Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

fezi 5
 

Attachments

  • IMG_20240519_210940_199.jpg
    IMG_20240519_210940_199.jpg
    43.4 KB · Views: 12
Moment mnafungwa na Aston villa it was already over for this season ndio maana hata hamiss 77 alitimka hakutaka kuja kukaa humu na fake hopes

Mwakani mkirekebisha namna yakumalizia ligi mnalibeba hilo kombe kumbuka rome wasn't built in one day

The season before mliboronga almost 3-4 gap yenu na city ikapungua wakawapokonya tonge mdomoni... this season ni mechi moja tu ya Villa ndio ikaharibu kila kitu

Next year your the champions mnaimarika taratibu
Arsenyetoz kama wameshindwa kubeba Epl msimu huu , watabeba vibuyu vya ulanzi tu .
Mkumbuke msimu huu tunamsifu city kabeba Epl ila kiuhalisia hakuwa na makali kama ya msimu uliopita , maana kuna kipindi city alipigwa gepu kubwa la points kama 10 kabisa na hizi Kenge Arsenyetoz ila cha kushangaza leo hii kabeba Epl .
Kweli Arsenyetoz ni fungu la kukosa
 
Moment mnafungwa na Aston villa it was already over for this season ndio maana hata hamiss 77 alitimka hakutaka kuja kukaa humu na fake hopes

Mwakani mkirekebisha namna yakumalizia ligi mnalibeba hilo kombe kumbuka rome wasn't built in one day

The season before mliboronga almost 3-4 gap yenu na city ikapungua wakawapokonya tonge mdomoni... this season ni mechi moja tu ya Villa ndio ikaharibu kila kitu

Next year your the champions mnaimarika taratibu
Arsenyetoz huwa tunawaambia kubeba makombe ni tabia na utamaduni .
Kama huna tabia na utamaduni wa kuvagaa makombe ,wewe ni tia maji tia maji tu mpaka mwisho .
 
Hii ndio Raha ya kubetia timu professional! Straight win...unaendelea na shughuli zako!

Hata zikibaki sekunde 5!... Zinatosha kabisa kutoa matokeo!

Bigup arsenalion!!!
 
Asenali ndio walichostahili wamejitahidi kucheza mechi sita za mwisho vizuri,wasikate tamaaa tu,arteta amejitahidi ipo siku atafanya zuri zaidi tu endapo akizidi kupata wachezaji bora.
 
Back
Top Bottom