mbwangali
JF-Expert Member
- Jan 8, 2021
- 2,969
- 5,104
🤣🤣🤣🤣🤣🤣mkuu yamekuwa hayo tenawana akili timamu kweli hawa viongozi wa Arsenane?😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣mkuu yamekuwa hayo tenawana akili timamu kweli hawa viongozi wa Arsenane?😂
Yaani mpaka wasemeNyie tutamalizana hapa hapa ngoja leo tuwapumzishe.
Msimu umeisha sasa njoo uniambie RICE Amekupa kombe gani.Hasira zote hizi sababu Rice anakuja Arsenal?
Mbona utaumia zaidi Sasa
Hawana tofauti na Maids wanasindikiza mwingine anaoa.Wao kazi yao ni kusindikiza kila kikombe 😂😂😂😂
Wacha weee🤣🤣🤣🤣🤣Ile tabia ya kushinda goli tano mechi ya mwisho ya msimu leo ndiyo leo
Fukua, fukuaa mzeee fukuaaaaaa😂😂😂😂😂😂
Harvert atajuta kukimbilia hii takataka arse8, karia yake ya mupira ndo imeisha hivyo. Kumbu kumbu yake kubwa kwenye maisha ya soka itabaki Chelsea tu.😀😀😀
Hapa tuwapendelee huyu ni muchezaji bana ..ni kiongozi muzuri uwanjani ..Hivi wakiitwa wachezaji Odegaard nae anaenda?
😂😂😂😂😂😂😂😂CONGRATULATIONS ARSENAL FC. View attachment 2994393
Wamepamba na uwanja etiHawana tofauti na Maids wanasindikiza mwingine anaoa.
Hahahahahaha daaah aise hii bonge la dharau😂😂😂😂We mpaka Madrid anakubali kukuuzia mchezaji? Hujiulizi.
Mtu akikwambia unaakili kama za Mashabiki wa Arsenal, aisee rusha ngumi.