mpira, hawaijui klabu yao. Nadra sana unikute najibu komedi zao
 
Back
Top Bottom