zege la nyasi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 938
- 1,256
Manisiti bingwa wa epielo tayari huku sijui kwa masaa ya asenali ze ganaz😂😂😂😂
False hope as usualYote maisha. Tumepambana tukakosa. Tutapabana tena. Huenda tutapata.
Mimi nataka kuwa kinyume kidogo na wewe leo.Kama kuna shabiki wa Arsenal leo abet kwamba City anashinda.
Kisha separate bet abet kwamba Everton anashinda au anasuluhu.
Hii ni njia mojawapo ya kujinx games
Kama kuna shabiki wa Arsenal leo abet kwamba City anashinda.
Kisha separate bet abet kwamba Everton anashinda au anasuluhu.
Hii ni njia mojawapo ya kujinx games

aisee we mzee unamajaribuhahahaa ngoja tuone labda kwa kuliibaWanangu wa Arsenal leo tunabeba Ndoo na Kenge zote za Chelsea, Manure, Man City na Liverpool zitatoweka hapa.
Wanangu wa Arsenal leo tunabeba Ndoo na Kenge zote za Chelsea, Manure, Man City na Liverpool zitatoweka hapa.



Pamoja mkuu..Mimi ni man utd timu la kipumbav..ila nawatakia heri nyingi sana mshinde ubingwa.